SABASABA YAJA KIDIGITALI ZAIDI

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam SERIKALI imesema imekamilisha maandalizi ya Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba), kwa kuboresha miundombinu na kuanzisha mifumo ya kidijitali ya ununuzi wa tiketi na kuwaongoza wageni kufika katika mabanda mbalimbali, hatua inayolenga kuongeza ufanisi na kuondoa msongamano wa wananchi watakaotembelea maonesho hayo. Akizungumza leo…

Read More

BILIONI 51 ZATUMIKA KUBORESHA UWANJA WA NDEGE KIGOMA – PROF. MBARAWA

Na Mwandishi Wetu Waziri wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa, amesema Serikali imetumia shilingi bilioni 51 kuboresha Kiwanja cha Ndege cha Kigoma, huku utekelezaji wa mradi huo ukiwa umefikia asilimia 67 na unatarajiwa kukamilika ifikapo Oktoba au Novemba 2026 Akizungumza baada ya kukagua maendeleo ya mradi huo mkoani Kigoma, leo tarehe 25 Juni, 2026 Prof. Mbarawa…

Read More

Spika Zungu aipongeza Serikali kwa kufanya marekebisho kwenye baadhi ya tozo na kodi 

Na Benny Mwaipaja, Dodoma Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mussa Azzan Zungu, ameipongeza Serikali inayoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kuimwagia maua yake kwa kukubali kwa dhati kufanyia marekebisho baadhi ya tozo na kodi mbalimbali zilizokuwa zinapendekezwa kufanyiwa marekebisho katika Bajeti…

Read More

MD TWANGE ATOA RAI KWA MAMENEJA TANESCO KUONGEZA KASI YA KUPAMBANA NA WIZI WA MIUNDOMBINU YA UMEME

Na Mwandishi Wetu,Dodoma MKURUGENZI Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Lazaro Twange, ametoa rai kwa mameneja wa TANESCO nchini kusimamia na kupambana kwa nguvu zote na changamoto ya wizi wa miundombinu ya umeme, ambayo imekuwa ikijitokeza katika maeneo mbalimbali ya mikoa wanayoisimamia. Bw. Twange ameyasema hayo Juni 24, 2026, mkoani Dodoma wakati akifungua Mkutano…

Read More

MD TWANGE ATOA RAI KWA MAMENEJA TANESCO KUONGEZA KASI YA KUPAMBANA NA WIZI WA MIUNDOMBINU YA UMEME

📌Afungua Mkutano Mkuu wa mwaka wa Mameneja na Wakurugenzi wa Kanda, Dodoma 📌Asisitiza umuhimu wa kuongeza ubunifu katika ukusanyaji wa mapato 📌Awapongeza kwa kazi nzuri na kuendelea kuimarisha mahusiano na wadau Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Bw. Lazaro Twange, ametoa rai kwa mameneja wa TANESCO nchini kusimamia na kupambana kwa nguvu zote…

Read More

NDEJEMBI ATAKA KASI YA UTENDAJI KAZI WA WIZARA YA NISHATI NA TAASISI KUONGEZEKA

📌Lengo ni kukidhi matarajio ya wananchi katika Sekta ya Nishati Na Mwandishi Wetu,Dodoma Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amewataka watendaji na watumishi wa Wizara ya Nishati na Taasisi zake kuongeza kasi ya utekelezaji wa majukumu yao katika mwaka mpya wa fedha 2026/2027 ili kuweza kukidhi matarajio makubwa ya wananchi katika sekta ya nishati. Mhe….

Read More