MAENEO YALIOATHIRIWA NA MVUA BARABARA YA DAR-LINDI-MTWARA YOTE NI SHWARI
Barabara ya Dar es salam-Lindi-Mtwara sasa imerejea katika hali ya kupitika baada ya kukamilika urejeshaji…
Na Mwandishi Wetu, Dodoma MAMLAKA ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA) imewahamasisha wakulima na wafugaji nchini kujiunga na bima ya kilimo ili kujikinga dhidi ya hasara zinazotokana na majanga mbalimbali yanayoathiri uzalishaji, ikieleza kuwa huduma hiyo ni moja ya njia muhimu za kuongeza uhakika wa uwekezaji katika sekta ya kilimo. Wito huo umetolewa leo Agosti…
Na Aziza Masoud, Dodoma TAASISI ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) imewataka wachimbaji wa madini na wawekezaji kutumia taarifa za kitaalamu kabla ya kuanza shughuli za uchimbaji na kusisitiza kuwa hatua hiyo itapunguza hasara zinazotokana na uchimbaji wa kubahatisha na kuongeza tija katika sekta ya madini. Akizungumza jana katika Maonesho ya Wakulima Nanenane…
Na Mwandishi Wetu,Italia Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa, leo Agosti 5, 2026, ameshuhudia hafla ya utiaji saini wa Hati ya Makubaliano (MoU) yakimkakati kati ya Shirika la Reli Tanzania (TRC), Kampuni ya FS Engineering na ITS Engineering za Italia. Hafla iliyofanyika katika Makao Makuu ya Wizara ya Miundombinu na Uchukuzi ya Italia jijini Rome…
📌TANESCO yawashukuru wateja kwa uvumilivu na kutangaza awamu ya pili kuanza Agosti 11–14 katika maeneo ya Kikombo na Mkonze – Dodoma Na Mwandishi Wetu,Morogoro SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limesema Mkandarasi amekamilisha kwa mafanikio awamu ya kwanza ya kazi za uvutaji wa nyaya katika eneo la Mkambarani, Mkoa wa Morogoro, ikiwa ni sehemu ya hatua…
Na Mwandishi Wetu,Dodoma CHUO Cha Bahari Dar es Salaam (DMI) kimesema muitikio wa wanawake katika fani ya ubaharia kwa sasa umekuwa mkubwa tofauti na zamani ambapo iliaminika kuwa kazi hiyo ni ya kihuni. Akizungumza Agosti 4, 2026 katika Maonesho ya Kimataifa ya Wakulima Nanenane Mkufunzi Msaidizi wa DMI Jacquline Lema alisema kuwa pamoja na wanafunzi…
Na Mwandishi Wetu,Dodoma SHIRIKA la Mawasiliano Tanzania (TTCL) kupitia kampuni ya T-Pesa imezitaka kampuni, taasisi na vyama vya ushirika kutumia Mfumo wa Malipo kwa Mkupuo (Bulk Payment) ili kurahisisha malipo kwa wakulima na wanufaika wengine, huku ikipunguza matumizi ya fedha taslimu. Akizungumza katika Maonesho ya Wakulima Nanenane yanayoendelea kitaifa mkoani Dodoma, Afisa Mauzo kutoka Kitengo…
Na Mwandishi Wetu,Dodoma Vijana nchini wamehimizwa kutumia nguvu kazi, maarifa na ubunifu wao kuchangamkia fursa zinazotolewa na Sekta ya Madini badala ya kusubiri misaada au mitaji kutoka serikalini, huku wakitakiwa kuanza na rasilimali walizonazo ili kujenga mafanikio ya kiuchumi. Wito huo umetolewa kwenye Maonesho ya Nane Nane yanayoendelea Kitaifa jijini Dodoma na Mkurugenzi wa Xinda…
Na Aziza Masoud, Dodoma BODI ya Chai nchini imesema asilimia 10 pekee ya watanzania wanakunywa chai nchini na kwamba asllimia kubwa inayobaki inapelekwa nje. Akizungumza katika Maonesho ya Kimataifa ya Wakulima Nane nane,Afisa Mkuu wa Mipango na Uhamasishaji wa Bodi ya Chai Tanzania, Godlove Myinga, alisema asilimia 10 pekee ya chai inayozalishwa nchini ndiyo inayotumiwa…
Na Mwandishi Wetu, Dodoma SHIRIKA la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limesema kuhifadhi taarifa na mifumo ya taasisi ndani ya nchi kupitia Kituo cha Taifa cha Kuhifadhi Taarifa Kidijitali (National Internet Data Centre – NIDC) ni hatua muhimu ya kuimarisha usalama wa taarifa na kulinda uhuru wa kidijitali wa Tanzania. Akizungumza katika Maonesho ya Nanenane yanayoendelea jijini…
Na Aziza Masoud, Dodoma SERIKALI imeendelea kuwekeza katika miradi ya umwagiliaji kwa lengo la kuwawezesha wakulima kupata maji ya uhakika kwa ajili ya uzalishaji wa mazao ya chakula, mboga mboga na matunda kwa lengo la kuongeza tija na kuimarisha kipato kwa wananchi. Akizungumza leo Agosti 3, 2026 jijini Dodoma katika Maonesho ya Wakulima ya Kimataifa …