TAMWA YALAANI MASHAMBULIZI VIONGOZI WANAWAKE MITANDAONI

Na Aziza Masoud Dar es Salaam  CHAMA Cha Waandishi wa Habari Wanawake (TAMWA) kimesema kinalaani vikali aina yoyote ya mashambulizi ya kijinsia dhidi ya wanawake  hasa viongozi wa kisiasa kupitia mitandao ya kijamii. Kauli hiyo imetolewa leo Juni 27, 2025,Mwasisi wa TAMWA Halima Sharif katika Mkutano Mkuu wa chama hicho uliokutanisha wanachama wa chama hicho…

Read More

KAMPENI YA ‘TOBOA KIDIGITALI’ YA TCB  KUHAMASISHA MATUMIZI HUDUMA KIDIGITI

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salam BENKI ya Biashara Tanzania (TCB) imezindua kampeni mpya ya kitaifa iitwayo “Toboa Kidijitali,” yenye lengo la kuhamasisha matumizi ya mifumo ya kisasa ya kufanya miamala ya kifedha na kuongeza ujumuishi wa kifedha nchini. Kampeni hiyo ambayo ina lengo pia lakurudisha sehemu ya faida katika jamii itadumu  kwakipindi cha miezi minne…

Read More

PROFESA MBARAWA:ATCL YAANZA RASMI KWENDA KINSHASA

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam SERIKALI kupitia Wizara ya Uchukuzi imezindua rasmi safari za ndege ya Air Tanzania kati ya Dar es Salaam, Tanzania na Kinshasa, DRC ambapo hafla hiyo imehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa serikali, wawekezaji, na Mabalozi Akizungumza kwenye uzinduzi huo Waziri wa Uchukuzi wa Tanzania, Prof Makame Mbarawa ametoa pongezi kwa Viongozi…

Read More

SERIKALI KUDHIBITI WANAOKWEPA KODI KWAKUBADILISHA MAJINA YA KAMPUNI

Na Mwandishi Wetu,Dodoma Waziri wa Fedha,  Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba  amesema Serikali imechukua hatua madhubuti kudhibiti mianya ya ukwepaji kodi unaosababishwa na mabadiliko ya majina ya kampuni za kigeni kwa kuhakikisha Namba ya Utambulisho wa Kodi (TIN) inabaki ile ile hata kama kampuni itabadilisha jina. Hayo ameyasema bungeni jijini  Dodoma leo Februari 4 mwaka 2025…

Read More