WAKURUGENZI OFISI YA MSAJILI WA HAZINA WAPIGWA MSASA KWA SIKU TANO

Na Mwandishi Wetu,Pwani Kibaha. Ofisi ya Msajili wa Hazina (OTR) kwa kushirikiana na Taasisi ya Wakurugenzi Tanzania (IoDT) imeendesha mafunzo maalum ya uongozi na usimamizi kwa Wakurugenzi na Wakurugenzi Wasaidizi wa Ofisi hiyo, yakilenga kuimarisha uwezo wa menejimenti katika kusimamia rasilimali za umma kwa weledi, uwajibikaji na kwa maslahi mapana ya taifa. Mafunzo hayo ya…

Read More

RAIS DK.SAMIA KUFUNGUA SOKO LA KARIAKOO

Na Aziza Masoud,Dar es salaam RAIS Dk.Samia Suluhu Hassan anatarajia kufanya ziara mkoani Dar es Salaam ambapo pamoja na mambo mengine atafungua soko kuu la Kimataifa la Kariakoo ambalo ujenzi wake umekamilika mwishoni mwa mwaka jana. Kufuatia ufunguzi huo wafanyabiashara wa biashara ndogondogo  waliopo katika soko hilo ambao wamefunga njia zakuingilia  kwenye  soko wametakiwa kuondoka…

Read More

JINSI WASICHANA WANAVYOENDELEA KUPAMBANA KATIKA MITIHANI YA KITAIFA

NaAMwandishi Wetud,Dar es Salaam BARAZA la Mitihani Tanzania (NECTA)  limetangaza matokeo ya upimaji wa mtihani wa kidato cha nne huku takwimu ikionesha ufaulu kwa wasichana ni   asilimia 94.26 ya wasichana wote ambapo kati ya watahiniwa 526,620  waliofanya mtihani huo wasichana  278,108 ambao ni watahiniwa wa shule     wamefaulu kwakupata daraja la kwanza mpaka la nne. Akizungumza jijini…

Read More

TANESCO YAFANYA UKAGUZI WA MITA KITAALAMU KUBAINI UKWELI MALALAMIKO YA UMEME KUISHA HARAKA YAGUNDUA MITA ZIPO SAWA

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limefanya ukaguzi wa kitaalamu wa mita za umeme kwa baadhi ya wateja waliowasilisha malalamiko hayo kwa njia za mitandao katika maeneo ya Tabata Kimanga na Kimara Suka jijini Dar es Salaam. Malalamiko hayo yaliibuliwa na baadhi ya wananchi mitandaoni na kwenye vyombo vya habari kuhusu…

Read More

MRADI WA BILIONI 15.3 WA KUSAMBAZA UMEME VITONGOJI 175 WAPOKELEWA KWA SHANGWE MTWARA

Na Mwandishi Wetu Mtwara WANANCHI wa vitongoji vya Msokole na Funguni Kijiji cha Mnazi Kata ya Nalingu Mkoani Mtwara wameishukuru Serikali kwa kuwapelekea mradi wa Umeme unaotekelezwa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) ambao wamesema unakwenda kubadili maisha yao. Wametoa shukrani hizo kwa nyakati tofauti Januari 28, 2026 wakati wa kumtambulisha Mkandarasi atakayetekeleza mradi wa…

Read More