MAENEO YALIOATHIRIWA NA MVUA BARABARA YA DAR-LINDI-MTWARA YOTE NI SHWARI
Barabara ya Dar es salam-Lindi-Mtwara sasa imerejea katika hali ya kupitika baada ya kukamilika urejeshaji…
Na Mwandishi Wetu, Dodoma SHIRIKA la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limesema kuhifadhi taarifa na mifumo ya taasisi ndani ya nchi kupitia Kituo cha Taifa cha Kuhifadhi Taarifa Kidijitali (National Internet Data Centre – NIDC) ni hatua muhimu ya kuimarisha usalama wa taarifa na kulinda uhuru wa kidijitali wa Tanzania. Akizungumza katika Maonesho ya Nanenane yanayoendelea jijini…
Na Aziza Masoud, Dodoma SERIKALI imeendelea kuwekeza katika miradi ya umwagiliaji kwa lengo la kuwawezesha wakulima kupata maji ya uhakika kwa ajili ya uzalishaji wa mazao ya chakula, mboga mboga na matunda kwa lengo la kuongeza tija na kuimarisha kipato kwa wananchi. Akizungumza leo Agosti 3, 2026 jijini Dodoma katika Maonesho ya Wakulima ya Kimataifa …
Na Mwandishi Wetu,Lindi MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imeteketeza hekari 3,117.9 za mashamba ya bangi na kukamata watuhumiwa 12 katika operesheni maalum ya siku 16 iliyofanyika katika vijiji vinne vya Kata ya Kandawale na Kipatimo, Wilaya ya Kilwa, mkoani Lindi. Akizungumza kuhusu operesheni hiyo, Kamishna Jenerali wa DCEA, Aretas Lyimo,…
Na Mwandishi Wetu,Rukwa WIZARA ya Maliasili na Utalii kupitia Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), imempokea rasmi nchini mhamasishaji amani duniani, Saddam Suleiman Ali Alaya (Mr. Alaya), anayetekeleza safari ya kihistoria ya The World’s Longest Peace Walk, inayolenga kuweka rekodi ya Guinness World Records kupitia matembezi marefu zaidi ya kuhamasisha amani na mshikamano wa kimataifa. Mr….
NISHATI NI CHACHU YA KILIMO, UCHUMI NA MAENDELEO YA VIJIJINI – MHA. SAIDY Na Mwandishi Wetu,Dodoma Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Mha. Hassan Saidy, amewakaribisha wananchi na wadau kutoka sekta mbalimbali kutembelea Banda la REA katika Maonesho ya Nane Nane 2026 yanayoendelea katika Viwanja vya Nzuguni, jijini Dodoma, ili kujionea mafanikio ya…
Na Aziza Masoud, Dodoma CHAMA Kikuu cha Ushirika Tunduru (TAMKU LTD) kimeeleza mpango wa kujenga kiwanda cha kuchakata korosho wilayani Tunduru mkoani Ruvuma ili kuongeza thamani ya zao hilo, kuboresha soko na kuinua kipato cha wakulima. Akizungumza katika Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo ya Nanenane yanayoendelea jijink Dodoma, Mjumbe wa Bodi ya TAMKU, Nurudini Rajabu…
Na Mwandishi Wetu,Dodoma MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imewataka wakulima na wafugaji kufika katika banda hilo ili kuweza kupata elimu ya kodi hasa katika Mfumo wa Jumuishi wa Kodi za Ndani (IDRAS) pamoja na kupatiwa namba ya mlipa kodi (TIN) bure. Akizungumza katika maonesho ya wakulima nchini yanayofanyika katika viwanja vya Nzuguni mjini Dodoma, Afisa…
Na Mwandishi Wetu, Dodoma CHUO Cha Ufundi Stadi (VETA) Singida kimewahimiza wafugaji wa ng’ombe nchini kuongeza thamani ya maziwa wanayozalisha kwa kuyachakata na kutengeneza bidhaa mbalimbali badala ya kuyauza yakiwa mabichi, hatua ambayo itawaongezea kipato na kuinua thamani ya bidhaa zao. Akizungumza katika banda la Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) katika Maonesho…
Na Mwandishi Wetu, Dodoma BODI ya Bima ya Amana (DIB) imewataka watu 428 ambao walikuwa wanachama wa benki ya FBME kwenda kuchukua fedha zao haraka ambazo ni takribani Sh Bilioni nne. Akizungumza leo Agosti 2, 2026 jijini Dodoma katika Maonesho ya Kimataifa ya Wakulima Nane Nane,Mkurugenzi Mkuu wa DIB,Isack Kihwili alisema madai ya wenye…
Na Aziza Masoud,Dodoma SERIKALI kupitia Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) inaendelea kushirikiana na Wizara ya Kilimo katika kuimarisha matumizi ya mifumo ya kidijitali inayorahisisha utoaji wa huduma, kuongeza uwazi na kuboresha usimamizi wa shughuli za kilimo nchini. Akizungumza katika Maonesho ya Wakulima ya Kitaifa yanayoendelea jijini Dodoma, Meneja wa Mawasiliano e -GA Subira Kaswaga alisema…