INEC YAZITAKA ASASI ZA KIRAIA KUTOA MAWAZO YATAKAYOEPUSHA DOSARI KWENYE UCHAGUZI

Na Aziza Masoud, Dar es Salaam TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imewataka wawakilishi wa taasisi na asasi za kiraia   kuhakikisha  wanatoa mawazo ambayo yatasaidia kuepusha dosari ambazo zinaweza kujitokeza na kuathiri utekelezaji wa shughuli za uchaguzi. Akizungumza leo Julai 30, 2025 wakati wa kufungua kikao cha wadau hao,Mwenyekiti  wa INEC Jaji wa Rufani…

Read More