MAENEO YALIOATHIRIWA NA MVUA BARABARA YA DAR-LINDI-MTWARA YOTE NI SHWARI
Barabara ya Dar es salam-Lindi-Mtwara sasa imerejea katika hali ya kupitika baada ya kukamilika urejeshaji…
Na Mwandishi Wetu, DODOMA WAFUGAJI nchini wanatarajiwa kuongeza tija na uzalishaji wa maziwa kupitia Mradi wa Tuzo Shindani za Watoa Huduma kwa Ajili ya Tasnia Himilivu ya Maziwa, unaolenga kuhamasisha matumizi ya mbinu bora za ufugaji, malisho bora na huduma zenye tija. Mradi huo unaotekelezwa katika mikoa ya Iringa, Njombe, Mbeya na Morogoro, unalenga kuongeza…
Na Mwandishi Wetu,Dar es SalaamMamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imetangaza kusitishwa kwa huduma ya maji kwa takribani saa 12 katika maeneo ya Dar es Salaam na Pwani, kesho Alhamisi, Septemba 10, 2026.Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano DAWASA, Bi Everlasting Lyaro amesema huduma itakatika kuanzia saa 12:00 asubuhi hadi saa…
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar MIKUTANO ya 67 ya Jumuiya ya Umeme ya Kusini mwa Afrika (SAPP) inayofanyika Zanzibar imefungua fursa mpya kwa Tanzania kuimarisha nafasi yake kama kitovu cha biashara ya umeme katika ukanda wa Kusini mwa Afrika, huku ikitarajiwa kuongeza mapato ya taifa kupitia mauzo ya umeme na kuimarisha usalama wa nishati katika ukanda…
Na Aziza Masoud ,Dar es Salaam BARAZA la Mitihani la Tanzania (NECTA) limewataka watahiniwa 1,168,649 wa Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi (PSLE) mwaka 2026 unaotarajiwa kuanza kesho kujiepusha na vitendo vya udanganyifu, huku wazazi, walezi na jamii wakitakiwa kuhakikisha mtihani huo unafanyika katika mazingira ya amani na utulivu. Akizungumza na waandishi wa habari leo…
Na Mwamdishi Wetu,Dar es Salaam Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limekabidhiwa tuzo ya kwa kutambua mchango wa kipekee katika ubunifu na maendeleo ya sekta ya Nishati nchini ikiwa ni sehemu ya kutambua mchango wa Shirika katika kuendeleza sekta hiyo. Tuzo hiyo imekabidhiwa kwa Shirika la Umeme Tanzania TANESCO katika hafla ya tuzo za ujenzi wa…
Na Aziza Masoud, Dar es Salaam WIZARA ya Katiba na Sheria imesema inaendelea kupitia sheria mbalimbali zinazoweza kuwa kikwazo kwa uwekezaji na matumizi ya rasilimali za uchumi wa buluu, katika juhudi za kuweka mazingira wezeshi kwa sekta binafsi kushiriki zaidi katika kukuza uchumi wa nchi. Hatua hiyo inalenga kuhakikisha sheria na kanuni zinazohusu matumizi ya…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam SERIKALI imesisitiza umuhimu wa kuimarisha sayansi, tafiti na matumizi ya teknolojia katika kuchochea ukuaji wa uchumi wa buluu, ikisema Tanzania ina rasilimali nyingi za bahari, maziwa, mito na maeneo ya pwani ambazo bado hazijatumika kikamilifu. Hayo yameelezwa katika Kongamano la Tano la Kimataifa la Sayansi na Uchumi wa Buluu, lililoandaliwa…
📌 Kukamilika kwa njia mpya kutatoa fursa kwa njia ya awali kuendelea kunufaisha wananchi wa mkoa wa Geita na kuchochea shughuli za kiuchumi. 📌 Serikali yawekeza takribani Shilingi bilioni 63.19 kuutekeleza Serikali kupitia Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) inaendelea kuimarisha miundombinu ya umeme nchini kupitia utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limebaini matukio ya wizi wa umeme katika eneo la Visiwani, Mwananyamala na Mivumoni, zilizo Wilaya ya Kinondoni, jijini Dar es Salaam, wakati wa operesheni ya ukaguzi wa mita na miundombinu ya umeme inayoendelea katika maeneo mbalimbali ya Mkoa huo. Operesheni hiyo inalenga kudhibiti matumizi yasiyo…
Na Asha Mwakyonde, DODOMA TAARIFA binafsi za wananchi zinazoendelea kukusanywa na kuchakatwa na taasisi, mashirika pamoja na wafanyabiashara nchini sasa zitawekwa chini ya uangalizi zaidi, baada ya Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC),kuanza ukaguzi wa uzingatiaji wa sheria katika maeneo mbalimbali. Akizungumza na waandishi wa habari leo Agosti 28, 2026 jijini Dodoma Mkurugenzi Mkuu…