MAENEO YALIOATHIRIWA NA MVUA BARABARA YA DAR-LINDI-MTWARA YOTE NI SHWARI
Barabara ya Dar es salam-Lindi-Mtwara sasa imerejea katika hali ya kupitika baada ya kukamilika urejeshaji…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Mhe Albert Msando, ameongoza ziara maalum ya viongozi wa Manispaa ya Ubungo katika chanzo cha uzalishaji maji Ruvu Juu kwa lengo la kujionea hali ya uzalishaji na usambazaji wa maji pamoja na kutafuta suluhu ya pamoja ya changamoto za huduma ya Maji. Ziara hiyo imewahusisha…
Dalian, China Chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI) kimesaini makubaliano ya ushirikiano na Chuo Kikuu cha Bahari cha Dalian Maritime University (DMU) cha nchini China lengo la makubaliano hayo ni kuimarisha ushirikiano wa kimataifa katika sekta ya elimu ya bahari. Mkuu wa chuo cha DMI, Prof Tumaini ushirikiano uliopo kati ya taasisi hizo mbili…
Na Asha Mwakyonde, DODOMA MAKAMU wa Rais, Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani yatakayofanyika kesho kwa niaba ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, ambapo pia atazindua Mkakati wa Mageuzi Kabambe ya Usimamizi wa Mazingira nchini. Hayo yamesemwa leo Juni 4, 2026, na Waziri wa…
Na Aziza Masoud,Dar es Salam MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imesaini makubaliano na Chuo Cha Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi(VETA) kuwasaidia waraibu wa dawa za kulevya wanaopata nafuu kupata elimu ya ufundi stadi kwa bei nafuu katika vyuo vilivyopo nchi nzima. Akizungumza leo Juni 4. 2026 wakati wa kusaini…
Na Benny Mwaipaja, Dodoma Dodoma 2 Juni, 2026: Serikali kupitia Wizara ya Fedha imeliomba Bunge kuidhinisha jumla ya shilingi trilioni 21.3 kwa ajili ya utekelezaji wa majukumu ya Wizara hiyo pamoja na taasisi zake kwa Mwaka wa Fedha 2026/27. Akiwasilisha Mapendekezo ya Mpango na Bajeti bungeni, Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb),…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam Mahakam Kuu ya Tanzania, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, imewahukumu kifungo cha maisha jela Suleiman Thabit Ngulangwa na Farid Hamis Said baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la biashara haramu ya dawa za kulevya aina ya heroin yenye uzito wa kilo 15.19. Katika hukumu iliyotolewa Juni 1,…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) ni miongoni mwa taasisi zinazoshiriki Maadhimisho ya Wiki ya Mazingira Kitaifa yanayoendelea katika Viwanja vya Ukumbi wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma, yakiwa na kauli mbiu isemayo: “Dira 2050: Tuwajibike Kukijanisha Tanzania.” Maadhimisho hayo yanayofanyika kuanzia Juni 1 hadi 5…
Na Mwandishi Wetu,Morogoro MSEMAJI Mkuu wa Serikali, Ndugu Gerson Msigwa, ameipongeza Wizara ya Maji kwa usimamizi madhubuti wa ujenzi wa Bwawa la Maji Kidunda, akieleza kuwa mradi huo ni miongoni mwa miradi mikubwa ya kimkakati Nchini inayotarajiwa kuleta mageuzi makubwa katika sekta ya maji, kilimo, nishati na uhifadhi wa mazingira nchini.Msigwa, ambaye pia ni Katibu…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam WAZIRI wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu Sera,Bunge,Uratibu na Wenye Ulemavu Profesa Palamagamba Kabudi amesema bangi imeendelea kuwa dawa ya kulevya inayokamatwa kwa wingi zaidi nchini ambapo kwa mwaka 2025 jumla ya tani 1,017.26 zilikamtwa. Profesa Kabudi ametoa kauli hiyo Mei 29, 2026 jijini Dodoma wakati akitoa taarifa kuhusu hali ya…
Na Mwandishi Wetu Tanzania imeelezea msimamo wake wa kuunga mkono mbinu za fedha za mseto (blended finance) zitakazosaidia kuimarisha sekta za usafiri wa anga na afya barani Afrika, akieleza kwamba hakuna chanzo kimoja kitakachoweza kuziba mapungufu ya miundombinu ya bara hilo. Akizungumza kama Gavana Mbadala wa Tanzania kwenye mkutano ulioandaliwa na Benki ya Maendeleo ya…