TCB YAPATA FAIDA YA SH BILIONI 44

Na Aziza Masoud,Dar es Salaam BENKI ya Biashara Tanzania (TCB) imetengeneza faida ya Sh Bilioni 44 kabla ya kodi katika mwaka wa fedha uliopita huku ikisisitiza kuwa kiasi hicho ni kikubwa zaidi kuwahi kutokea. Akizungumza na Waandishi wa habari leo Machi 26, 2025  wakati wa mkutano wa 33 wa wanahisa wa benki hiyo Mkurugenzi Mtendaji…

Read More