MSIGWA:TUTAFANYIA KAZI HARAKA MAAZIMIO YA KONGAMANO LA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI

Na Mwandishi Wetu,Arusha SERIKALI imesema itahakikisha inafanyia kazi mapendekezo yote yatakayotolewa kwenye maazimio ya pamoja ya Waandishi wa Habari baada ya kuhitimisha Kongamano la Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari kwa mwaka 2025. Hakikisho hilo la Serikali limetolewa leo tarehe 28 Aprili, 2025 na Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na…

Read More

ENVAITA ILIVYOFANYA MAPINDUZI YA KIDIGITALI

Na Aziza Masoud,Dar es Salaam  JAMII imetakiwa kubadilika na kuacha kutumia njia za kizamani zakualika   watu  katika matukio mbalimbali  badala yake watumie njia zakidigitali ili kuokoa muda na kupunguza usumbufu. Akizungumza leo Aprili 28, 2025  Meneja wa Mawasiliano wa Envaita Praygod Mushi amesema utumiaji wa mialiko ya kadi kwa njia ya kidigitali unaokoa mambo mengi…

Read More