
MKURUGENZI TANESCO ATEMBELEA TGDC
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam MKURUGENZI Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Lazaro Twange amefanya ziara ya kikazi kwa kuitembelea Kampuni ya Uendelezaji Jotoardhi Tanzania (TGDC) ambayo ni Kampuni Tanzu ya shirika hilo leo Mei 15, 2025 kwa lengo la kuzifahamu taasisi zilizo chini ya shirika analolisimamia. Akiongea na Bodi ya Wakurugenzi, Menejimenti pamoja…