RAIS SAMIA AONGEZA AJIRA MPYA 300 TRA

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan ameridhia kuongeza ajira mpya 300 za Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na kufanya jumla ya ajira zote kufikia 1,896 kutoka 1,596 zilizotangazwa awali. Nyongeza hiyo imetokana na ombi la TRA la kuongeza nafasi za ajira 300 ambazo zilikasimiwa kwenye…

Read More

WAZIRI DKT. GWAJIMA AANISHA VIPAUMBELE VITANO WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII 2025/26

Na Mwandishi Wetu, Dodoma  Waziri wa Maendeleo ya Jamii. Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima ameainisha vipaumbele vya Wizara vikubwa vitano katika utekelezaji wa Bajeti kwa mwaka wa fedha 2025/2026. Dkt. Gwajima ameainisha hayo wakati akiwasilisha Bajeti ya  Wizara hiyo kwa Mwaka husika wa Fedha jana Mei 27, 2025 Bungeni jijini Dodoma….

Read More