REA YABORESHA UZALISHAJI CHUMVI SINGIDA, YAWAWEZESHA WANAWAKE

📌Miundombinu mipya kuongeza uzalishaji, ubora wa chumvi na kipato cha wanawake 📌Mashine 50 za mkaa mbadala kuongeza upatikanaji wa nishati safi ya kupikia Na Mwandishi Wetu, Singida WAKALA wa Nishati Vijijini (REA) umejenga miundombinu ya kisasa ya uzalishaji wa chumvi kwa wanawake wa Kijiji cha Nsunsu, Wilaya ya Iramba mkoani Singida, hatua inayotarajiwa kuongeza tija,…

Read Full News

MADAWATI YA MSAADA WA KISHERIA NYENZO MUHIMU KATIKA UPATIKANAJI WA HAKI NCHINI

Na Mwandiahi Wetu,Morogoro Serikali imesisitiza dhamira yake ya kuendelea kuimarisha na kuhakikisha uendelevu wa huduma za msaada wa kisheria nchini, ili wananchi wapate haki na huduma za kisheria kwa wakati, kwa ufanisi na bila vikwazo visivyo vya lazima. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Msaidizi wa Uratibu wa Huduma za Msaada wa Kisheria kutoka Wizara ya Katiba…

Read Full News

DK.MWIGULU:WATU ZAIDI YA MILIONI MBILI HAWAJACHUKUA VITAMBULISHO NIDA

Na Aziza Masoud,Dar es Salaam WAZIRI Mkuu Dk.Mwigulu Nchemba, amewataka Watanzania zaidi ya milioni mbili ambao tayari wamesajiliwa na vitambulisho vyao vya taifa viko tayari, kwenda kuvichukua badala ya kuviacha katika ofisi za Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA). Mwigulu alisema hayo leo Septemba 16, 2026 wakati akizungumza katika maadhimisho ya kwanza ya kitaifa ya…

Read Full News

WAOSHA MAGARI WAUZA MAUA WAPEWA SOMO UPOTEVU MAJI

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imewataka wafanyabiashara wanaotegemea maji katika shughuli zao, wakiwemo waosha magari, wafyatua matofali na watunza bustani, kushiriki katika kudhibiti upotevu wa maji na kulinda miundombinu ya huduma hiyo. Wito huo umetolewa katika kikao cha kutoa elimu kwa wafanyabiashara hao kuhusu…

Read Full News

MRADI WA NJIA YA KUSAFIRISHA UMEME WA KV 220 IGANJO–SAZA KUIMARISHA UPATIKANAJI WA UMEME NA KUCHOCHEA UCHIMBAJI WA MADINI – MHE. SALOME

📌 Ashuhudia utiaji saini mkataba wa utekelezaji wa mradi kutoka Iganjo, Mbeya hadi Saza, Songwe 📌 Mradi kutekelezwa kwa miezi 18 kwa gharama ya Shilingi Bilioni 198.67 Na Mwandishi Wetu,Mbeya Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amesema utekelezaji wa Mradi wa Njia ya Kusafirisha Umeme wa Msongo wa Kilovoti 220 kutoka Iganjo, Mkoani Mbeya,…

Read Full News