WAOSHA MAGARI WAUZA MAUA WAPEWA SOMO UPOTEVU MAJI

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imewataka wafanyabiashara wanaotegemea maji katika shughuli zao, wakiwemo waosha magari, wafyatua matofali na watunza bustani, kushiriki katika kudhibiti upotevu wa maji na kulinda miundombinu ya huduma hiyo. Wito huo umetolewa katika kikao cha kutoa elimu kwa wafanyabiashara hao kuhusu…

Read Full News

MRADI WA NJIA YA KUSAFIRISHA UMEME WA KV 220 IGANJO–SAZA KUIMARISHA UPATIKANAJI WA UMEME NA KUCHOCHEA UCHIMBAJI WA MADINI – MHE. SALOME

📌 Ashuhudia utiaji saini mkataba wa utekelezaji wa mradi kutoka Iganjo, Mbeya hadi Saza, Songwe 📌 Mradi kutekelezwa kwa miezi 18 kwa gharama ya Shilingi Bilioni 198.67 Na Mwandishi Wetu,Mbeya Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amesema utekelezaji wa Mradi wa Njia ya Kusafirisha Umeme wa Msongo wa Kilovoti 220 kutoka Iganjo, Mkoani Mbeya,…

Read Full News

SAPP KUFUNGUA FURSA KWA TANZANIA KUWA KITOVU CHA BIASHARA YA UMEME KUSINI MWA AFRIKA

Na Mwandishi Wetu, Zanzibar MIKUTANO ya 67 ya Jumuiya ya Umeme ya Kusini mwa Afrika (SAPP) inayofanyika Zanzibar imefungua fursa mpya kwa Tanzania kuimarisha nafasi yake kama kitovu cha biashara ya umeme katika ukanda wa Kusini mwa Afrika, huku ikitarajiwa kuongeza mapato ya taifa kupitia mauzo ya umeme na kuimarisha usalama wa nishati katika ukanda…

Read Full News

WATAHINIWA 1,168,649 WA DARASA LA SABA KUANZA MTIHANI KESHO

Na Aziza Masoud ,Dar es Salaam BARAZA  la Mitihani la Tanzania (NECTA) limewataka watahiniwa 1,168,649 wa Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi (PSLE) mwaka 2026 unaotarajiwa kuanza kesho kujiepusha na vitendo vya udanganyifu, huku wazazi, walezi na jamii wakitakiwa kuhakikisha mtihani huo unafanyika katika mazingira ya amani na utulivu. Akizungumza na waandishi wa habari leo…

Read Full News

SERIKALI YAPITIA SHERIA KUONDOA VIKWAZO VYA UWEKEZAJI UCHUMI WA BULUU

Na Aziza Masoud, Dar es Salaam WIZARA ya Katiba na Sheria imesema inaendelea kupitia sheria mbalimbali zinazoweza kuwa kikwazo kwa uwekezaji na matumizi ya rasilimali za uchumi wa buluu, katika juhudi za kuweka mazingira wezeshi kwa sekta binafsi kushiriki zaidi katika kukuza uchumi wa nchi. Hatua hiyo inalenga kuhakikisha sheria na kanuni zinazohusu matumizi ya…

Read Full News