ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 107 ZAKAMILISHA USAMBAZAJI UMEME VIJIJINI SIMIYU

Na Mwandishi Wetu,Simiyu NAIBU Waziri Nishati, Judith Kapinga amesema Serikali kupitia Wizara ya Nishati imetumia takribani shilingi  bilioni 107.36 kupeleka umeme kwenye Vijiji vyote  474 vya Mkoa wa Simiyu.  Kapinga ameyasema hayo jana Juni 18, 2025 wakati akitoa tathmini ya hali ya upatikanaji wa umeme Mkoa wa Simiyu na maendeleo ya usambazaji wa nishati safi…

Read More

SIMBACHAWENE AIPONGEZA MSLAC KWA KUIMARISHA AMANI NA MAENDELEO

Na Asha Mwakyonde, DODOMA  WIZARA ya Katiba na Sheria  imepongezwa kwa  ufanyaji kazi katika Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia (MSLAC), ambao umerahisisha mambo na kufungua maendeleo. Hayo yalisemwa jana jijini hapa na Waziri  wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene  wakati alipotembelea banda la wizara…

Read More