MAENEO YALIOATHIRIWA NA MVUA BARABARA YA DAR-LINDI-MTWARA YOTE NI SHWARI
Barabara ya Dar es salam-Lindi-Mtwara sasa imerejea katika hali ya kupitika baada ya kukamilika urejeshaji…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam Wananchi wanaotembelea banda la Tume ya Madini katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (SabaSaba) wanaendelea kunufaika na elimu kuhusu matumizi ya kifaa cha Gemmological Torch, kinachotumika kutambua ubora na thamani halisi ya madini ya vito. Akitoa elimu katika banda hilo, Mjiolojia na Mjimolojia Mwandamizi…
Na Mwandishi Wetu,Dar es SalaqmMaafisa wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) wanaendelea kuwahudumia wananchi wanaotembelea Banda la TTCL katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba 2026), kwa kuwapatia elimu kuhusu huduma na suluhisho mbalimbali za mawasiliano na teknolojia za kidijitali zinazotolewa na TTCL. Katika banda hilo, wananchi wanapata fursa…
Na Aziza Masoud, Dar es Salaam BODI ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imezindua rasmi Mwongozo wa Ithibati ya Maisha unaoruhusu waandishi wakongwe ambao hawana vigezo vya elimu vilivyowekwa kupata ithibati maalum kwakuzingatia uzoefu walionao katika taaluma ya habari. Uzinduzi wa muongozo huo umefanyika katika siku maalum ya JAB yaani ‘JAB Day’ ndani ya…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam Mjiolojia kutoka Ofisi ya Afisa Madini Mkazi wa Mkoa wa Njombe, Abbas Mruma, amesema Tanzania inaendelea kujijengea nafasi muhimu duniani kutokana na kuwa na hifadhi kubwa ya madini muhimu ya kimkakati, yakiwemo graphite, lithium na rare earth elements, ambayo ni nguzo muhimu katika maendeleo ya teknolojia za kisasa na nishati…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) imewataka wajasiriamali wanaoshiriki Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba) kutumia fursa ya uwepo wa BRELA kwenye maonesho hayo kwa kupata huduma za sajili na leseni ili kujiendesha kwa mujibu wa sheria na kuepuka changamoto za kisheria….
Na Mwandishi Wetu,Arusha BODI ya Utalii Tanzania (TTB) imewakutanisha wadau mbalimbali wa sekta ya utalii katika Destination Tanzania Stakeholders Forum 2026 iliyofanyika jengo la Ngorongoro, Arusha, kwa lengo la kuimarisha ushirikiano katika kuitangaza Tanzania na kuongeza ushindani wa sekta ya utalii duniani. Jukwaa hilo liliwakutanisha wawakilishi kutoka serikalini, sekta binafsi, vyama vya utalii, waongoza watalii,…
Na Mwandishi Wetu Waziri wa Uchukuzi Prof.Makame Mbarawa amezindua jengo la muda la abiria katika Kiwanja cha Ndege cha Songea mkoani Ruvuma chenye uwezo wa kuhudumia abiria 300 kwa wakati mmoja. Prof.Mbarawa amefanya uzinduzi huo katika siku ya kwanza ya ziara ya siku nne mkoani Ruvuma ambapo pamoja na mambo mengine anatarajiwa kitembelea mradi wa…
📌 Aahidi kutumia jukwaa lake kuhamasisha wananchi kutumia umeme kwa shughuli za kupikia 📌 Ushirikiano huo waunga mkono jitihada za TANESCO na Serikali za kuongeza matumizi ya nishati safi ya kupikia Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam Mwanahabari nguli Maulidi Kitenge, ameungana na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kuhamasisha wananchi kutumia nishati safi ya kupikia…
Na Benny Mwaipaja, Banjul, Gambia. Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), amesema kuwa nchi za Afrika zinahitaji kuchukua hatua madhubiti za kisera na kikodi ili kuiwezesha sekta ya viwanda kuchangia ukuaji wa uchumi, kukuza ajira, kuimarisha uzalishaji na kupanua mauzo ya nje. Mhe. Balozi Omar amesema hayo aliposhiriki mjadala kuhusu nafasi ya…
Na Aziza Masoud, Dar es Salaam KAIMU Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Ukaguzi na Usimamizi wa Vyama vya Ushirika (COASCO), CPA Jeremiah Mgeta, amesema taasisi hiyo imejipanga kuhakikisha vyama vyote vya ushirika nchini vinakaguliwa katika mwaka wa fedha 2026/27 ili kuimarisha uwajibikaji, uwazi na kuongeza imani ya wanachama. CPA Mgeta alitoa kauli hiyo alipotembelea banda…