MAENEO YALIOATHIRIWA NA MVUA BARABARA YA DAR-LINDI-MTWARA YOTE NI SHWARI
Barabara ya Dar es salam-Lindi-Mtwara sasa imerejea katika hali ya kupitika baada ya kukamilika urejeshaji…
Na Benny Mwaipaja, Tanga SERIKALI imeahidi kutoa shilingi Milioni 750 ili kukamilisha ujenzi wa majengo yaliyosalia katika Kituo kipya cha Afya Kange, kilichopo katika kata ya Maweni, jijini Tanga, ikiwa ni sehemu ya mkakati wa Serikali wa kuboresha huduma za afya kwa wananchi katika kata hiyo. Ahadi hiyo imetolewa leo na Waziri wa Fedha, Mhe….
Na Mwandishi Wetu,MorogoroKATIBU Tawala wa Wilaya ya Malinyi mkoani Morogoro, Saida Mhanga amesema, Serikali imetoa fedha nyingi kuhakikisha ulinzi wa mtoto unaimarika kwa kuwa, Tanzania imara ya kesho inategemea malezo bora ya watoto leo. Saida alitoa kaulio hiyo jana wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika na Siku ya Familia Duniani yaliyofanyika kwa…
Na. Joseph Mahumi na Peter Haule, WF, Tanga Waziri wa Fedha wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), ameipongeza Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) kwa kuongeza ufanisi wa Bandari ya Tanga kufuatia uwekezaji mkubwa uliofanywa na Serikali katika kuboresha miundombinu ya bandari hiyo, hatua ambayo imeiwezesha kupokea meli kubwa za…
Na Mwandishi Wetu,Pwani KAMPUNI ya TotalEnergies Marketing Tanzania imeendelea kuimarisha uwekezaji wake nchini baada ya kuzindua kituo chake cha 125 cha mafuta kilichopo Kibaha mkoani Pwani, hatua inayolenga kusogeza huduma za nishati karibu na wananchi, kuongeza ajira na kuchochea ukuaji wa uchumi. Uzinduzi huo unaashiria dhamira ya kampuni hiyo ya kuendelea kuwekeza katika miundombinu ya…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam Wananchi wanaotembelea banda la Tume ya Madini katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (SabaSaba) wanaendelea kunufaika na elimu kuhusu matumizi ya kifaa cha Gemmological Torch, kinachotumika kutambua ubora na thamani halisi ya madini ya vito. Akitoa elimu katika banda hilo, Mjiolojia na Mjimolojia Mwandamizi…
Na Mwandishi Wetu,Dar es SalaqmMaafisa wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) wanaendelea kuwahudumia wananchi wanaotembelea Banda la TTCL katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba 2026), kwa kuwapatia elimu kuhusu huduma na suluhisho mbalimbali za mawasiliano na teknolojia za kidijitali zinazotolewa na TTCL. Katika banda hilo, wananchi wanapata fursa…
Na Aziza Masoud, Dar es Salaam BODI ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imezindua rasmi Mwongozo wa Ithibati ya Maisha unaoruhusu waandishi wakongwe ambao hawana vigezo vya elimu vilivyowekwa kupata ithibati maalum kwakuzingatia uzoefu walionao katika taaluma ya habari. Uzinduzi wa muongozo huo umefanyika katika siku maalum ya JAB yaani ‘JAB Day’ ndani ya…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam Mjiolojia kutoka Ofisi ya Afisa Madini Mkazi wa Mkoa wa Njombe, Abbas Mruma, amesema Tanzania inaendelea kujijengea nafasi muhimu duniani kutokana na kuwa na hifadhi kubwa ya madini muhimu ya kimkakati, yakiwemo graphite, lithium na rare earth elements, ambayo ni nguzo muhimu katika maendeleo ya teknolojia za kisasa na nishati…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) imewataka wajasiriamali wanaoshiriki Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba) kutumia fursa ya uwepo wa BRELA kwenye maonesho hayo kwa kupata huduma za sajili na leseni ili kujiendesha kwa mujibu wa sheria na kuepuka changamoto za kisheria….
Na Mwandishi Wetu,Arusha BODI ya Utalii Tanzania (TTB) imewakutanisha wadau mbalimbali wa sekta ya utalii katika Destination Tanzania Stakeholders Forum 2026 iliyofanyika jengo la Ngorongoro, Arusha, kwa lengo la kuimarisha ushirikiano katika kuitangaza Tanzania na kuongeza ushindani wa sekta ya utalii duniani. Jukwaa hilo liliwakutanisha wawakilishi kutoka serikalini, sekta binafsi, vyama vya utalii, waongoza watalii,…