WAFUGAJI WATAKIWA KUYAONGEZEA THAMANI MAZIWA KUONGEZA KIPATO

Na Mwandishi Wetu, Dodoma  CHUO Cha Ufundi Stadi (VETA) Singida kimewahimiza wafugaji wa ng’ombe nchini kuongeza thamani ya maziwa wanayozalisha kwa kuyachakata na kutengeneza bidhaa mbalimbali badala ya kuyauza yakiwa mabichi, hatua ambayo itawaongezea kipato na kuinua thamani ya bidhaa zao. Akizungumza katika banda la Mamlaka  ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) katika Maonesho…

Read Full News

e-GA: MIFUMO YA KIDIGITALI YA KILIMO  INAONGEZA UWAZI 

Na Aziza Masoud,Dodoma SERIKALI kupitia Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA)  inaendelea kushirikiana na Wizara ya Kilimo katika kuimarisha matumizi ya mifumo ya kidijitali inayorahisisha utoaji wa huduma, kuongeza uwazi na kuboresha usimamizi wa shughuli za kilimo nchini. Akizungumza katika Maonesho ya Wakulima  ya Kitaifa yanayoendelea jijini Dodoma, Meneja wa Mawasiliano e -GA  Subira Kaswaga alisema…

Read Full News

MFUMO MPYA WA BRELA WARAHISISHA USAJILI WA BIASHARA, HUDUMA ZAWAFIKIA WANANCHI NANENANE DODOMA

Na Mwandishi Wetu, DodomaWakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) umesema maboresho ya mfumo wake wa usajili yameongeza ufanisi, uwazi na usalama wa huduma za urasimishaji wa biashara, huku wananchi wakipata fursa ya kujifunza na kupata huduma hizo moja kwa moja katika Maonesho ya Nanenane yanayoendelea viwanja vya Mzunguni, Dodoma. Akizungumza katika maonesho hayo,…

Read Full News

MD TWANGE AWATAKA WANASHERIA WA TANESCO KUENDELEA KUSIMAMIA MAADILI NA TAALUMA

📌 Afungua Jukwaa la Wanasheria wa TANESCO jijini Mwanza 📌 Awasisitiza kutoa ushauri wa kisheria kwa wakati na kulinda maslahi ya Shirika Na Mwandishi Wetu, Mwanza Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Bw. Lazaro Twange, amewataka wanasheria wa shirika kuendelea kusimamia maadili ya taaluma, kutoa ushauri wa kisheria kwa wakati na kulinda maslahi…

Read Full News

SERIKALI NA WAWEKEZAJI & WATOA HUDUMA MIGODINI WAJADILI CHANGAMOTO NA MAFANIKIO KWENYE SEKTA YA MADINI

▪️Rais Samia apongezwa kwa mazingira rafiki ya uwekezaji ▪️ Wadau wapongeza hatua za serikali za kutatua changamoto ▪️Waziri Mavunde awataka Watanzania kuanza ujenzi wa viwanda vya bidhaa za migodini Na Mwandishi Wetu,Dar es salaam Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde, amesema Serikali itaendelea kushirikiana na wadau wa sekta ya madini kupitia majukwaa ya majadiliano kwa…

Read Full News