MAENEO YALIOATHIRIWA NA MVUA BARABARA YA DAR-LINDI-MTWARA YOTE NI SHWARI
Barabara ya Dar es salam-Lindi-Mtwara sasa imerejea katika hali ya kupitika baada ya kukamilika urejeshaji…
📌TANESCO yasema baadhi ya Mikoa ya Kanda ya Kati, Kanda ya Magharibi, Kanda ya Kaskazini, Kanda ya Kusini Magharibi na Kanda ya ziwa kupata umeme kwa ratiba maalumu 📌Lengo ni kumpisha Mkandarasi kuendelea na utekelezaji wa Mradi huo wa kusafirisha umeme Msongo wa Kilovolti 400 ambao uko mbioni kukamilika. Na Mwandishi Wetu,Chalinze Shirika la Umeme…
Na Mwandishi Wetu,Shinyanga Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amewasha umeme katika Kitongoji cha Mwanubi mkoani Shinyanga na kusema kuwa huduma ya umeme ni hitaji la msingi kwa Watanzania na nyenzo muhimu katika kuchochea maendeleo ya kiuchumi na kijamii. Akizungumza wakati wa hafla ya kuwasha umeme katika kitongoji hicho, Mhe. Ndejembi amesema kufikishwa kwa umeme…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam IKIWA ni sehemu ya usimamizi thabiti wa sekta na kuhakikisha Serikali inapata mapato yake ipasavyo kupitia mfumo rasmi wa masoko ya madini nchini, soko bubu la madini lagunduliwa jijini Dar es Salaam. Waziri wa Madini, Mheshimiwa Anthony Mavunde (Mb) ameyasema hayo leo tarehe 09 Agosti, 2026 wakati akizungumza na waandishi…
Na Mwandishi Wetu, Dodoma CHUO cha Bahari Dar es Salaam (DMI) kimesema kuwa Tanzania inahitaji kuongeza idadi ya wataalamu wa usafirishaji na usimamizi wa mnyororo wa bidhaa ili kuongeza tija, ushindani wa bidhaa za ndani na kufikia malengo ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050. Akizungumza wakati wa alipotembelea Maonesho ya Wakulima Nanenane ,Mkuu wa…
Na Mwandishi Wetu,Dodoma KAIMU Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini, Mhandisi Aziza Swedi, amesema Maonesho ya Nanenane ni jukwaa muhimu la kuwaelimisha wananchi kuhusu Sekta ya Madini, kusikiliza maoni yao na kupata mrejesho unaosaidia kuboresha huduma na kuongeza thamani ya sekta hiyo. Mhandisi Swedi amesema hayo baada ya kutembelea mabanda ya Taasisi za Wizara ya…
Na Mwandishi Wetu, Dodoma WAKALA wa Majengo Tanzania (TBA) umeweka mkakati wa kuchochea shughuli za kiuchumi nchini kwa kuwashirikisha wawekezaji katika ujenzi wa nyumba, majengo ya biashara, viwanda na miundombinu ya kuhifadhi na kuchakata mazao. Hatua hiyo inatajwa kuwa na uwezo wa kuongeza thamani ya mazao, kufungua masoko mapya kwa wakulima na wafugaji pamoja na…
Na Aziza Masoud, Dodoma CHUO Kikuu Cha Dodoma (UDOM) kimetengeneza mfumo wa kidijitali wa Ghala Project unaolenga kuongeza uwazi katika matumizi ya mfumo wa stakabadhi ghalani na kuwawezesha wakulima kupata taarifa za mazao yao kwa wakati. Mfumo huo unaotekelezwa kupitia Ghala Project, unalenga kutatua changamoto zinazowakabili wakulima katika kupata taarifa baada ya kuwasilisha mazao yao maghalani,…
Na Aziza Masoud, Dodoma WAKATI asali ikiendelea kuwa zao la nyuki linalofahamika na kutumiwa na Watanzania wengi, wazalishaji wa mazao ya nyuki wameanza kuhamasisha matumizi ya chavua ya nyuki (bee pollen), wakisema bado haijapata soko kubwa licha ya kuwa na virutubisho vinavyoweza kusaidia afya. Akizungumza katika banda la Benki ya Kilimo Tanzania (TADB) katika Maonesho…
Na Mwamdishi Wetu,Dodoma MKURUGENZI wa Huduma za Udhibiti wa Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA) , Daniel Ndiyo amewataka wananchi kuzitumia maabara za Mamlaka kuchunguza mazao ya kilimo ili kutambua usalama wake kabla ya matumizi. Mkurugenzi Ndiyo amesema hayo Agosti 7, 2026 wakati akizungumza na waandishi wa Habari waliotembelea Banda la Mamlaka…
Na Mwandishi Wetu,Dodoma MWENYEKITI wa Bodi ya Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST), Bi. Yokbeth Festo Myumbilwa, amesema tafiti za jiosayansi zinazofanywa na taasisi hiyo zina mchango mkubwa katika kuibua maeneo yenye rasilimali za madini, kuvutia uwekezaji na kuchochea ukuaji wa uchumi wa Taifa unaolengwa katika Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050….