DCEA YATEKETEZA EKARI 68 ZA BANGI TABORA WATU SABA WAKAMATWA
Na Mwandishi Wetu,Tabora MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) kwa kushirikiana na Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania(TFS) pamoja na kamati ya ulinzi na usalama mkoa wa Tabora, imefanya operesheni maalum katika hifadhi ya msitu wa Igombe River iliyopo Wilaya ya Uyui na katika Hifadhi ya Msitu wa Nyahua wilayani Skonge…

