DCEA YAKAMATA LITA 66,048 ZA KEMIKALI BASHIRIFU
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya ((DCEA), imekamata lita 66,048 za kemikali bashirifu zilizokuwa zikiingizwa na kusafirishwa nchini kinyume cha sheria, katika operesheni maalum iliyofanyika jijini Dar es Salaam mwezi Aprili mwaka huu. Akizungumza waandishi wa habari leo Mei 13, 2026 jijini Dar es Salaam, Kamishina Jenerali…

