DAWASA, MADIWANI WAJA NA SULUHUSHO CHANGAMOTO YA MAJI UBUNGO

Na Mwamdishi Wetu,Dar es Salaam MADIWANwa Manispaa ya Ubungo wamekubaliana kwa kauli moja na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA), wamekubaliana kutafuta suluhu ya changamoto zinazowakabili wananchi na kuweka mikakati itakayosaidia kuimarisha upatikanaji huduma za Maji. Katika kikao hicho kilichoongozwa na Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ubungo, Mhe Lawrence Mlaki,…

Read More

FILAMU YA KITANZANIA SENTINELS OF ENGARUKA KURUSHWA YOUTUBE JUNI 21

Na Mwandishi Wetu,Arusha KAMPUNI ya Kitanzania ya Ngoteya Wild, inayoongozwa na muandaaji wa makala zenye maudhui ya uhifadhi na wanyamapori @Hans_Cosmas_Ngoteya, imetangaza kuwa filamu yao mpya ya Sentinels of Engaruka ambayo wamefanya kwa kushirikiana na African people and wildlife itaoneshwa rasmi kupitia YouTube channel yao tarehe 21 Juni 2026. Filamu hiyo imechukua zaidi ya miaka…

Read More

HUO CHA BAHARI DAR ES SALAAM (DMI) NA CHUO KIKUU CHA BAHARI CHA DALIAN CHA UCHINA(DMU) WASAINI MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO

Dalian, China Chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI) kimesaini makubaliano ya ushirikiano na Chuo Kikuu cha Bahari cha Dalian Maritime University (DMU) cha nchini China lengo la makubaliano hayo ni kuimarisha ushirikiano wa kimataifa katika sekta ya elimu ya bahari. Mkuu wa chuo cha DMI, Prof Tumaini ushirikiano uliopo kati ya taasisi hizo mbili…

Read More

AFUNGWA MAISHA KWAKUFANYA BIASHARA YA HEROIN

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam Mahakam Kuu ya Tanzania, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, imewahukumu kifungo cha maisha jela Suleiman Thabit Ngulangwa na Farid Hamis Said baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la biashara haramu ya dawa za kulevya aina ya heroin yenye uzito wa kilo 15.19. Katika hukumu iliyotolewa Juni 1,…

Read More

DAWASA YATOA ELIMU YA UHIFADHI WA MAJI KATIKA WIKI YA MAZINGIRA

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) ni miongoni mwa taasisi zinazoshiriki Maadhimisho ya Wiki ya Mazingira Kitaifa yanayoendelea katika Viwanja vya Ukumbi wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma, yakiwa na kauli mbiu isemayo: “Dira 2050: Tuwajibike Kukijanisha Tanzania.” Maadhimisho hayo yanayofanyika kuanzia Juni 1 hadi 5…

Read More

MSIGWA:BWAWA LA KIDUNDA NI MRADI WAKIMKAKATI KWA MAJI KILIMO NA NISHATI

‎Na Mwandishi Wetu,Morogoro MSEMAJI Mkuu wa Serikali, Ndugu Gerson Msigwa, ameipongeza Wizara ya Maji kwa usimamizi madhubuti wa ujenzi wa Bwawa la Maji Kidunda, akieleza kuwa mradi huo ni miongoni mwa miradi mikubwa ya kimkakati Nchini inayotarajiwa kuleta mageuzi makubwa katika sekta ya maji, kilimo, nishati na uhifadhi wa mazingira nchini.‎‎Msigwa, ambaye pia ni Katibu…

Read More