MAENEO YALIOATHIRIWA NA MVUA BARABARA YA DAR-LINDI-MTWARA YOTE NI SHWARI
Barabara ya Dar es salam-Lindi-Mtwara sasa imerejea katika hali ya kupitika baada ya kukamilika urejeshaji…
Na Mwandishi Wetu,Pwani Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) wameipongeza Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA), kusambaza miundombinu ya gesi asilia kwenye kaya takribani 1000 na shule moja ambapo mradi huo umefadhiliwa na Serikali kwa asilimia 100 kupitia REA. Hayo yamezungumzwa Machi 8, 2026 na Mwenyekiti wa Jukwaa la…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam KATIKA kuadhimisha ya Siku ya Wanawake Duniani yanayoadhimishwa kila mwaka Machi 8, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imekabidhi vifaa tiba vyenye thamani ya shilingi milioni 40 kwa ajili ya kusaidia utoaji wa huduma za afya katika hospitali za Mkoa wa Dar es Salaam. Akizungumza wakati wa hafla ya makabidhiano hayo…
Na Mwandishi Wetu,Pwani MCHUNGAJI wa Kanisa la Kiinjiri Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Kijitonyama Dk. Eliona Kimaro amesema serikali yoyote duniani haiwezi kuajira wahitimu wote katika nchi husika lazima kuwe na miradi ya familia ambayo itaweza kuwasaidia vijana kujiajiri na kuajiri. Kauli hiyo ameitoa leo Machi, 7 2026 mkoani Pwani n wakati wa mahafali ya…
Na Mwandishi Wetu,Kigoma Naibu Waziri wa Nishati, Mhe.Salome Makamba leo amekagua utekelezaji wa mradi wa kuzalisha umeme wa Malagarasi (MW 49.5) unaotekelezwa katika Wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma ambapo ameeleza kutoridhishwa kwake na kasi ya utekelezaji. Akiwa katika Kijiji cha Mazungwe wilayani Uvinza Mhe Salome amekagua sehemu mbalimbali za mradi ikiwemo ujenzi wa tuta na…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Dorothy Gwajima amelipongeza Shirika la umeme Tanzania TANESCO kwa kuandaa kongamano la wanawake wa Shirika hilo la kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia ya umeme. Mhe. Gwajima ametoa pongezi hizo jana Machi 04, 2026 wakati wa ufunguzi wa…
Na Asha Mwakyonde, DODOMA KATIKA kuelekea maadhimisho ya Siku ya Wanawake kitaifa Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Tanzania (UWT), wa Chama cha Mapinduzi (CCM),Wilaya ya Kondoa Hadija Kilala, amesema jumuiya hiyo imejipanga kuadhimisha siku hiyo kwa vitendo kwa kutoa misaada kwa watoto wenye mahitaji maalum, ikiwa ni sehemu ya kuunga mkono juhudi za Serikali…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam RAIS Dk.Samia Suluhu Hassan anatarajia kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa matangi 15 yakuhifadhia mafuta yenye thamani ya Sh Bilioni 678.6 ambapo ni sehemu ya utanuzi wa bandari wenye lengo la kuongeza ufanisi. Akizungumza leo Machi 2, 2026 jijini Dar es Salaam na waandishi wa habari Waziri wa Uchukuzi…
MKAKATI wa uongezaji thamani katika Sekta ya Madini umeanza kuzaa matunda mkoani Kilimanjaro, baada ya kampuni ya Mega Copper Co Ltd kujikita katika uongezaji wa kiwango cha ubora wa madini ya shaba kutoka asilimia moja hadi kufikia kati ya asilimia 20 na 25. Akizungumza katika kijiji cha Kiruru, wilayani Mwanga, Mkurugenzi wa kampuni hiyo, Ally…
KAMATI YA UONGOZI WA MRADI WA JNHPP YAKAGUA MAENDELEO YA BWAWA LA JULIUS NYERERE Na Mwandishi Wetu,Dodoma KAMATI ya Uongozi wa Mradi wa Bwawa la Julius Nyerere (JNHPP), tarehe 26 Februari 2026, imekagua maendeleo ya uzalishaji wa umeme katika bwawa la Julius Nyerere na kueleza kuridhishwa na usimamizi pamoja na utekelezaji wake, uliokidhi viwango vya…
Chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI) kimesaini Hati ya Makubaliano (MoU) na World Maritime University (WMU) kwa lengo la kuimarisha ushirikiano katika elimu ya masuala ya bahari, tafiti na maendeleo ya uwezo wa taasisi. Hafla ya utiaji saini imefanyika Februari 26, 2026 katika Ofisi ya Ubalozi wa Tanzania jijini London, Uingereza. Utiaji saini huo…