TTCL: UHIFADHI WA TAARIFA NDANI YA NCHI UIMARISHA USALAMA KIDIGITALI

Na Mwandishi Wetu, Dodoma SHIRIKA  la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limesema kuhifadhi taarifa na mifumo ya taasisi ndani ya nchi kupitia Kituo cha Taifa cha Kuhifadhi Taarifa Kidijitali (National Internet Data Centre – NIDC) ni hatua muhimu ya kuimarisha usalama wa taarifa na kulinda uhuru wa kidijitali wa Tanzania. Akizungumza katika Maonesho ya Nanenane yanayoendelea jijini…

Read Full News

TTB YAMPOKEA MR.ALAYA ANAYEWANI REKODI YA GUINNESS DUNIANI

Na Mwandishi Wetu,Rukwa WIZARA ya Maliasili na Utalii kupitia Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), imempokea rasmi nchini mhamasishaji amani duniani, Saddam Suleiman Ali Alaya (Mr. Alaya), anayetekeleza safari ya kihistoria ya The World’s Longest Peace Walk, inayolenga kuweka rekodi ya Guinness World Records kupitia matembezi marefu zaidi ya kuhamasisha amani na mshikamano wa kimataifa. Mr….

Read Full News

NISHATI NI CHACHU YA KILIMO, UCHUMI NA MAENDELEO YA VIJIJINI – MHA. SAIDY

NISHATI NI CHACHU YA KILIMO, UCHUMI NA MAENDELEO YA VIJIJINI – MHA. SAIDY Na Mwandishi Wetu,Dodoma Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Mha. Hassan Saidy, amewakaribisha wananchi na wadau kutoka sekta mbalimbali kutembelea Banda la REA katika Maonesho ya Nane Nane 2026 yanayoendelea katika Viwanja vya Nzuguni, jijini Dodoma, ili kujionea mafanikio ya…

Read Full News

WAFUGAJI WATAKIWA KUYAONGEZEA THAMANI MAZIWA KUONGEZA KIPATO

Na Mwandishi Wetu, Dodoma  CHUO Cha Ufundi Stadi (VETA) Singida kimewahimiza wafugaji wa ng’ombe nchini kuongeza thamani ya maziwa wanayozalisha kwa kuyachakata na kutengeneza bidhaa mbalimbali badala ya kuyauza yakiwa mabichi, hatua ambayo itawaongezea kipato na kuinua thamani ya bidhaa zao. Akizungumza katika banda la Mamlaka  ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) katika Maonesho…

Read Full News

e-GA: MIFUMO YA KIDIGITALI YA KILIMO  INAONGEZA UWAZI 

Na Aziza Masoud,Dodoma SERIKALI kupitia Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA)  inaendelea kushirikiana na Wizara ya Kilimo katika kuimarisha matumizi ya mifumo ya kidijitali inayorahisisha utoaji wa huduma, kuongeza uwazi na kuboresha usimamizi wa shughuli za kilimo nchini. Akizungumza katika Maonesho ya Wakulima  ya Kitaifa yanayoendelea jijini Dodoma, Meneja wa Mawasiliano e -GA  Subira Kaswaga alisema…

Read Full News