EWURA YASISITIZA HUDUMA ZA NISHATI NA MAJI KWA VIWANGO VYA KIDIGITALI

Na Asha Mwakyonde,DODOMA MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA),Dk.James Andilileamesema kuwa wanajibidisha katika kuhakikisha huduma zinapatikana katika kiwango kinachotakiwa kwa wananchi ambao wana wahudumia. Pia amesema EWURA kama taasisi za serikali na Utumishi wa Umma wanaendelea kusisitizana kutoa huduma katika viwango vinavyokubalika ili Rais Dk Samia Suluhu Hassan…

Read More

SIMBACHAWENE AIPA ‘TANO’ PURA

Na Asha Mwakyonde, DODOMA WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene amepongeza Mamlaka ya Udhibiti wa Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA),kwa kazi ambazo mamalaka hiyo inazifanya. Hayo aliyasema jana jijini hapa alipotembelea banda la PURA katika maadhimisho ya Kitaifa ya Wiki ya Utumishi wa Umma…

Read More