MAENEO YALIOATHIRIWA NA MVUA BARABARA YA DAR-LINDI-MTWARA YOTE NI SHWARI
Barabara ya Dar es salam-Lindi-Mtwara sasa imerejea katika hali ya kupitika baada ya kukamilika urejeshaji…
Unahusisha Shule za Sekondari 52 na Chuo kimoja cha VETA Ni sehemu ya mradi wa Shilingi bilioni 25.8 wa kupeleka nishati safi ya kupikia kwa taasisi 453 Na Mwandishi Wetu,Dodoma NAIBU Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amezindua awamu ya kwanza ya mradi wa kusambaza nishati safi ya kupikia katika taasisi zinazohudumia watu zaidi ya…
MWENDA AONYA WANAODANGANYA KUWA NA UWEZO KUFUTA MADENI YA KODITRA YAJIVUNIA MFUMO WA IDRAS, KUENDELEA KUTOA ELIMU Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imefungua kituo kipya cha huduma katika eneo la Masaki Dar es Salaam ambacho kipo chini ya mkoa kodi Kinondoni lengo likiwa ni kuendelea kusogesa huduma kwa wananchi na…
Na Mwandishi Wetu, Kilimanjaro MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), kwa kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama hususan Jeshi la Polisi, kuanzia Februari 10 hadi 16, 2026, imefanya operesheni maalum katika vijiji vya Marieni na Mhero vilivyopo kata ya Chome, wilaya ya Same, Kilimanjaro na kukamata kilogramu 299.8 . Akizungumza…
Na Mwandishi Wetu,Karatu MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imeanza kuchukua hatua ya utekelezaji wa maagizo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan aliyoyatoa wakati wa kampeni wilayani Karatu mkoa wa Arusha ya kuitaka TRA kuongeza wigo wa utoaji huduma. Kamishna Mkuu wa TRA Bw. Yusuph Juma Mwenda akiwa ziarani…
Na Mwandishi Wetu,Tabora WAZIRI wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi amesema wilaya za Urambo na Kaliua mkoani Tabora zipo tayari kwa uwekezaji, hususan wa viwanda kwani umeme unaopatikana katika Kituo cha Kupoza na Kusambaza Umeme Urambo unatosheleza na hata kuzidi mahitaji ya sasa. Amesema hayo leo, tarehe 14 Februari 2026, wakati akikagua mradi wa njia ya…
Na Mwandishi Wetu,Tabora WAZiRI wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amesema Serikali kupitia Shirika la Umeme nchini (TANESCO) itahakikisha inajenga vituo vya kisasa vya kupokea, kupoza na kusambaza umeme katika kila wilaya ili kuhakikisha umeme unaozalishwa unawafikia wananchi kwa uhakika na kuwawezesha kunufaika na fursa mbalimbali za kiuchumi na kijamii. Mhe. Ndejembi ameyasema hayo Februari 14,…
Na Mwandishi Wetu,Dodoma Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imesema utekelezaji wa mfumo wa ithibati kwa waandishi na watangazaji wa habari nchini ni hatua ya kimkakati ya kuimarisha uaminifu, weledi na ushindani wa sekta ya habari katika uchumi wa kisasa unaotegemea taarifa sahihi na zenye kuaminika. Akizungumza katika Mkutano Mkuu wa Mwaka wa…
Na Mwandishi Wetu,Tanga WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mwigulu Nchemba, amekagua na kuweka jiwe la msingi la Mradi wa Kituo cha Kupoza na Kusambaza Umeme cha kilovolti 132/33 katika eneo la Mkata, wilayani Handeni, mkoani Tanga. Mradi huo uliogharimu Shilingi bilioni 44 unahusisha ujenzi wa vituo viwili vya kusambaza umeme pamoja na…
Na Mwandishi Wetu,Dodoma MWENYEKITI Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, Subira Mgalu, ameipongeza Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kwa juhudi zake za kudumisha uhimilivu wa bei za nishati, hususan mafuta na umeme. Amesema kuwa hatua hiyo imechangia kwa kiasi kikubwa kulinda maslahi ya watumiaji na kuimarisha utulivu…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam NAIBU Waziri wa Wizara ya Uchukuzi, Mhe. David Kihenzile, ametembelea ujenzi wa ofisi za Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) zilizopo Sinza Simu 2000, jijini Dar es Salaam. Ujenzi huu, unaofadhiliwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, unalenga kuongeza ufanisi wa utoaji wa taarifa sahihi za hali…