GST:TAFITI ZA JIOSAYANSI NI NGUZO YA DIRA YA TAIFA NA UCHUMI ENDELEVU WA MADINI

Na Mwandishi Wetu,Dodoma MWENYEKITI wa Bodi ya Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST), Bi. Yokbeth Festo Myumbilwa, amesema tafiti za jiosayansi zinazofanywa na taasisi hiyo zina mchango mkubwa katika kuibua maeneo yenye rasilimali za madini, kuvutia uwekezaji na kuchochea ukuaji wa uchumi wa Taifa unaolengwa katika Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050….

Read Full News

PBPA:MFUMO WA UAGIZAJI MAFUTA PAMOJA UNAIMARISHA USALAMA WA NISHATI NA UCHUMI

Na Mwandishi Wetu,Dodoma WAKALA wa Uagizaji wa Mafuta kwa Pamoja (PBPA) umesema umejizatiti kuhakikisha Tanzania inaendelea kuwa na upatikanaji wa uhakika wa mafuta wakati wote kupitia mfumo wa uagizaji wa pamoja, hatua inayochangia ukuaji wa uchumi na utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050. Akizungumza leo Agosti 7, 2026 katika Maonesho ya Nanenane yanayoendelea…

Read Full News

FURSA ZA BIASHARA ZA MABILIONI KATIKA MIGODI ZAWAFUNGUKIA WATANZANIA

Na Mwandishi Wetu,Dodoma SERIKALI kupitia Tume ya Madini imefungua fursa za biashara zenye thamani ya mabilioni ya fedha katika migodi kwa Watanzania, huku vijana na wanawake wakipewa kipaumbele ili kuongeza ushiriki wao katika Sekta ya Madini na kuchochea utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050. Hatua hiyo inalenga kujenga uchumi shindani na jumuishi unaowezesha…

Read Full News

UTAFITI WA MADINI KUFUNGUA FURSA MPYA ZA UWEKEZAJI AJIRA

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Serikali imeongeza kasi ya utafiti wa madini nchini katika hatua inayolenga kufungua maeneo mapya ya uwekezaji, kuongeza ajira na mapato ya Serikali, huku wachimbaji wadogo wakitarajiwa kunufaika kwa kupata taarifa sahihi zitakazowasaidia kufanya uchimbaji wenye tija. Akizungumza katika Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo ya Nanenane yanayoendelea jijini Dodoma, Mkurugenzi Mtendaji wa…

Read Full News

UKAGUZI WA MIGODI WAIMARISHA USALAMA, UHIFADHI WA MAZINGIRA

Tume ya Madini yasisitiza uchimbaji unaozingatia sheria, afya na maendeleo endelevu Na Mwandishi Wetu,Dodoma TUME ya Madini imeendelea kuimarisha ukaguzi wa migodi nchini ili kuhakikisha shughuli zote za uchimbaji zinafanyika kwa kuzingatia sheria, usalama wa wafanyakazi, afya kazini na utunzaji wa mazingira, hatua inayolenga kujenga sekta ya madini yenye tija na endelevu. Akizungumza katika Maonesho…

Read Full News

REA YAANZA UJENZI WA VITUO VIDOGO VYA MAFUTA VIJIJINI

Na Mwandishi Wetu,Dodoma MKURUGENZI wa Nishati Jadidifu na Teknolojia Mbadala wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Mha. Advera Mwijage, amesema REA imeanza utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa vituo vidogo vya mafuta vijijini ili kuboresha upatikanaji wa huduma za mafuta na kuchochea maendeleo ya shughuli za kiuchumi katika maeneo ya vijijini. Akizungumza na wadau waliotembelea…

Read Full News