MAENEO YALIOATHIRIWA NA MVUA BARABARA YA DAR-LINDI-MTWARA YOTE NI SHWARI
Barabara ya Dar es salam-Lindi-Mtwara sasa imerejea katika hali ya kupitika baada ya kukamilika urejeshaji…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imewataka wafanyabiashara wanaotegemea maji katika shughuli zao, wakiwemo waosha magari, wafyatua matofali na watunza bustani, kushiriki katika kudhibiti upotevu wa maji na kulinda miundombinu ya huduma hiyo. Wito huo umetolewa katika kikao cha kutoa elimu kwa wafanyabiashara hao kuhusu…
Na Aziza Masoud, DAR ES SALAAM TANZANIA imetakiwa kutumia changamoto zinazotokana na mabadiliko ya tabianchi kama fursa ya kuibua ajira, uwekezaji, ubunifu na kukuza uchumi wa kijani nchini. Wito huo umetolewa leo Septemba 15, 2026 jijini Dar es Salaam na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhandisi Hamad Yusuf Masauni,…
Na Mwandishi Wetu, DODOMAWafugaji nchini wanatarajiwa kuongeza tija na uzalishaji wa maziwa kupitia mradi wa Tuzo kwa Tasnia ya Maziwa Himilivu kwa Tabianchi, linalolenga kuhamasisha sekta binafsi kuongeza upatikanaji wa pembejeo na huduma bora za mifugo. Mradi huu wa miaka miwili umeanza mwaka 2026 hadi 2028, na unatekelezwa katika mikoa ya Iringa, Njombe, Mbeya na…
📌 Ashuhudia utiaji saini mkataba wa utekelezaji wa mradi kutoka Iganjo, Mbeya hadi Saza, Songwe 📌 Mradi kutekelezwa kwa miezi 18 kwa gharama ya Shilingi Bilioni 198.67 Na Mwandishi Wetu,Mbeya Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amesema utekelezaji wa Mradi wa Njia ya Kusafirisha Umeme wa Msongo wa Kilovoti 220 kutoka Iganjo, Mkoani Mbeya,…
Na Mwandishi Wetu Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), amesema kuwa Tanzania na Korea Kusini zimekubaliana kuongeza kasi ya utekelezaji wa ahadi iliyotelewa na nchi hiyo ya dola za Marekani bilioni 2.5 kwa Tanzania kwa ajili ya kutekeleza miradi muhimu ya kimkakati itakayochochea maendeleo na ukuaji wa uchumi wa nchi katika sekta…
Na Mwandishi Wetu,Dar es SalaamMamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imetangaza kusitishwa kwa huduma ya maji kwa takribani saa 12 katika maeneo ya Dar es Salaam na Pwani, kesho Alhamisi, Septemba 10, 2026.Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano DAWASA, Bi Everlasting Lyaro amesema huduma itakatika kuanzia saa 12:00 asubuhi hadi saa…
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar MIKUTANO ya 67 ya Jumuiya ya Umeme ya Kusini mwa Afrika (SAPP) inayofanyika Zanzibar imefungua fursa mpya kwa Tanzania kuimarisha nafasi yake kama kitovu cha biashara ya umeme katika ukanda wa Kusini mwa Afrika, huku ikitarajiwa kuongeza mapato ya taifa kupitia mauzo ya umeme na kuimarisha usalama wa nishati katika ukanda…
Na Aziza Masoud ,Dar es Salaam BARAZA la Mitihani la Tanzania (NECTA) limewataka watahiniwa 1,168,649 wa Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi (PSLE) mwaka 2026 unaotarajiwa kuanza kesho kujiepusha na vitendo vya udanganyifu, huku wazazi, walezi na jamii wakitakiwa kuhakikisha mtihani huo unafanyika katika mazingira ya amani na utulivu. Akizungumza na waandishi wa habari leo…
Na Mwamdishi Wetu,Dar es Salaam Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limekabidhiwa tuzo ya kwa kutambua mchango wa kipekee katika ubunifu na maendeleo ya sekta ya Nishati nchini ikiwa ni sehemu ya kutambua mchango wa Shirika katika kuendeleza sekta hiyo. Tuzo hiyo imekabidhiwa kwa Shirika la Umeme Tanzania TANESCO katika hafla ya tuzo za ujenzi wa…
Na Aziza Masoud, Dar es Salaam WIZARA ya Katiba na Sheria imesema inaendelea kupitia sheria mbalimbali zinazoweza kuwa kikwazo kwa uwekezaji na matumizi ya rasilimali za uchumi wa buluu, katika juhudi za kuweka mazingira wezeshi kwa sekta binafsi kushiriki zaidi katika kukuza uchumi wa nchi. Hatua hiyo inalenga kuhakikisha sheria na kanuni zinazohusu matumizi ya…