
KATIBU MKUU UCHUKUZI AWATAKA WADAU KUTUMIA BANDARI KAVU YA KWALA
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam KATIBU Mkuu wa Uchukuzi Prof. Godius Kahyarara amewataka wadau kuendelea kutumia bandari kavu ya Kwala kwani bandari hiyo inasaidia kupunguza msongamano wa foleni ya malori pamoja na mizigo katika bandari ya Dar es Salaam. Kahyarara amesema hayo kwenye kikao cha wadau wa bandari kilichofanyika jijini Dar es salaam na…