VIPAUMBELE VITANO OFISI YA MSAJILI WA HAZINA

Na Mwandishi Wetu,Dodoma Serikali imewasilisha mbele ya Bunge vipaumbele vitano vya Ofisi ya Msajili wa Hazina (OMH) kwa mwaka wa fedha 2025/26 vinavyolenga kuongeza ufanisi wa taasisi za umma, usimamizi wa rasilimali za umma na kukuza mapato yasiyo ya kodi. Vipaumbele hivyo viliwasilishwa Alhamisi, Aprili 24, 2025 na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango…

Read More