MAENEO YALIOATHIRIWA NA MVUA BARABARA YA DAR-LINDI-MTWARA YOTE NI SHWARI
Barabara ya Dar es salam-Lindi-Mtwara sasa imerejea katika hali ya kupitika baada ya kukamilika urejeshaji…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam SPIKA wa Bunge Mstaafu Anne Makinda amewapongeza Wakala wa Umeme Vijijini (REA) kwakupiga hatua kubwa yakuwasaidia wananchi kupitia ubunifu wao wakusambaza umeme vijijini pamoja na nishati safi ya kupikia na kwamba wametoa unafuu wa maisha kwa wananchi hasa wa vijini. Makinda alitoa kauli hiyo alipotembelea katika banda la REA waliopo…
Na Asha Mwakyonde, DAR ES SALAAM OFISI ya Usuluhishi wa Malalamiko na Taarifa za Kodi (TOST) imesema inaendelea kuweka mazingira rafiki kwa wafanyabiashara na wawekezaji kwa kushughulikia kwa haraka malalamiko yanayohusu kodi, hatua inayochochea ulipaji wa kodi kwa hiari na kuimarisha ukuaji wa uchumi wa taifa. Akizungumza Julai 2, 2026, katika Maonesho ya 50 ya…
Na Aziza Masoud,Dar es Salaam BODI ya Bima ya Amana (DIB), imesema mpaka sasa jumla Sh Bilioni tisa kati ya Bilioni 11 zimeshalipwa kwa wateja waliokuwa wamehifadhi fedha katika benki saba zilizotangazwa mufilisi na Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kuwasisitiza wateja kufika katika benki walizotangaziwa kuchukua fedha zao. Akizungumza katika Maonesho ya 50 ya Biashara…
Na Asha Mwakyonde, DAR ES SALAAM WAZIRI wa Fedha, Balozi Khamis Mussa Omar, ameipongeza Taasisi ya Uhasibu Arusha (IAA) kwa kuanzisha programu za mafunzo ya ujasiriamali na stadi za biashara zinazolenga makundi maalumu, ikiwemo kuwajengea uwezo wafungwa wanaokaribia kumaliza vifungo vyao ili waweze kujitegemea wanaporejea katika jamii. Pongezi hizo alizitoa Julai 2, 2026, alipotembelea banda…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limeendelea kutekeleza mkakati wake wa kuboresha mazingira ya kazi kwa kukabidhi magari sita (6) mapya yenye thamani ya Shilingi milioni 903 kwa Meneja wa Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano, Meneja wa Network Operations and Maintenance pamoja na Meneja wa Network Planning, hatua inayolenga kuongeza ufanisi…
Na Aziza Masoud,Dar es Salaam BARAZA la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET) limetumka Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) kutoa elimu umuhimu wa mkondo wa amali unaotekelezwa katika shule za sekondari na kuwahamasisha wanafunzi kusoma masomk hayo ambayo yanatolewa kwa vitendo zaidi. Akizungumza…
Na Aziza Masoud,Dar es Salaam WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga ameipongeza Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA) kwa kazi kubwa wanayoifanya katika kutengeneza magari pamoja na huduma mbalimbali wanazotoa kupitia vyombo vya moto vilivyopo chini yake na kusisitiza kuwa taasisi hiyo imepiga hatua kwakuwa inaenda na kasi ya mabadiliko ya teknolojia. Kapinga…
Na Aziza Masoud,Dar es Salaam WIZARA ya Katiba na Sheria imewahimiza Watanzania kutumia zaidi njia za mazungumzo ambayo inasaidia kuleta matokeo haraka kwa mfumo wa maridhiano katika kutatua migogoro badala ya kukimbilia mahakamani ambapo wanatumia muda mrefu kukamilisha taratibu za kupata haki zao. Wito huo umetolewa na Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Zainab Katimba…
📌 utaimarisha upatikanaji wa umeme kwa wananchi, viwanda na shughuli za kiuchumi 📌 Wananchi wanatarajiwa kunufaika na huduma ya umeme yenye uhakika zaidi baada ya kukamilika kwa mradi 📌 TANESCO yavunja rekodi kwa kuunganisha zaidi ya wateja laki nane mwaka 2025/26 Na Mwandishi Wetu, Morogoro Watanzania katika maeneo mbalimbali nchini wanatarajiwa kunufaika na huduma ya…
📌 Waziri Ndejembi amtaka mkandarasi kukamilisha ukarabati kwa wakati bila kuongezewa muda wa mkataba 📌 Kukamilika kwake kutaongeza ufanisi wa uzalishaji na kuimarisha upatikanaji wa umeme wa uhakika Mkoa wa Tanga na maeneo ya jirani Na Mwandishi Wetu, Korogwe – Tanga Serikali imeendelea kusimamia utekelezaji wa miradi ya ukarabati wa miundombinu ya umeme nchini, huku…