ACP  MWAKABONGA:TUSAIDIANE KUPUNGUZA AJALI ZA BODABODA

Na Mwandishi wetu,Dar es Salaam JESHI la Polisi nchini kupitia Kikosi cha Usalama Barabarani wameishukuru kampuni ya  Oryx  Energy kwakutoa elimu na msaada wa vifaa muhimu vya kiusalama kwa maafisa usafirishaji maarufu kama bodaboda  na kutoa  wito kwa kampuni nyingine kuiga utaratibu huo ili kupunguza ajali za barabarani. Msaada huo ambao umetolewa kupitia kampeni ya…

Read More

TANZANIA KUWA NA MASHIRIKA YA UMMA YENYE USHINDANI IFIKAPO 2050

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam IFIKAPO mwaka 2050, Tanzania inajiona kuwa na Mashirika ya umma ya kibiashara yanayoendeshwa kwa uwazi na ushindani, yanayojitegemea na yenye kuleta faida, na yanayovutia uwekezaji huku yakishirikiana kikamilifu na sekta binafsi ili kukuza uchumi. Dhamira hii imeainishwa katika Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 iliyozinduliwa na Mhe. Rais. Dk. Samia…

Read More

MBIO ZA MSAKUZI PANDE GAME RESERVE ZAZINDULIWA RASMI

📍Utalii wa michezo wahamasishwa Na MwandishiWetu, Dar es Salaam. Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) kwa kushirikiana na Msakuzi Sports Promotion leo Julai 12,2025, imezindua rasmi msimu wa kwanza wa mbio za riadha zinazojulikana kama “Msakuzi Pande Game Reserve Marathon” zilizofanyika katika Hifadhi ya Pande iliyopo jijini Dar es Salaam. Akizungumza kwa niaba ya…

Read More