WACHIMBAJI WADOGO DODOMA WAPATIWA MAFUNZO YA USALAMA NA AFYA WA UTUNZAJI WA MIGODI

Na Mwandishi Wetu,Dodoma WACHIMBAJI wadogo kutoka migodi ya shaba iliyopo katika Mkoa wa Dodoma wamepatiwa mafunzo maalum kuhusu usalama mahali pa kazi, afya, utunzaji wa mazingira na usimamizi wa shughuli za uchimbaji. Mafunzo hayo ni sehemu ya jitihada za kuimarisha uchimbaji salama na endelevu nchini. Mafunzo hayo yamewahusisha wachimbaji kutoka Mgodi wa Shengde uliopo Nala,…

Read More