MAENEO YALIOATHIRIWA NA MVUA BARABARA YA DAR-LINDI-MTWARA YOTE NI SHWARI
Barabara ya Dar es salam-Lindi-Mtwara sasa imerejea katika hali ya kupitika baada ya kukamilika urejeshaji…
KAMATI YA UONGOZI WA MRADI WA JNHPP YAKAGUA MAENDELEO YA BWAWA LA JULIUS NYERERE Na Mwandishi Wetu,Dodoma KAMATI ya Uongozi wa Mradi wa Bwawa la Julius Nyerere (JNHPP), tarehe 26 Februari 2026, imekagua maendeleo ya uzalishaji wa umeme katika bwawa la Julius Nyerere na kueleza kuridhishwa na usimamizi pamoja na utekelezaji wake, uliokidhi viwango vya…
Chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI) kimesaini Hati ya Makubaliano (MoU) na World Maritime University (WMU) kwa lengo la kuimarisha ushirikiano katika elimu ya masuala ya bahari, tafiti na maendeleo ya uwezo wa taasisi. Hafla ya utiaji saini imefanyika Februari 26, 2026 katika Ofisi ya Ubalozi wa Tanzania jijini London, Uingereza. Utiaji saini huo…
Na Mwandishi Wetu,Morogoro MKUU wa mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Malima ameipongeza Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa utekekezaji wa miradi ya umeme maeneo ya Vijijini na Vitongoji hali iliyopelekea kuchochea uchumi wa wananchi na Taifa kwa ujumla. RC Malima ametoa pongezi hizo leo Februari 26, 2026 mkoani humo wakati akizungumza na Bodi ya Nishati…
Na Mwandishi Wetu, Morogoro Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratous Ndejembi, ameitaka Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) kuimarisha mipango yake katika ukusanyaji wa data sahihi, tathmini ya vitalu vya utafiti, na maandalizi ya Watanzania kushiriki kikamilifu katika miradi mikubwa ya kimkakati, ikiwemo mradi wa kuchakata gesi asilia kuwa kimiminika (LNG). Mhe. Ndejembi…
Na Mwandishi Wetu, Morogoro KATIBU Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulikia Mafuta na Gesi, Dkt. James Mataragio, ameielekeza Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) kuongeza kasi ya utafiti wa awali katika maeneo mapya ya mafuta na gesi asilia ili kuvutia wawekezaji na kuongeza mapato ya taifa. Akizungumza leo Februari 26, 2026, wakati…
Na Asha Mwakyonde, DODOMA MAMLAKA ya Rufani ya Ununuzi wa Umma (PPAA) imewataka wazabuni na wadau wote wa ununuzi wa umma nchini kushiriki mafunzo ya matumizi ya moduli ya kuwasilisha malalamiko na rufaa kupitia Mfumo wa Kielektroniki wa Ununuzi wa Umma (NeST) ili kuongeza ufanisi na uelewa wa matumizi ya mfumo huo. Wito huo umetolewa…
Na Mwandishi Wetu, Singida WAKALA wa Nishati Vijijini imeanza utekelezaji wa mpango mkakati wa kitaifa wa nishati safi ya kupikia ili kufikia lengo la zaidi ya asilimia themanini 80% ya watanzania ifikapo mwaka 2034 wawe wanatumia nishati safi ya kupikia nishati ambayo ni salama kwa mtumiaji na rafiki kwa mazingira. Akizungumza wakati wa ugawaji wa…
Na Mwandishi Wetu Waziri wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa leo tarehe 24 Februari, 2026 amekagua utekelezaji wa Mradi wa Reli ya Kisasa (SGR) Lot 5 kipande cha Mwanza–Isaka (km 341) unaogharimu Sh trilioni 3.06, na kuagiza kasi iongezwe huku viwango na ubora wa kimataifa vilivyosanifiwa kwa mtandao mzima wa SGR vikizingatiwa kikamilifu. Amesema Serikali ya…
Na Mwandishi Wetu,Singida KATIKA nchi inayokumbwa na changamoto za kiafya, mazingira na umasikini, nishati safi ya kupikia si tu hitaji la msingi bali ni kichocheo cha maendeleo ya kweli kwa watu na Taifa kwa ujumla. Katika kukabiliana na ukataji miti ambapo takribani asilimia 16 ya eneo la nchi tayari limegeuka kuwa janga, Serikali ya Awamu…
Na Mwandishi Wetu,Musoma WAZIRI wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa, tarehe 23 Februari, 2026 katika Ziara yake ya Kanda ya Ziwa ametembelea Bandari ya Musoma,na kusisitiza kuwa Serikali inakwenda kuikarabati ili kuendelea kufungua fursa za kiuchumi Mkoa wa Mara Amesema kuwa Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan inaendelea na ukarabati…