MAENEO YALIOATHIRIWA NA MVUA BARABARA YA DAR-LINDI-MTWARA YOTE NI SHWARI
Barabara ya Dar es salam-Lindi-Mtwara sasa imerejea katika hali ya kupitika baada ya kukamilika urejeshaji…
Na Aziza Masoud, Dodoma CHAMA Kikuu cha Ushirika Tunduru (TAMKU LTD) kimeeleza mpango wa kujenga kiwanda cha kuchakata korosho wilayani Tunduru mkoani Ruvuma ili kuongeza thamani ya zao hilo, kuboresha soko na kuinua kipato cha wakulima. Akizungumza katika Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo ya Nanenane yanayoendelea jijink Dodoma, Mjumbe wa Bodi ya TAMKU, Nurudini Rajabu…
Na Mwandishi Wetu,Dodoma MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imewataka wakulima na wafugaji kufika katika banda hilo ili kuweza kupata elimu ya kodi hasa katika Mfumo wa Jumuishi wa Kodi za Ndani (IDRAS) pamoja na kupatiwa namba ya mlipa kodi (TIN) bure. Akizungumza katika maonesho ya wakulima nchini yanayofanyika katika viwanja vya Nzuguni mjini Dodoma, Afisa…
Na Mwandishi Wetu, Dodoma CHUO Cha Ufundi Stadi (VETA) Singida kimewahimiza wafugaji wa ng’ombe nchini kuongeza thamani ya maziwa wanayozalisha kwa kuyachakata na kutengeneza bidhaa mbalimbali badala ya kuyauza yakiwa mabichi, hatua ambayo itawaongezea kipato na kuinua thamani ya bidhaa zao. Akizungumza katika banda la Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) katika Maonesho…
Na Mwandishi Wetu, Dodoma BODI ya Bima ya Amana (DIB) imewataka watu 428 ambao walikuwa wanachama wa benki ya FBME kwenda kuchukua fedha zao haraka ambazo ni takribani Sh Bilioni nne. Akizungumza leo Agosti 2, 2026 jijini Dodoma katika Maonesho ya Kimataifa ya Wakulima Nane Nane,Mkurugenzi Mkuu wa DIB,Isack Kihwili alisema madai ya wenye…
Na Aziza Masoud,Dodoma SERIKALI kupitia Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) inaendelea kushirikiana na Wizara ya Kilimo katika kuimarisha matumizi ya mifumo ya kidijitali inayorahisisha utoaji wa huduma, kuongeza uwazi na kuboresha usimamizi wa shughuli za kilimo nchini. Akizungumza katika Maonesho ya Wakulima ya Kitaifa yanayoendelea jijini Dodoma, Meneja wa Mawasiliano e -GA Subira Kaswaga alisema…
Na Mwandishi Wetu – DODOMA. Wakala wa Vipimo (WMA) umeanza kutoa elimu ya vipimo kwa wakulima, wafugaji na wavuvi katika siku ya kwanza, (Agosti 1, 2026) ya Maonesho ya Wakulima Nane Nane yanayofanyika kitaifa katika Viwanja vya John Malecela, eneo la Nzuguni jijini Dodoma. Kwenye banda lake lenye kaulimbiu“Usahihi wa Vipimo vya Mbegu, Pembejeo, Mazao…
Na Mwandishi Wetu, DodomaWakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) umesema maboresho ya mfumo wake wa usajili yameongeza ufanisi, uwazi na usalama wa huduma za urasimishaji wa biashara, huku wananchi wakipata fursa ya kujifunza na kupata huduma hizo moja kwa moja katika Maonesho ya Nanenane yanayoendelea viwanja vya Mzunguni, Dodoma. Akizungumza katika maonesho hayo,…
Na Aziza Masoud, Dodoma WAZIRI Mkuu Dk.Mwigulu Nchemba ameiagiza Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) kupanua huduma za utoaji wa mikopo kwa lengo la kuwafikia wakulima, wafugaji na wavuvi wengi zaidi nchini ili kuweza kusaidia uwekezaji katika sekta ya uzalishaji na kuharakisha mageuzi. Dk.Mwigulu ametoa kauli hiyo jijini Dodoma katika Maonesho ya Taifa ya…
📌 Afungua Jukwaa la Wanasheria wa TANESCO jijini Mwanza 📌 Awasisitiza kutoa ushauri wa kisheria kwa wakati na kulinda maslahi ya Shirika Na Mwandishi Wetu, Mwanza Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Bw. Lazaro Twange, amewataka wanasheria wa shirika kuendelea kusimamia maadili ya taaluma, kutoa ushauri wa kisheria kwa wakati na kulinda maslahi…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam Mchambuzi wa masuala ya siasa, jamii na maendeleo, Habibu Mchange, ametoa tafakuri kuhusu utata wa kauli za mara kwa mara za Makamu wa Rais, Dk. Emmanuel Nchimbi, akisema kutokana na nafasi yake ya kikatiba kama Msaidizi Mkuu wa Rais kwa mujibu wa Ibara ya 47(1) ya Katiba ya Jamhuri ya…