
WAZIRI MAVUNDE: TANI 3.7 ZA DHAHABU ZANUNULIWA BoT
Na Mwandishi Wetu,Dodoma WAZIRI wa Madini Anthony Mavunde aliweka wazi mafanikio 16 ya Sekta ya Madini katika kipindi cha Miaka Minne ya Rais Samia Suluhu Hassan ikiwemo Benki Kuu ya Tanzania kununua Tani 3.7 kwa gharama ya Shilingi 702.3 Bilioni. Akizungumza na Waandishi wa Habari juzi katika ukumbi wa Idara ya habari (MAELEZO), Waziri Mavunde…