
MAENEO YALIOATHIRIWA NA MVUA BARABARA YA DAR-LINDI-MTWARA YOTE NI SHWARI
Barabara ya Dar es salam-Lindi-Mtwara sasa imerejea katika hali ya kupitika baada ya kukamilika urejeshaji…
Na Aziza Masoud,Dar es Salaam MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila amewataka wenyeviti wa serikali za mitaa,halmashauri za mitaa kuona umuhimu wakulinda Taifa pamoja na rasilimali zilizopo nchini ikiwemo za nishati ya umeme ili kuendelea kutunza usalama wa nchi. Akizungumza jijini Dar es Salaam leo Juni 24, 2025 katika Kikao Kazi cha…
Na Mwandishi Wetu,Dodoma Naibu Waziri Nishati, Mhe. Judith Kapinga amesema Sekta ya Nishati ni moja kati ya Sekta tatu nchini ambazo zimechangia ukuaji wa pato la Taifa katika kipindi cha kati ya mwaka 2015 hadi 2025. Kapinga ameyasema hayo wakati akichangia hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Mipango na Uwekezaji Bungeni Jijini Dodoma. “Mheshimiwa Mwenyekiti…
Na Mwandishi Wetu,Tanga Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imeendelea kuwezesha, kuhamasisha na kutoa elimu kuhusu umuhimu wa matumizi ya nishati safi ya kupikia kwa watumishi wa magereza na wananchi ili kufikia malengo yaliyoainishwa kwenye mkakati wa kitaifa wa matumizi ya nishati safi ya kupikia (2024 – 2034). Hayo yamebainishwa leo Juni 24, 2025…
Na Mwandishi Wetu,Morogoro BAADHI ya Wananchi wa Jimbo la Uchaguzi la Morogoro Mjini, wamehoji kitendo kinachofanywa na Mbunge wa Jimbo hilo cha kuanza kutoa misaada mbalimbali Jimboni humo zikiwa zimesalia siku chache kabla ya Bunge kuvunjwa rasmi. Wakizungumza kwa nyakati tofauti kwa sharti la kutotajwa majina yao kwa hofu ya kujulikana, wananchi hao wamedai kushangazwa…
Na Mwandishi Wetu,Dodoma KATIBU Mtendaji wa Tume ya Madini, Mhandisi Ramadhani Lwamo, na Mkurugenzi wa Rasilimaliwatu na Utawala, Nsajigwa Kabigi, wametembelea banda la Tume ya Madini katika Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayohitimishwa leo katika viwanja vya Chinangali, jijini Dodoma. Katika ziara hiyo, viongozi hao wamejionea namna Tume ya Madini inavyoshiriki kikamilifu katika…
Na Mwandishi Wetu,Dodoma Afisa Elimu, Kazi na Jinsia kutoka Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya Tanzania (TUGHE), Nsubisi Mwasandende, ameipongeza Tume ya Madini kwa juhudi kubwa inazozifanya katika kusimamia rasilimali za madini nchini na kuongeza mchango wake katika Pato la Taifa. Akizungumza katika maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayoendelea jijini Dodoma, Mwasandende…
Na Mwandishi Wetu,Dodoma SEKTA ya madini nchini Tanzania inaendelea kushamiri kwa kasi, ikifungua milango ya ajira, uwekezaji na maendeleo kwa wananchi na Taifa kwa ujumla. Serikali kupitia Tume ya Madini imeendelea kuweka mazingira wezeshi kwa kuhakikisha usimamizi madhubuti, uwazi, na ushirikishwaji wa wadau wote katika mnyororo mzima wa shughuli za madini. Haya yamekuwa ni matokeo…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam TAASISI ya Mtetezi wa Mama imesema Rais Samia Suluhu Hassan ni kiongozi mwenye dhamira ya kweli ya kuiletea maendeleo Tanzania huku ikiwataka wananchi kuhakikisha inampigia kura za kishindo katika uchaguzi Mkuu ujao Akizungumza mara baada ya Rais Samia kuzindua Daraja la ‘J.P Magufuli ‘ (Kigongo-Busisi) Mkurugenzi wa Taasisi ya Mtetezi…
Na Mwandishi Wetu, ZanzibarMAMLAKA ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro (NCAA) imeshiriki kwa mafanikio katika Maonesho ya Pili ya Utalii na Uwekezaji Zanzibar 2025, yanayofanyika katika viwanja vya Dimani, Fumba Zanzibar, na kufunguliwa rasmi na Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mhe. Mudrik Ramadhan Soraga. Kupitia ushiriki wake, NCAA…
Na Asha Mwakyonde, DODOMA WAJASIRIAMALI wadogo na wa kati wameshauriwa kuhakikisha wanasajili biashara zao kwa mujibu wa sheria kwa lengo la kuwa huruna kuwawezesha kupata fursa mbalimbali zikiwamo kupata mikopo kutoka za taasisi za kifedha pamoja na kulinda alama za biashara zao. Hayo yalisemwa jana jijini hapa na Afisa Leseni Mwandamizi kutokaWakala wa Usajili wa…