
Day: June 8, 2025


WAPAMBE WAANZA RAFU ZA UCHAGUZI MOROGORO MJINI
Na Mwandishi Wetu,MorogoroWAKATI kipyenga cha uchukuaji fomu kwa wagombea wa nafasi mbalimbali ikiwemo Urais, Ubunge na Udiwani kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa ajili ya kuwapata wagombea wa kupeperusha bendera ya chama hicho kikiwa bado hata hakijapulizwa tayari michezo michafu ya inayohusishwa na rushwa imedaiwa kuanza katika jimbo la Uchaguzi la Morogoro Mjini. Hatua hiyo…