PROFESA KABUDI AWAAHIDI NIC KUWAPA MIRADI YA MICHEZO

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaa WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Profesa Palamagamba Kabudi amelitaja Shirika la Bima Taifa (NIC)kuwa ni miongoni mwa mashirika yanayostahili kupewa miradi ya kuendeleza mambo mbalimbali yakimichezo kutokana  na kudhihirisha uwezo wao katika usimamiaji wa miradi mbalimbali. Kauli hiyo imetolewa jana jijini Dar es Salaam wakati,akipokea ombi kutoka kwa…

Read More

Dk Biteko ashiriki Rombo Marathon, apongeza ubunifu wake

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko leo ameshiriki mashindano ya Rombo Marathon yaliyohusisha mbio za Kilometa tano, kumi na 21 na kupongeza waandaaji kwa ubunifu wao uliopelekea marathon hiyo kuendelea kuimarika kila mwaka ambapo licha ya kulenga katika kuimarisha afya kwa washiriki, imejikita katika kuchangia uboreshaji wa huduma mbalimbali za…

Read More