TTB YAMPOKEA MR.ALAYA ANAYEWANI REKODI YA GUINNESS DUNIANI

Na Mwandishi Wetu,Rukwa WIZARA ya Maliasili na Utalii kupitia Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), imempokea rasmi nchini mhamasishaji amani duniani, Saddam Suleiman Ali Alaya (Mr. Alaya), anayetekeleza safari ya kihistoria ya The World’s Longest Peace Walk, inayolenga kuweka rekodi ya Guinness World Records kupitia matembezi marefu zaidi ya kuhamasisha amani na mshikamano wa kimataifa. Mr….

Read Full News

MJUMBE WA BODI COSOTA AHOFIA UTAYARI WA KAZI WA MKURUGENZI ALIYETEULIWA

NA MWANDISHI WETU,DAR ES SALAAM MATARAJIO ya Serikali katika kuinua sekta ya Sanaa, Ubunifu kupitia Haki Miliki Tanzania (COSOTA) huenda yakaingia majaribuni baada ya Mkurugenzi wake Mteule Loy Mhando kutokuwa tayari kwenda kufanyakazi katika eneo hilo. Mjumbe huyo wa Bodi alieleza wasiwasi wake  kwa sharti la kutotajwa jina na kueleza kuwa hivi karibuni Waziri wa Habari,…

Read Full News

BABA LEVO ATEMBELEA BANDA LA TTCL

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam MSANII na Mtangazaji maarufu nchini ambaye pia ni Balozi wa Kampeini ya Walete ya Shirika la Mawasiliano Tanzania -TTCL, Clayton Revocatus Chipando, maarufu kama Baba Levo ametembelea banda la TTCL katika Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya SabaSaba yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere, jijini Dar es…

Read Full News