DKT. MWAISOBWA AKABIDHIWA PRESSCARD

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam KAIMU Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) Wakili Patrick Kipangula leo amemkabidhi Kitambulisho cha Uandishi wa Habari (Presscard) Dkt. Cosmas Mwaisobwa ambaye ni Msaidizi wa Makamu wa Rais (Hotuba) . Dkt. Mwaisobwa amepokea Kitambulisho hicho leo tarehe 05 Agosti, 2025 baada ya kukidhi vigezo vinavyohitajika…

Read More

WANANCHI WAKARIBISHWA NANENANE KUFAHAMU KWA KINA MPANGO MAHSUSI WA NISHATI 2025-2030

Na Mwandishi Wetu,Dodoma WIZARA ya Nishati imekaribisha wananchi kuendelea kutembelea Banda la Wizara ya Nishati katika Maonesho ya Kimataifa ya Wakulima- NANENANE jijini Dodoma ili kufahamu masuala mbalimbali ikiwemo Mpango mahsusi wa Taifa wa Nishati wa mwaka 2025-2030. Imeelezwa kuwa mpango huo uliosainiwa katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika wa Misheni 300 mwezi…

Read More

RAIS SAMIA AWAFUTA MACHOZI YA KUNI AKINA MAMA NCHINI

Na Mwandishi Wetu,Morogoro WAKALA wa Nishati Vijijini (REA) unatekeleza mradi wa shilingi 9,400,799,626.7 wa kusambaza majiko yaliyoboreshwa maarufu kama majiko banifu 200,000 kwa bei ya ruzuku ya asilimia 80 hadi 85 kote nchini. Hayo yamesemwa Agosti 4, 2025 na mwakilishi wa REA Mkoani Morogoro, Mhandisi Cecilia Msangi wakati akimtambulisha Mtoa huduma aliyeshinda zabuni ya kusambaza…

Read More