TTCL YAKABIDHI GARI BAJAJI KUBORESHA HUDUMA YA MKONGO WA TAIFA
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam SHIRIKA la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limekabidhi magari tisa aina ya Toyota Hilux yenye thamani ya zaidi ya Sh Bilioni 1.6 bajaji nane zenye thamani ya Sh Milioni 291 kwa ajili ya kuboresha huduma kwa wananchi hasa katika mkongo wa Taifa. Akizungumza katika hafla ya makabidhiano hayo, Mkurugenzi Mkuu wa TTCL…

