MAENEO YALIOATHIRIWA NA MVUA BARABARA YA DAR-LINDI-MTWARA YOTE NI SHWARI
Barabara ya Dar es salam-Lindi-Mtwara sasa imerejea katika hali ya kupitika baada ya kukamilika urejeshaji…
📌Miundombinu mipya kuongeza uzalishaji, ubora wa chumvi na kipato cha wanawake 📌Mashine 50 za mkaa mbadala kuongeza upatikanaji wa nishati safi ya kupikia Na Mwandishi Wetu, Singida WAKALA wa Nishati Vijijini (REA) umejenga miundombinu ya kisasa ya uzalishaji wa chumvi kwa wanawake wa Kijiji cha Nsunsu, Wilaya ya Iramba mkoani Singida, hatua inayotarajiwa kuongeza tija,…
Na Mwandiahi Wetu,Morogoro Serikali imesisitiza dhamira yake ya kuendelea kuimarisha na kuhakikisha uendelevu wa huduma za msaada wa kisheria nchini, ili wananchi wapate haki na huduma za kisheria kwa wakati, kwa ufanisi na bila vikwazo visivyo vya lazima. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Msaidizi wa Uratibu wa Huduma za Msaada wa Kisheria kutoka Wizara ya Katiba…
Na Aziza Masoud,Dar es Salaam WAZIRI Mkuu Dk.Mwigulu Nchemba, amewataka Watanzania zaidi ya milioni mbili ambao tayari wamesajiliwa na vitambulisho vyao vya taifa viko tayari, kwenda kuvichukua badala ya kuviacha katika ofisi za Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA). Mwigulu alisema hayo leo Septemba 16, 2026 wakati akizungumza katika maadhimisho ya kwanza ya kitaifa ya…
Na Mwandishi Wetu, Dar es SalaamKamati ya Pamoja ya Kiufundi (JTC) ya mradi wa Bomba Jipya la TAZAMA, inayoundwa na wataalamu kutoka Tanzania na Zambia, imetembelea Ofisi za Wakala wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja (PBPA) jijini Dar es Salaam leo, Septemba 16, 2026, kwa lengo la kujifunza kuhusu usimamizi wa shughuli za upokeaji na ushushaji…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imewataka wafanyabiashara wanaotegemea maji katika shughuli zao, wakiwemo waosha magari, wafyatua matofali na watunza bustani, kushiriki katika kudhibiti upotevu wa maji na kulinda miundombinu ya huduma hiyo. Wito huo umetolewa katika kikao cha kutoa elimu kwa wafanyabiashara hao kuhusu…
Na Aziza Masoud, DAR ES SALAAM TANZANIA imetakiwa kutumia changamoto zinazotokana na mabadiliko ya tabianchi kama fursa ya kuibua ajira, uwekezaji, ubunifu na kukuza uchumi wa kijani nchini. Wito huo umetolewa leo Septemba 15, 2026 jijini Dar es Salaam na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhandisi Hamad Yusuf Masauni,…
Na Mwandishi Wetu, DODOMAWafugaji nchini wanatarajiwa kuongeza tija na uzalishaji wa maziwa kupitia mradi wa Tuzo kwa Tasnia ya Maziwa Himilivu kwa Tabianchi, linalolenga kuhamasisha sekta binafsi kuongeza upatikanaji wa pembejeo na huduma bora za mifugo. Mradi huu wa miaka miwili umeanza mwaka 2026 hadi 2028, na unatekelezwa katika mikoa ya Iringa, Njombe, Mbeya na…
📌 Ashuhudia utiaji saini mkataba wa utekelezaji wa mradi kutoka Iganjo, Mbeya hadi Saza, Songwe 📌 Mradi kutekelezwa kwa miezi 18 kwa gharama ya Shilingi Bilioni 198.67 Na Mwandishi Wetu,Mbeya Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amesema utekelezaji wa Mradi wa Njia ya Kusafirisha Umeme wa Msongo wa Kilovoti 220 kutoka Iganjo, Mkoani Mbeya,…
Na Mwandishi Wetu Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), amesema kuwa Tanzania na Korea Kusini zimekubaliana kuongeza kasi ya utekelezaji wa ahadi iliyotelewa na nchi hiyo ya dola za Marekani bilioni 2.5 kwa Tanzania kwa ajili ya kutekeleza miradi muhimu ya kimkakati itakayochochea maendeleo na ukuaji wa uchumi wa nchi katika sekta…
‎Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam‎‎Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imetangaza kusitishwa kwa huduma ya maji kwa takribani saa 12 katika maeneo ya Dar es Salaam na Pwani, kesho Alhamisi, Septemba 10, 2026.‎‎Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano DAWASA, Bi Everlasting Lyaro amesema huduma itakatika kuanzia saa 12:00 asubuhi hadi saa…