MBIO ZA MSAKUZI PANDE GAME RESERVE ZAZINDULIWA RASMI

📍Utalii wa michezo wahamasishwa Na MwandishiWetu, Dar es Salaam. Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) kwa kushirikiana na Msakuzi Sports Promotion leo Julai 12,2025, imezindua rasmi msimu wa kwanza wa mbio za riadha zinazojulikana kama “Msakuzi Pande Game Reserve Marathon” zilizofanyika katika Hifadhi ya Pande iliyopo jijini Dar es Salaam. Akizungumza kwa niaba ya…

Read More