MAENEO YALIOATHIRIWA NA MVUA BARABARA YA DAR-LINDI-MTWARA YOTE NI SHWARI
Barabara ya Dar es salam-Lindi-Mtwara sasa imerejea katika hali ya kupitika baada ya kukamilika urejeshaji…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam SERIKALI imesema imekamilisha maandalizi ya Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba), kwa kuboresha miundombinu na kuanzisha mifumo ya kidijitali ya ununuzi wa tiketi na kuwaongoza wageni kufika katika mabanda mbalimbali, hatua inayolenga kuongeza ufanisi na kuondoa msongamano wa wananchi watakaotembelea maonesho hayo. Akizungumza leo…
Na Mwandishi Wetu Waziri wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa, amesema Serikali imetumia shilingi bilioni 51 kuboresha Kiwanja cha Ndege cha Kigoma, huku utekelezaji wa mradi huo ukiwa umefikia asilimia 67 na unatarajiwa kukamilika ifikapo Oktoba au Novemba 2026 Akizungumza baada ya kukagua maendeleo ya mradi huo mkoani Kigoma, leo tarehe 25 Juni, 2026 Prof. Mbarawa…
Na Benny Mwaipaja, Dodoma Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mussa Azzan Zungu, ameipongeza Serikali inayoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kuimwagia maua yake kwa kukubali kwa dhati kufanyia marekebisho baadhi ya tozo na kodi mbalimbali zilizokuwa zinapendekezwa kufanyiwa marekebisho katika Bajeti…
Na Mwandishi Wetu,Dodoma MKURUGENZI Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Lazaro Twange, ametoa rai kwa mameneja wa TANESCO nchini kusimamia na kupambana kwa nguvu zote na changamoto ya wizi wa miundombinu ya umeme, ambayo imekuwa ikijitokeza katika maeneo mbalimbali ya mikoa wanayoisimamia. Bw. Twange ameyasema hayo Juni 24, 2026, mkoani Dodoma wakati akifungua Mkutano…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam IKIWA zimebaki siku mbili kabla yakuanza kwa Maonesho ya Biashara ya Kimataifa maarufu kama Sabasaba Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila amewahakikishia wakazi wa Dar es Salaam usalama wakati wote wa maonesho ili kuwawezesha wakazi wa jiji hilo kufurahia maomesho hayo. Akizungumza leo Juni 25, 2026 wakati…
Na Mwandishi Wetu,Dodoma WAKALa wa Umeme Vijijini (REA) kutoka nchini Zambia yapongeza utekelezaji wa miradi ya umeme vijijini inayotekelezwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA). Pongezi hizo zimetolewa leo Juni 24, 2026 na Mtendaji Mkuu wa REA Zambia, Mhandisi Alex Mbumba wakati wa ziara ya viongozi hao…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umeshiriki Maonesho na Kongamano la Nishati Safi expo 2026 yanayofanyika katika ukumbi wa Ubungo EACLC jijini Dar es Salaam ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba. Akizungumza katika kongamano hilo leo Juni 24, 2026, Msimamizi wa miradi ya REA, Mha….
📌Afungua Mkutano Mkuu wa mwaka wa Mameneja na Wakurugenzi wa Kanda, Dodoma 📌Asisitiza umuhimu wa kuongeza ubunifu katika ukusanyaji wa mapato 📌Awapongeza kwa kazi nzuri na kuendelea kuimarisha mahusiano na wadau Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Bw. Lazaro Twange, ametoa rai kwa mameneja wa TANESCO nchini kusimamia na kupambana kwa nguvu zote…
📌Lengo ni kukidhi matarajio ya wananchi katika Sekta ya Nishati Na Mwandishi Wetu,Dodoma Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amewataka watendaji na watumishi wa Wizara ya Nishati na Taasisi zake kuongeza kasi ya utekelezaji wa majukumu yao katika mwaka mpya wa fedha 2026/2027 ili kuweza kukidhi matarajio makubwa ya wananchi katika sekta ya nishati. Mhe….
Na Mwandishi Wetu,Dar es SalaamZAIDI ya wafanyabiashara 3,752 waliopo nchini pamoja na nchi 23 zinatarajiwa kushiriki Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa maarufu kama Sabasaba yanayoandaliwa na Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (Tantrade) yatayoanza Juni 28 hadi Julai 13 mwaka huu. Akizungumza na waandishi wa habari leo Juni 24, 2026 Mkurugenzi Mkuu wa…