Aziza Masoud

TANESCO:WANANCHI MSIHOFU KUTUMIA NISHATI YA UMEME KATIKA VYOMBO VYA USAFIRI

MD Twange asema TANESCO inajenga vituo vya kuchajia vyombo hivyo nchi nzima Aeleza mpango wa kusambaza majiko sanifu ya umeme takribani Mil 1 Awapongeza Wafanyakazi kwa ubunifu na jitihada za kuwahudumia wateja kwa ufanisi. Na Mwandishi Wetu,Dodoma Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Bw. Lazaro Twange, amewaondoa hofu wananchi kuhusu matumizi ya nishati…

Read More

WANANCHI MSIHOFU KUTUMIA NISHATI YA UMEME KATIKA VYOMBO VYA USAFIRI -MD TWANGE

Na Mwandishi Wetu,Dodoma Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Bw. Lazaro Twange, amewaondoa hofu wananchi kuhusu matumizi ya nishati ya umeme katika vyombo vya usafiri, akisema kuwa TANESCO imejipanga kujenga vituo vya kuchajia vyombo hivyo nchi nzima. Mkurugenzi huyo amesema hayo Juni 19, 2026, alipotembelea banda la TANESCO katika Maonesho ya Wiki ya…

Read More

MD TWANGE AIPONGEZA WIZARA Ya NISHATI KWAKUENDELEA KUBORESHA HUDUMA KWA WANANCHI

Na Mwandishi Wetu,Dodoma Mkurugenzi wa Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Bw. Lazaro Twange, ameipongeza Wizara ya Nishati kwa juhudi zake za kuendelea kuboresha huduma kwa wananchi na kuhakikisha upatikanaji wa huduma za nishati unakuwa wa uhakika katika maeneo mbalimbali nchini. Bw. Twange ametoa pongezi hizo Juni 19, 2026 katika viwanja vya Chinangali, jijini…

Read More

ELIMU YA VIPIMO YAWAVUTIA WANANCHI, WAAHIDI KUWA MABALOZI WA KUJITOLEA

Na Mwandishi Wetu,Dodoma “Sasa najua ni nini ninapaswa kuangalia ninapojaza mafuta, kununua sukari au hata ninaponunua gesi ya kupikia.” Ni kauli ya Bw. Bilson Vedastus, mmoja wa wananchi waliotembelea banda la Wakala wa Vipimo (WMA) katika Maonesho ya Kitaifa ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayoendelea Viwanja vya Chinangali Park, Dodoma. Banda hilo limekuwa kitovu…

Read More

BODI YA DAWASA YASISITIZA KUKAMILIKA KWA WAKATI UFUNGAJI WA PAMPU MPYA ZA MAJI

Na Mwandishi Wetu,Pwani ‎Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA), ikiongozwa na Mwenyekiti wake, Mhandisi Romanus Mwang’ingo, imekagua zoezi la ufungaji wa pampu mpya za kusukuma maji ghafi katika Mtambo wa Kuzalisha Maji wa Ruvu Juu uliopo Mlandizi, mkoani Pwani na kusisitiza ukamilishaji wake kwa wakati.‎‎Pampu hizo,…

Read More