KABIGI AWAASA WATUMISHI TUME YA MADINI KUNG’ARA KWA WELEDI KAZINI
KABIGI AWAASA WATUMISHI TUME YA MADINI KUNG’ARA KWA WELEDI KAZINI Na Mwandishi Wetu,Dodoma Watumishi wa Tume ya Madini wameaswa kuzingatia weledi, uwajibikaji na mshikamano katika utekelezaji wa majukumu yao ili kuendeleza mafanikio ya Tume pamoja na kuongeza mchango wa sekta ya madini katika ukuaji wa uchumi wa taifa. Akizungumza leo wakati wa maadhimisho ya Siku…

