ASILIMIA 80 YA WANANCHI KUTUMIA NISHATI SAFI YA KUPIKIA IFIKAPO 2034

Na Mwandishi Wetu,Katavi MKURUGENZi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe, Shamimu Mwariko amesema kutokana na jitihada zinazoendelea kuchukuliwa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) katika kutekeleza Mkakati wa Taifa wa Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia (2024-2034) ni dhahiri kwamba lengo la 80% ya wananchi kutumia nishati hiyo litafikiwa ifikapo Mwaka 2034. Amesema hayo…

Read Full News

SERIKALI  YAIPA KONGOLE ORYX UHAMASISHAJI MATUMIZI NISHATI SAFI

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam WIZARA ya Nishati imewapongeza wadau wakiwemo Oryx Gas kwa kushiriki kikamilifu katika kufanikisha  mkakati wa  kuhakikisha wananchi wote wanatumia nishati safi ya kupikia na kuachana na matumizi ya kuni na mkaa ambayo yamekuwa na madhara ya kiafya na kimazingira. Hayo yameelezwa jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi Mkuu wa Nishati…

Read Full News