-e-GA YASIFU MAGEUZI YA TANESCO KATIKA UTOAJI HUDUMA KIDIGITALI

📌 Wavutiwa namna TANESCO inavyotumia teknolojia na mitandao ya kijamii kutoa huduma nzuri kwa wananchi Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam WATALAAM kutoka Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) wameisifu TANESCO kwa mafanikio makubwa ya matumizi ya teknolojia katika utoaji huduma kwa wateja, hatua iliyochangia kuongeza ufanisi na kuwahudumia wananchi kwa haraka zaidi. Wakizungumza wakati wa ziara…

Read Full News

DCEA:TARIME WAMEPUNGUZA KULIMA BANGI KWA ASILMIA 80

Na Mwandishi Wetu,Rorya Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), Aretas Lyimo, amesema kilimo cha bangi katika Mkoa wa Mara kimepungua kwa takribani asilimia 80 kutokana na operesheni endelevu zinazotekelezwa na Serikali katika kukabiliana na uzalishaji wa dawa za kulevya. Akizungumza jana, baada ya kuhitimisha operesheni maalumu zilizofanyika katika…

Read Full News

TANI 3,874,055 ZA SULPHUR ZAPITISHWA NCHINI NDANI YA MIAKA MITANO

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam  MAMLAKA ya Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA) imesema jumla ya meli 112 zenye tani 3,874,055 za sulphur zimeingia nchini  tangu mwaka 2021 ambapo sheria ya kuingiza kemikali hiyo  ilipoanza kufanya kazi. Akizungumza jijink Dar es Salaam leo Julai.24, 2026 wakati wakufungua  kikao cha waingizaji,wahifadhi na wasafirishaji wa kemikali aina sulphur…

Read Full News

WAZIRI NDEJEMBI ATOA ONYO KWA MKANDARASI ANAYETEKELEZA MRADI WA SONGEA–TUNDURU–MASASI

📌 Asema ucheleweshaji wa mradi hauendani na matarajio ya Serikali na wananchi. 📌 Amuagiza mkandarasi kuongeza kasi ya utekelezaji na kuzingatia masharti ya mkataba. 📌 Aelekeza hatua stahiki kuchukuliwa iwapo maendeleo ya mradi hayataboreshwa kabla ya Septemba 30, 2026. 📌 Mradi wa kV 220 utaiunganisha Mikoa ya Lindi na Mtwara kwenye Gridi ya Taifa na…

Read Full News

TANESCO YABAINI HUDUMA YA UMEME NI YA UHAKIKA KATIKA JENGO LA KITUO CHA MABASI MWENGE

📌 Ukaguzi wa miundombinu wabaini hakuna changamoto ya kukatika kwa umeme mara kwa mara 📌 Wafanyabiashara waipongeza TANESCO kwa utatuzi wa haraka wa hitilafu Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limebaini kuwa huduma ya umeme katika Jengo la Kituo cha Mabasi cha Mwenge inaendelea kuwa ya uhakika baada ya kufanya…

Read Full News