HUO CHA BAHARI DAR ES SALAAM (DMI) NA CHUO KIKUU CHA BAHARI CHA DALIAN CHA UCHINA(DMU) WASAINI MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO

Dalian, China Chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI) kimesaini makubaliano ya ushirikiano na Chuo Kikuu cha Bahari cha Dalian Maritime University (DMU) cha nchini China lengo la makubaliano hayo ni kuimarisha ushirikiano wa kimataifa katika sekta ya elimu ya bahari. Mkuu wa chuo cha DMI, Prof Tumaini ushirikiano uliopo kati ya taasisi hizo mbili…

Read More

AFUNGWA MAISHA KWAKUFANYA BIASHARA YA HEROIN

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam Mahakam Kuu ya Tanzania, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, imewahukumu kifungo cha maisha jela Suleiman Thabit Ngulangwa na Farid Hamis Said baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la biashara haramu ya dawa za kulevya aina ya heroin yenye uzito wa kilo 15.19. Katika hukumu iliyotolewa Juni 1,…

Read More

DAWASA YATOA ELIMU YA UHIFADHI WA MAJI KATIKA WIKI YA MAZINGIRA

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) ni miongoni mwa taasisi zinazoshiriki Maadhimisho ya Wiki ya Mazingira Kitaifa yanayoendelea katika Viwanja vya Ukumbi wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma, yakiwa na kauli mbiu isemayo: “Dira 2050: Tuwajibike Kukijanisha Tanzania.” Maadhimisho hayo yanayofanyika kuanzia Juni 1 hadi 5…

Read More

MSIGWA:BWAWA LA KIDUNDA NI MRADI WAKIMKAKATI KWA MAJI KILIMO NA NISHATI

‎Na Mwandishi Wetu,Morogoro MSEMAJI Mkuu wa Serikali, Ndugu Gerson Msigwa, ameipongeza Wizara ya Maji kwa usimamizi madhubuti wa ujenzi wa Bwawa la Maji Kidunda, akieleza kuwa mradi huo ni miongoni mwa miradi mikubwa ya kimkakati Nchini inayotarajiwa kuleta mageuzi makubwa katika sekta ya maji, kilimo, nishati na uhifadhi wa mazingira nchini.‎‎Msigwa, ambaye pia ni Katibu…

Read More

Tanzania yaunga mkono mbinu mpya kifedha zitakazosaidia kuimarisha sekta za usafiri wa anga na afya barani Afrika

Na Mwandishi Wetu Tanzania imeelezea msimamo wake wa kuunga mkono mbinu za fedha za mseto (blended finance) zitakazosaidia kuimarisha sekta za usafiri wa anga na afya barani Afrika, akieleza kwamba hakuna chanzo kimoja kitakachoweza kuziba mapungufu ya miundombinu ya bara hilo. Akizungumza kama Gavana Mbadala wa Tanzania kwenye mkutano ulioandaliwa na Benki ya Maendeleo ya…

Read More