NYONGO:TUTASIMAMIA UTEKELEZAJI WA DIRA YA MAENDELEO 2050

Na Aziza Masoud,Dar es Salaam SERIKALI imewataka wadau kuendelea  kutoa maoni yakuboresha rasimu ya Dira ya Maendeleo 2050 na kuahidi kuyafanyia kazi kwakusimamia utekelezaji wake. Kauli hiyo imetolewa leo Januari 10, 2025 na Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Mipango na Uwekezaji),Stanslaus Nyongo wakati mkutano wa Asasi za Kiraia (AZAKI) wakati wakuhakiki rasimu ya Dira…

Read More

DCEA YAVUNJA REKODI UKAMATAJI DAWA ZA KULEVYA 2024

Na Aziza Masoud,Dar es Salaam MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) kupitia operesheni maalum kwa mwaka 2024  imekamata  kilogramu 2,327,983.66 za dawa za kulevya ikiwemo kg 448.3 zilizokuwa zimefichwa ndani ya Jahazi lililosajiliwa nchini Pakstani kwa namba B.F.D 16548. Akizungumza jana Januari 9,2025 Kamisha Mkuu wa DCEA,Kamishna Jenerali Aretas Lyimo amesema…

Read More