TANESCO YABAINI HUDUMA YA UMEME NI YA UHAKIKA KATIKA JENGO LA KITUO CHA MABASI MWENGE

📌 Ukaguzi wa miundombinu wabaini hakuna changamoto ya kukatika kwa umeme mara kwa mara 📌 Wafanyabiashara waipongeza TANESCO kwa utatuzi wa haraka wa hitilafu Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limebaini kuwa huduma ya umeme katika Jengo la Kituo cha Mabasi cha Mwenge inaendelea kuwa ya uhakika baada ya kufanya…

Read Full News

TOTALENERGIES YAFUNGUA KITUO CHA 125 TANZANIA, YAIMARISHA UWEKEZAJI KIBAHA

Na Mwandishi Wetu,Pwani KAMPUNI ya TotalEnergies Marketing Tanzania imeendelea kuimarisha uwekezaji wake nchini baada ya kuzindua kituo chake cha 125 cha mafuta kilichopo Kibaha mkoani Pwani, hatua inayolenga kusogeza huduma za nishati karibu na wananchi, kuongeza ajira na kuchochea ukuaji wa uchumi. Uzinduzi huo unaashiria dhamira ya kampuni hiyo ya kuendelea kuwekeza katika miundombinu ya…

Read Full News

WANANCHI WAENDELEA KUNUFAIKA NA OFA ZA TTCL SABASABA 2026

Na Mwandishi Wetu,Dar es SalaqmMaafisa wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) wanaendelea kuwahudumia wananchi wanaotembelea Banda la TTCL katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba 2026), kwa kuwapatia elimu kuhusu huduma na suluhisho mbalimbali za mawasiliano na teknolojia za kidijitali zinazotolewa na TTCL. Katika banda hilo, wananchi wanapata fursa…

Read Full News