TIRA YAWAHAMASISHA WAKULIMA KUKATA BIMA KUJIKINGA NA HASARA

Na Mwandishi Wetu, Dodoma MAMLAKA  ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA) imewahamasisha wakulima na wafugaji nchini kujiunga na bima ya kilimo ili kujikinga dhidi ya hasara zinazotokana na majanga mbalimbali yanayoathiri uzalishaji, ikieleza kuwa huduma hiyo ni moja ya njia muhimu za kuongeza uhakika wa uwekezaji katika sekta ya kilimo. Wito huo umetolewa leo Agosti…

Read Full News

GST YAWATAKA WACHIMBAJI KUTUMIA TAARIFA ZA KITAALAM KUEPUKA UCHIMBAJI WA KUBAHATISHA

Na Aziza Masoud, Dodoma TAASISI ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) imewataka wachimbaji wa madini na wawekezaji kutumia taarifa za kitaalamu kabla ya kuanza shughuli za uchimbaji na kusisitiza kuwa  hatua hiyo itapunguza hasara zinazotokana na uchimbaji wa kubahatisha na kuongeza tija katika sekta ya madini. Akizungumza jana katika Maonesho ya Wakulima  Nanenane…

Read Full News

WAZIRI MBARAWA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI WA MAKUBALIANO KATI YA TRC NA KAMPUNI ZA ITALIA

Na Mwandishi Wetu,Italia Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa,  leo Agosti 5, 2026, ameshuhudia hafla ya utiaji saini wa Hati ya Makubaliano (MoU)  yakimkakati kati ya Shirika la Reli Tanzania (TRC), Kampuni ya FS Engineering na ITS Engineering za Italia. Hafla iliyofanyika katika Makao Makuu ya Wizara ya Miundombinu na Uchukuzi ya Italia jijini Rome…

Read Full News

MKANDARASI AKAMILISHA AWAMU YA KWANZA YA UVUTAJI WA NYAYA KATIKA MRADI WA CHALINZE–DODOMA

📌TANESCO yawashukuru wateja kwa uvumilivu na kutangaza awamu ya pili kuanza Agosti 11–14 katika maeneo ya Kikombo na Mkonze – Dodoma Na Mwandishi Wetu,Morogoro SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limesema Mkandarasi amekamilisha kwa mafanikio awamu ya kwanza ya kazi za uvutaji wa nyaya katika eneo la Mkambarani, Mkoa wa Morogoro, ikiwa ni sehemu ya hatua…

Read Full News

T-PESA YAHAMASISHA VYAMA VYA USHIRIKA KUTUMIA MIFUMO WA MALIPO KWA MKUPUO KUWALIPA WAKULIMA

Na Mwandishi Wetu,Dodoma SHIRIKA la Mawasiliano Tanzania (TTCL) kupitia kampuni ya T-Pesa imezitaka kampuni, taasisi na vyama vya ushirika kutumia Mfumo wa Malipo kwa Mkupuo (Bulk Payment) ili kurahisisha malipo kwa wakulima na wanufaika wengine, huku ikipunguza matumizi ya fedha taslimu. Akizungumza katika Maonesho ya Wakulima Nanenane yanayoendelea kitaifa mkoani Dodoma, Afisa Mauzo kutoka Kitengo…

Read Full News

VIJANA WAHAMASISHWA KUTUMIA FURSA ZA MADINI KUJIKWAMUA KIUCHUMI

Na Mwandishi Wetu,Dodoma Vijana nchini wamehimizwa kutumia nguvu kazi, maarifa na ubunifu wao kuchangamkia fursa zinazotolewa na Sekta ya Madini badala ya kusubiri misaada au mitaji kutoka serikalini, huku wakitakiwa kuanza na rasilimali walizonazo ili kujenga mafanikio ya kiuchumi. Wito huo umetolewa kwenye Maonesho ya Nane Nane yanayoendelea Kitaifa jijini Dodoma na Mkurugenzi wa Xinda…

Read Full News

TTCL: UHIFADHI WA TAARIFA NDANI YA NCHI UIMARISHA USALAMA KIDIGITALI

Na Mwandishi Wetu, Dodoma SHIRIKA  la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limesema kuhifadhi taarifa na mifumo ya taasisi ndani ya nchi kupitia Kituo cha Taifa cha Kuhifadhi Taarifa Kidijitali (National Internet Data Centre – NIDC) ni hatua muhimu ya kuimarisha usalama wa taarifa na kulinda uhuru wa kidijitali wa Tanzania. Akizungumza katika Maonesho ya Nanenane yanayoendelea jijini…

Read Full News