CPA KASOLE:KAMPUNI TANZU ITASAIDIA KUKUZA BUNIFU ZETU

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam MAMLAKA ya Elimu na Mafunzo Stadi (VETA) imeanzisha kampuni tanzu ambayo inahusika na kukuza bidhaa  bunifu  zinazotengenezwa kupitia vyuo vyake mbalimbali. Kauli hiyo imetolewa na Mkurungezi Mkuu wa VETA, Anthony Kasole wakati akizungumza na waandishi wa habari katika maonesho ya 49 ya Kimataifa ya kibiashara Sabasaba yanayoendelea.  CPA Kasole alisema…

Read More

WANANCHI WA MOROGORO MJINI ‘WALIA’ NA UZINDUZI ‘ WA KISIMA KISICHOTOA MAJI

Na Mwandishi Wetu,Morogoro WANANCHI WA Kata ya Tungi Katika Manispaa ya Morogoro wamelalamikia kitendo kilichofanywa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Morogoro Abdulaziz Abood cha ‘kuwalaghai’ kwa kuzindua kisima ambacho hakitoi maji tangu alipokizindua. Wakizungumza kwa nyakati tofauti kwa masharti ya kutoandikwa majina yao na vyombo vya habari, wananchi hao wamedai Kisima hicho kilichopo katika Kituo…

Read More

BASATA YAMPA KIBALI CHAKUANDAA MISS UNIVERSE MAGESA

Na  Mwandishi Wetu,Dar es Salaam  BARAZA la Sanaa la Taifa(BASATA)limetoa baraka na kibali kwa Mwanamitindo wa Kimataifa na Mrembo wa Tanzania Millen Happiness Magese kupitia kampuni yake ya MILLEN PRIVÉ & Co. LIFESTYLE Bespoke Luxury Lifestyle & Hospitality Management kuandaa  mashindano ya Miss Universe Tanzania. Millen amepata baraka na kibali cha kuandaa Miss Universe Tanzania …

Read More

MILLEN  MAGESE AMKABIDHI SH MILIONI TATU MWANAMITINDO BORA WA SAMIA FASHION FESTIVAL ZANZIBAR 

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam MWANAMITINDO wa Kimataifa Millen Happiness Magese amekabidhi kitita cha Sh.milioni tatu kwa Mwanamitindo Elizabeth Masuka aliyeibuka mshindi wa Samia Fashion Festival Zanzibar mwaka 2024. Millen Happiness Magese aliyekuwa Jaji Mkuu wa Samia Fashion Festival Zanzibar alikabidhi hundi ya fedha yenye thamani ya Sh.milioni tatu katika Hoteli ya Urban by City…

Read More