SAPP KUFUNGUA FURSA KWA TANZANIA KUWA KITOVU CHA BIASHARA YA UMEME KUSINI MWA AFRIKA

Na Mwandishi Wetu, Zanzibar MIKUTANO ya 67 ya Jumuiya ya Umeme ya Kusini mwa Afrika (SAPP) inayofanyika Zanzibar imefungua fursa mpya kwa Tanzania kuimarisha nafasi yake kama kitovu cha biashara ya umeme katika ukanda wa Kusini mwa Afrika, huku ikitarajiwa kuongeza mapato ya taifa kupitia mauzo ya umeme na kuimarisha usalama wa nishati katika ukanda…

Read Full News

WATAHINIWA 1,168,649 WA DARASA LA SABA KUANZA MTIHANI KESHO

Na Aziza Masoud ,Dar es Salaam BARAZA  la Mitihani la Tanzania (NECTA) limewataka watahiniwa 1,168,649 wa Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi (PSLE) mwaka 2026 unaotarajiwa kuanza kesho kujiepusha na vitendo vya udanganyifu, huku wazazi, walezi na jamii wakitakiwa kuhakikisha mtihani huo unafanyika katika mazingira ya amani na utulivu. Akizungumza na waandishi wa habari leo…

Read Full News

SERIKALI YAPITIA SHERIA KUONDOA VIKWAZO VYA UWEKEZAJI UCHUMI WA BULUU

Na Aziza Masoud, Dar es Salaam WIZARA ya Katiba na Sheria imesema inaendelea kupitia sheria mbalimbali zinazoweza kuwa kikwazo kwa uwekezaji na matumizi ya rasilimali za uchumi wa buluu, katika juhudi za kuweka mazingira wezeshi kwa sekta binafsi kushiriki zaidi katika kukuza uchumi wa nchi. Hatua hiyo inalenga kuhakikisha sheria na kanuni zinazohusu matumizi ya…

Read Full News

SERIKALI YASISITIZA SAYANSI,TAFITI KUWA KICHOCHEO CHA UCHUMI WA BULUU

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam SERIKALI imesisitiza umuhimu wa kuimarisha sayansi, tafiti na matumizi ya teknolojia katika kuchochea ukuaji wa uchumi wa buluu, ikisema Tanzania ina rasilimali nyingi za bahari, maziwa, mito na maeneo ya pwani ambazo bado hazijatumika kikamilifu. Hayo yameelezwa katika Kongamano la Tano la Kimataifa la Sayansi na Uchumi wa Buluu, lililoandaliwa…

Read Full News

MRADI WA UMEME MPOMVU – GGM KUIMARISHA UPATIKANAJI WA UMEME NA KUCHOCHEA SHUGHULI ZA KIUCHUMI GEITA – MHE. SALOME

📌 Kukamilika kwa njia mpya kutatoa fursa kwa njia ya awali kuendelea kunufaisha wananchi wa mkoa wa Geita na kuchochea shughuli za kiuchumi. 📌 Serikali yawekeza takribani Shilingi bilioni 63.19 kuutekeleza Serikali kupitia Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) inaendelea kuimarisha miundombinu ya umeme nchini kupitia utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme…

Read Full News

PDPC YAANZA UKAGUZI MKALI WA ULINZI WA TAARIFA BINAFSI NCHINI

Na Asha Mwakyonde, DODOMA TAARIFA binafsi za wananchi zinazoendelea kukusanywa na kuchakatwa na taasisi, mashirika pamoja na wafanyabiashara nchini sasa zitawekwa chini ya uangalizi zaidi, baada ya Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC),kuanza ukaguzi wa uzingatiaji wa sheria katika maeneo mbalimbali. Akizungumza na waandishi wa habari leo Agosti 28, 2026 jijini Dodoma Mkurugenzi Mkuu…

Read Full News