MAENEO YALIOATHIRIWA NA MVUA BARABARA YA DAR-LINDI-MTWARA YOTE NI SHWARI
Barabara ya Dar es salam-Lindi-Mtwara sasa imerejea katika hali ya kupitika baada ya kukamilika urejeshaji…
📌 Ukaguzi wa miundombinu wabaini hakuna changamoto ya kukatika kwa umeme mara kwa mara 📌 Wafanyabiashara waipongeza TANESCO kwa utatuzi wa haraka wa hitilafu Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limebaini kuwa huduma ya umeme katika Jengo la Kituo cha Mabasi cha Mwenge inaendelea kuwa ya uhakika baada ya kufanya…
Na Joseph Mahumi na Peter Haule, WF, Tanga Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), ametoa wito kwa wananchi wenye mahitaji maalumu kuchangamkia fursa za kuomba zabuni za Serikali kupitia Mfumo wa Kielektroniki wa Ununuzi wa Umma (NeST), kwa kuwa Serikali imetenga asilimia 30 ya zabuni za umma kwa makundi maalum ili kuongeza…
Na Mwandishi Wetu,Dodoma Kufuatia utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa maabara ya kisasa ya Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST), hatua hiyo inakwenda kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha utoaji wa huduma za maabara ya madini kusini mwa Jangwa la Sahara. Hayo yamesemwa leo tarehe 15 Julai, 2026 na Waziri wa Madini, Mh.Anthony…
Na Benny Mwaipaja, Tanga SERIKALI imeahidi kutoa shilingi Milioni 750 ili kukamilisha ujenzi wa majengo yaliyosalia katika Kituo kipya cha Afya Kange, kilichopo katika kata ya Maweni, jijini Tanga, ikiwa ni sehemu ya mkakati wa Serikali wa kuboresha huduma za afya kwa wananchi katika kata hiyo. Ahadi hiyo imetolewa leo na Waziri wa Fedha, Mhe….
Na Mwandishi Wetu,MorogoroKATIBU Tawala wa Wilaya ya Malinyi mkoani Morogoro, Saida Mhanga amesema, Serikali imetoa fedha nyingi kuhakikisha ulinzi wa mtoto unaimarika kwa kuwa, Tanzania imara ya kesho inategemea malezo bora ya watoto leo. Saida alitoa kaulio hiyo jana wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika na Siku ya Familia Duniani yaliyofanyika kwa…
Na. Joseph Mahumi na Peter Haule, WF, Tanga Waziri wa Fedha wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), ameipongeza Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) kwa kuongeza ufanisi wa Bandari ya Tanga kufuatia uwekezaji mkubwa uliofanywa na Serikali katika kuboresha miundombinu ya bandari hiyo, hatua ambayo imeiwezesha kupokea meli kubwa za…
Na Mwandishi Wetu,Pwani KAMPUNI ya TotalEnergies Marketing Tanzania imeendelea kuimarisha uwekezaji wake nchini baada ya kuzindua kituo chake cha 125 cha mafuta kilichopo Kibaha mkoani Pwani, hatua inayolenga kusogeza huduma za nishati karibu na wananchi, kuongeza ajira na kuchochea ukuaji wa uchumi. Uzinduzi huo unaashiria dhamira ya kampuni hiyo ya kuendelea kuwekeza katika miundombinu ya…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam Wananchi wanaotembelea banda la Tume ya Madini katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (SabaSaba) wanaendelea kunufaika na elimu kuhusu matumizi ya kifaa cha Gemmological Torch, kinachotumika kutambua ubora na thamani halisi ya madini ya vito. Akitoa elimu katika banda hilo, Mjiolojia na Mjimolojia Mwandamizi…
Na Mwandishi Wetu,Dar es SalaqmMaafisa wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) wanaendelea kuwahudumia wananchi wanaotembelea Banda la TTCL katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba 2026), kwa kuwapatia elimu kuhusu huduma na suluhisho mbalimbali za mawasiliano na teknolojia za kidijitali zinazotolewa na TTCL. Katika banda hilo, wananchi wanapata fursa…
Na Aziza Masoud, Dar es Salaam BODI ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imezindua rasmi Mwongozo wa Ithibati ya Maisha unaoruhusu waandishi wakongwe ambao hawana vigezo vya elimu vilivyowekwa kupata ithibati maalum kwakuzingatia uzoefu walionao katika taaluma ya habari. Uzinduzi wa muongozo huo umefanyika katika siku maalum ya JAB yaani ‘JAB Day’ ndani ya…