REA YAHAMASISHA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA KWA WAJASIRIAMALI SONGWE

Na Mwandishi Wetu,Songwe WAKALA wa Nishati Vijijini (REA) umetoa wito kwa Wajasiriamali Nchini kuchangamkia fursa zinazopatikana kupitia eneo la Nishati Safi ya Kupikia ili kujizalishia kipato sambamba na kuunga mkono Mkakati wa Taifa wa Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia kwa lengo la kulinda afya na kuokoa mazingira. Mtaalam wa Nishati na Jinsia kutoka REA,…

Read More

TUKITUMIA NISHATI SAFI YA KUPIKIA TUTAOKOA HEKTA 400,000 ZA MISITU ZINAZOTEKETEA KWA MWAKA-MJIOLOJIA NSAJIGWA

Na Mwandishi Wetu,Songwe Imeelezwa kuwa matumizi ya nishati isiyo safi ya kupikia si tu yanahatarisha afya bali pia yanachochea uharibifu wa mazingira ambapo takribani hekta 400,000 za misitu hupotea kila mwaka nchini kutokana na ukataji wa miti kwa ajili ya kuni na mkaa, jambo linalochangia kuongezeka kwa ukame na mabadiliko ya tabianchi. Hivyo, Watanzania wameaswa…

Read More