TBA YAANZA SAFARI YA KUCHOCHEA UCHUMI KUPITIA MIRADI YA UWEKEZAJI

Na Mwandishi Wetu, Dodoma WAKALA wa Majengo Tanzania (TBA) umeweka mkakati wa kuchochea shughuli za kiuchumi nchini kwa kuwashirikisha wawekezaji katika ujenzi wa nyumba, majengo ya biashara, viwanda na miundombinu ya kuhifadhi na kuchakata mazao. Hatua hiyo inatajwa kuwa na uwezo wa kuongeza thamani ya mazao, kufungua masoko mapya kwa wakulima na wafugaji pamoja na…

Read Full News

MFUMO WA GHALA PROJECT UTAONGEZA UWAZI KWA MKULIMA 

Na Aziza Masoud, Dodoma CHUO Kikuu Cha Dodoma (UDOM) kimetengeneza mfumo  wa kidijitali wa Ghala Project  unaolenga kuongeza  uwazi katika matumizi ya mfumo wa stakabadhi ghalani na kuwawezesha wakulima kupata taarifa za mazao yao kwa wakati. Mfumo huo unaotekelezwa kupitia Ghala Project, unalenga kutatua changamoto zinazowakabili wakulima katika kupata taarifa baada ya kuwasilisha mazao yao maghalani,…

Read Full News

GST:TAFITI ZA JIOSAYANSI NI NGUZO YA DIRA YA TAIFA NA UCHUMI ENDELEVU WA MADINI

Na Mwandishi Wetu,Dodoma MWENYEKITI wa Bodi ya Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST), Bi. Yokbeth Festo Myumbilwa, amesema tafiti za jiosayansi zinazofanywa na taasisi hiyo zina mchango mkubwa katika kuibua maeneo yenye rasilimali za madini, kuvutia uwekezaji na kuchochea ukuaji wa uchumi wa Taifa unaolengwa katika Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050….

Read Full News

PBPA:MFUMO WA UAGIZAJI MAFUTA PAMOJA UNAIMARISHA USALAMA WA NISHATI NA UCHUMI

Na Mwandishi Wetu,Dodoma WAKALA wa Uagizaji wa Mafuta kwa Pamoja (PBPA) umesema umejizatiti kuhakikisha Tanzania inaendelea kuwa na upatikanaji wa uhakika wa mafuta wakati wote kupitia mfumo wa uagizaji wa pamoja, hatua inayochangia ukuaji wa uchumi na utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050. Akizungumza leo Agosti 7, 2026 katika Maonesho ya Nanenane yanayoendelea…

Read Full News

FURSA ZA BIASHARA ZA MABILIONI KATIKA MIGODI ZAWAFUNGUKIA WATANZANIA

Na Mwandishi Wetu,Dodoma SERIKALI kupitia Tume ya Madini imefungua fursa za biashara zenye thamani ya mabilioni ya fedha katika migodi kwa Watanzania, huku vijana na wanawake wakipewa kipaumbele ili kuongeza ushiriki wao katika Sekta ya Madini na kuchochea utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050. Hatua hiyo inalenga kujenga uchumi shindani na jumuishi unaowezesha…

Read Full News