
MAENEO YALIOATHIRIWA NA MVUA BARABARA YA DAR-LINDI-MTWARA YOTE NI SHWARI
Barabara ya Dar es salam-Lindi-Mtwara sasa imerejea katika hali ya kupitika baada ya kukamilika urejeshaji…
Na Mwandishi Wetu,Pwani KAMISHNA Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Yusuph Juma Mwenda leo tarehe 17.05.2025 amefanya ziara ya kushitukiza kwenye baadhi ya Viwanda vilivyopo wilayani Mkuranga mkoani Pwani na kubaini kuwepo kwa ukwepaji mkubwa wa Kodi unaofanywa na wamiliki wa Viwanda hivyo. Akiwa katika kiwanda cha kuzalisha viatu vya Plastiki maarufu kama Yeboyebo…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam MKURUGENZI wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Ramadhani Kailima amewataka wananchi wenye sifa za kupiga kura hapa nchini kujitokeza kwenda kuhakiki na kuboresha taarifa zao kwenye Daftari la Awali la Mpiga Kura lililowekwa kwenye kila Kata kwa ajili ya wananchi kuhakiki taarifa zao kwa usahihi Kailima amezungumza hayo…
Na Mwandishi Wetu,Dodoma WAZIRI wa Madini Anthony Mavunde aliweka wazi mafanikio 16 ya Sekta ya Madini katika kipindi cha Miaka Minne ya Rais Samia Suluhu Hassan ikiwemo Benki Kuu ya Tanzania kununua Tani 3.7 kwa gharama ya Shilingi 702.3 Bilioni. Akizungumza na Waandishi wa Habari juzi katika ukumbi wa Idara ya habari (MAELEZO), Waziri Mavunde…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam KATIBU Mkuu wa Wizara ya Madini, Mhandisi Yahya Samamba amesema kutokana na utulivu uliopo katika Sekta ya Madini, amekishauri Chama cha Watoa Huduma Sekta ya Madini (TAMISA), kujipanga ili kudhibiti wanachama wake wasio waaminifu katika utoaji huduma. Mhandisi Samamba ametoa rai hiyo leo jijini Dar es Salaam akizindua Kamati ya…
Na Aziza Masoud,Dar es Salaam WAZIRI wa Nchi,Ofisi ya Rais Menejenti ya Utumishi na Utawala Bora George Simbachawene Tanzania na Afrika inahitaji viongozi wa kimageuzi ili kuhamasisha juhudi za pamoja kuelekea kutimiza malengo ya maendeleo jumuishi na endelevu ya barani humo. Simbachawene alitoa kauli hiyo Leo Mei 16, 2025 wakati wa mahafali ya nane ya…
Na Aziza Masoud,Dar es Salaam JAMII imetakiwa kutokuwaficha watoto wenye utindio wa ubongo kwani ni watoto kama walivyo wengine na kwamba kufanya hivyo kunazidi kuwaongezea unyonge zaidi. Wito huo umetolewa na Doreen Fitzpatrick ambaye ni Mtanzania anayeishi Marekani na Mkurugenzi wa Sassyfly Luxury Event wakati akitoa msaada katika Kituo cha kulelea watoto wenye Utindio wa…
Na Mwandishi Wetu Arusha. Waandishi Waendesha Ofisi kutoka taasisi mbalimbali nchini wamelipongeza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kwa kuwapatia elimu sahihi ya matumizi ya Nishati Safi ya umeme kupikia hali itakayosaidia kuondokana na matumizi ya Nishati zisizo salama ikiwemo kuni na Mkaa. Wamebainisha hayo tarehe 15, 2025 baada ya kutembelea Banda la TANESCO katika maonesho…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam MKURUGENZI Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Lazaro Twange amefanya ziara ya kikazi kwa kuitembelea Kampuni ya Uendelezaji Jotoardhi Tanzania (TGDC) ambayo ni Kampuni Tanzu ya shirika hilo leo Mei 15, 2025 kwa lengo la kuzifahamu taasisi zilizo chini ya shirika analolisimamia. Akiongea na Bodi ya Wakurugenzi, Menejimenti pamoja…
Na Mwandishi Wetu, Morogoro. Mkurugenzi wa Uchaguzi Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Ramadhani Kailima, amesema Tume haitamvumilia mtu yeyote atakayehusika na kuvuruga zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa kujiandikisha katika vituo zaidi ya kimoja. Kailima ametoa onyo hilo Mei 15, 2025, wakati akizungumza katika mafunzo ya waandishi wasaidizi na…
Na Mwandishi Wetu,Morogoro KATIBU Mkuu wa Chama cha National League for Democracy (NLD), Doyo Hassani Doyo, ametoa rai kwa taasisi na mashirika kuhakikisha wanazingatia sheria za usajili kabla ya kushiriki katika shughuli za kisiasa, hususan kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika mwaka huu. Akizungumza na waandishi wa habari mjini Morogoro katika kikao cha Baraza la Vyama…