MAENEO YALIOATHIRIWA NA MVUA BARABARA YA DAR-LINDI-MTWARA YOTE NI SHWARI
Barabara ya Dar es salam-Lindi-Mtwara sasa imerejea katika hali ya kupitika baada ya kukamilika urejeshaji…
Na Mwandishi Wetu, Dodoma BODI ya Bima ya Amana (DIB) imesema imeanza kutekeleza jukumu jipya la kusaidia benki na taasisi za fedha zinazokabiliwa na changamoto za kifedha ili zisifilisike, hatua inayolenga kulinda fedha za wateja na kudumisha utulivu wa sekta ya fedha nchini. Akizungumza katika Maonesho ya Wakulima ya Kimataifa Nanenane yanayoendelea katika viwanja vya…
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Serikali imeongeza kasi ya utafiti wa madini nchini katika hatua inayolenga kufungua maeneo mapya ya uwekezaji, kuongeza ajira na mapato ya Serikali, huku wachimbaji wadogo wakitarajiwa kunufaika kwa kupata taarifa sahihi zitakazowasaidia kufanya uchimbaji wenye tija. Akizungumza katika Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo ya Nanenane yanayoendelea jijini Dodoma, Mkurugenzi Mtendaji wa…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) Wilaya ya Ubungo imeanza utekelezaji wa mpango wa kuboresha huduma ya maji katika Mtaa wa Kimara B kwa kulaza bomba lenye uwezo mkubwa zaidi, hatua inayolenga kukidhi mahitaji ya sasa ya wakazi na kuondoa changamoto ya upatikanaji wa maji…
Na Mwandishi Wetu,Dodoma MKURUGENZI wa Nishati Jadidifu na Teknolojia Mbadala wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Mha. Advera Mwijage, amesema REA imeanza utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa vituo vidogo vya mafuta vijijini ili kuboresha upatikanaji wa huduma za mafuta na kuchochea maendeleo ya shughuli za kiuchumi katika maeneo ya vijijini. Akizungumza na wadau waliotembelea…
Na Mwandishi Wetu, Dodoma WAKULIMA waliokata bima kupitia benki na mawakala wa bima wametakiwa kufahamu haki zao na kutumia Ofisi ya Msuluhishi wa Migogoro ya Bima (TIO) kudai fidia wanapokumbana na migogoro, badala ya kukimbilia mahakamani. Wito huo umetolewa na Msuluhishi Mkuu wa Migogoro ya Bima, Aloyce Mbunito, wakati wa Maonesho ya Nanenane yanayoendelea katika…
Na Mwandishi Wetu, Dodoma WAANDISHI wa habari nchini wanaoshiriki Maonesho ya Wakulima Nanenane yanayoendelea kitaifa jijini Dodoma ni miongoni mwa kundi linaloongoza kwa kujitokeza kukata bima za maisha, hatua inayotajwa kuwa ishara ya kuongezeka kwa uelewa kuhusu umuhimu wa huduma hiyo Akizungumza katika maonesho hayo, Mkurugenzi wa Masoko na Mawasiliano wa NIC Insuarance, Karimu Meshack,…
Na Asha Mwakyonde, DODOMA MKUU wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Rajabu Mabele, amesema jeshi hilo litaendelea kuwa karibu na wananchi kwa kutoa elimu ya kilimo bora, ufugaji wa kisasa na uvuvi wenye tija, huku likitumia maonesho ya Nanenane kama jukwaa la kuonesha mchango wake katika maendeleo ya kiuchumi na kijamii. Amesema uwepo…
Na Mwandishi Wetu, Dodoma MAMLAKA ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA) imewahamasisha wakulima na wafugaji nchini kujiunga na bima ya kilimo ili kujikinga dhidi ya hasara zinazotokana na majanga mbalimbali yanayoathiri uzalishaji, ikieleza kuwa huduma hiyo ni moja ya njia muhimu za kuongeza uhakika wa uwekezaji katika sekta ya kilimo. Wito huo umetolewa leo Agosti…
Na Aziza Masoud, Dodoma TAASISI ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) imewataka wachimbaji wa madini na wawekezaji kutumia taarifa za kitaalamu kabla ya kuanza shughuli za uchimbaji na kusisitiza kuwa hatua hiyo itapunguza hasara zinazotokana na uchimbaji wa kubahatisha na kuongeza tija katika sekta ya madini. Akizungumza jana katika Maonesho ya Wakulima Nanenane…
Na Mwandishi Wetu,Italia Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa, leo Agosti 5, 2026, ameshuhudia hafla ya utiaji saini wa Hati ya Makubaliano (MoU) yakimkakati kati ya Shirika la Reli Tanzania (TRC), Kampuni ya FS Engineering na ITS Engineering za Italia. Hafla iliyofanyika katika Makao Makuu ya Wizara ya Miundombinu na Uchukuzi ya Italia jijini Rome…