MAENEO YALIOATHIRIWA NA MVUA BARABARA YA DAR-LINDI-MTWARA YOTE NI SHWARI
Barabara ya Dar es salam-Lindi-Mtwara sasa imerejea katika hali ya kupitika baada ya kukamilika urejeshaji…
Na Mwandishi Wetu,Tabora WAZIRI wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi amesema wilaya za Urambo na Kaliua mkoani Tabora zipo tayari kwa uwekezaji, hususan wa viwanda kwani umeme unaopatikana katika Kituo cha Kupoza na Kusambaza Umeme Urambo unatosheleza na hata kuzidi mahitaji ya sasa. Amesema hayo leo, tarehe 14 Februari 2026, wakati akikagua mradi wa njia ya…
Na Mwandishi Wetu,Tabora WAZiRI wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amesema Serikali kupitia Shirika la Umeme nchini (TANESCO) itahakikisha inajenga vituo vya kisasa vya kupokea, kupoza na kusambaza umeme katika kila wilaya ili kuhakikisha umeme unaozalishwa unawafikia wananchi kwa uhakika na kuwawezesha kunufaika na fursa mbalimbali za kiuchumi na kijamii. Mhe. Ndejembi ameyasema hayo Februari 14,…
Na Mwandishi Wetu,Tanga WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mwigulu Nchemba, amekagua na kuweka jiwe la msingi la Mradi wa Kituo cha Kupoza na Kusambaza Umeme cha kilovolti 132/33 katika eneo la Mkata, wilayani Handeni, mkoani Tanga. Mradi huo uliogharimu Shilingi bilioni 44 unahusisha ujenzi wa vituo viwili vya kusambaza umeme pamoja na…
Na Mwandishi Wetu,Dodoma MWENYEKITI Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, Subira Mgalu, ameipongeza Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kwa juhudi zake za kudumisha uhimilivu wa bei za nishati, hususan mafuta na umeme. Amesema kuwa hatua hiyo imechangia kwa kiasi kikubwa kulinda maslahi ya watumiaji na kuimarisha utulivu…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam NAIBU Waziri wa Wizara ya Uchukuzi, Mhe. David Kihenzile, ametembelea ujenzi wa ofisi za Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) zilizopo Sinza Simu 2000, jijini Dar es Salaam. Ujenzi huu, unaofadhiliwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, unalenga kuongeza ufanisi wa utoaji wa taarifa sahihi za hali…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kuwa Afrika haiwezi kushinda vita dhidi ya saratani ikiwa kila nchi itafanya kazi peke yake. Amesema kuwa ili kufikia malengo ya mapambano dhidi ya saratani, kunahitajika kuwepo kwa ushirikiano wa kikanda na wa bara zima katika utafiti, mafunzo, kubadilishana wataalamu na kubadilishana rasilimali, teknolojia…
Na Hafidh Kido,Dar es Salaam WAKATI nchi za Afrika zikiendelea kuwa mwathirika mkubwa wa athari za mabadiliko ya Tabianchi, wadau wa mazingira wameona haja ya kuhusisha wanahabari katika mapambano hayo. Katika mafunzo yaliyotolewa jana kwa njia ya mtandao na Media for Environment, Science, Health and Agriculture (MESHA) kupitia programu ya Cross Boarder Science Café imewazindua…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam WAZIRI wa Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa amesema kukamilika kwa ujenzi wa eneo la kuhifadhi kontena lenye sqm 200000 kutaongeza ufanisi kutoka kupokea kontena 8000 hadi 13,000 kwa mwaka. Akizungumza Januari 9 , 2026 katika eneo hilo lililopo Kurasini ambapo amefanya ziara yakuangalia utendaji kazi wa bandari Profesa Mbarawa alisema ujenzi…
Na Mwandishi Wetu,Pwani Kibaha. Ofisi ya Msajili wa Hazina (OTR) kwa kushirikiana na Taasisi ya Wakurugenzi Tanzania (IoDT) imeendesha mafunzo maalum ya uongozi na usimamizi kwa Wakurugenzi na Wakurugenzi Wasaidizi wa Ofisi hiyo, yakilenga kuimarisha uwezo wa menejimenti katika kusimamia rasilimali za umma kwa weledi, uwajibikaji na kwa maslahi mapana ya taifa. Mafunzo hayo ya…