MAENEO YALIOATHIRIWA NA MVUA BARABARA YA DAR-LINDI-MTWARA YOTE NI SHWARI
Barabara ya Dar es salam-Lindi-Mtwara sasa imerejea katika hali ya kupitika baada ya kukamilika urejeshaji…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Saam MWENYEKITI wa chama cha Mawakala Wanaowatafutia watanzania Kazzi nje ya nchi (TRAA) Bara Abdalla Harid Mohamed amewataka madereva kuchangamkia fursa za nafasi za ajira 1150 za udereva nchini Qatar ambapo jumla ya madereva 900 wanategemewa kutoka Tanzania Bara. Akizungumza na waandishi wa habari jijink Dar es Salaam Mohamed ambaye pia…
Na Mwandishi Wetu,Mbeya Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Mhe. Beno Malisa ameishukuru Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA), kwa kupeleka kiasi cha shilingi bilioni 42.6 mkoani Mbeya ili kupeleka umeme kwenye vitongoji 316 kupitia mradi wa HEP 2B unaotekelezwa mkoani humo ili wananchi wanufaike na nishati hiyo. RC Malisa amesema mradi huo unakwenda kuleta…
NaAMwandishi Wetud,Dar es Salaam BARAZA la Mitihani Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya upimaji wa mtihani wa kidato cha nne huku takwimu ikionesha ufaulu kwa wasichana ni asilimia 94.26 ya wasichana wote ambapo kati ya watahiniwa 526,620 waliofanya mtihani huo wasichana 278,108 ambao ni watahiniwa wa shule wamefaulu kwakupata daraja la kwanza mpaka la nne. Akizungumza jijini…
Na Aziza Masoud,Dar es Salaam WAZIRI wa Elimu Sayansi na Teknolojia Profesa Adoph Mkenda amewataka vijana 16 wanaoenda masomoni nchini Afrika Kusini kupitia ufadhili wa masomo wa Samia Scolarship kusoma kwa bidii ili kuweza kusaidia kuendelea kuleta mapinduzi ya teknolojia nchini. Vijana hao ni kati ya 100 waliofanya vizuri zaidi katika masomo ya sayansi na…
Na Mwandishi Wetu,Iringa Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Kheri James, amewataka wananchi wa Mkoa huo kutoa ushirikiano kwa Wakandarasi wa miradi ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA), ikiwemo kulinda miundombinu na vifaa vya ujenzi ili miradi hiyo ikamilike kwa wakati na iweze kuleta tija na kuchochea maendeleo nchini. RC James amebainisha hayo leo Januari…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limefanya ukaguzi wa kitaalamu wa mita za umeme kwa baadhi ya wateja waliowasilisha malalamiko hayo kwa njia za mitandao katika maeneo ya Tabata Kimanga na Kimara Suka jijini Dar es Salaam. Malalamiko hayo yaliibuliwa na baadhi ya wananchi mitandaoni na kwenye vyombo vya habari kuhusu…
Na Mwandishi Wetu Mtwara WANANCHI wa vitongoji vya Msokole na Funguni Kijiji cha Mnazi Kata ya Nalingu Mkoani Mtwara wameishukuru Serikali kwa kuwapelekea mradi wa Umeme unaotekelezwa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) ambao wamesema unakwenda kubadili maisha yao. Wametoa shukrani hizo kwa nyakati tofauti Januari 28, 2026 wakati wa kumtambulisha Mkandarasi atakayetekeleza mradi wa…
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam WAKATI Rais Dk.Samia Suluhu Hassan leo Januari 27 akisherekea kutimiza miaka 66 tangu kuzaliwa kwake,vijana wa maeneo mbalimbali waliopo jijini Dar es Salaam wamekusanyika pamoja ili kusherekea siku hiyo kwakuelezea mambo mbalimbali anayoendelea kuyafanya kwa wananchi hasa vijana katika uongozi wake. Akizugumza katika hafla hiyo iliyofanyika katika viwanja vya Bora…
Na Asha Mwakyonde, DODOMA WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga amesema serikali kupitia Wizara hiyo kwa kushirikiana na Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), imepiga hatua kubwa katika urasimishaji wa biashara na ulinzi wa ubunifu ndani ya kipindi cha siku 100, hatua inayochochea ukuaji wa uchumi na kuwawezesha wananchi hususan vijana kushiriki…
Na Mwandishi Wetu,Dodoma MWANASHERIA Mkuu wa Serikali Mhe. Hamza S. Johari ameshiriki katika kikao cha wadau wa Mahakama kilichofanyika tarehe 22 Januari, 2026 Jijini Dodoma. Kikao hicho kilichoongozwa na Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania Mhe. George Masaju kililenga katika kujadiliana juu ya uboreshaji wa utoaji wa huduma za Mahakama na Sekta ya Sheria kwa…