MPINA AKATAA GARI LA INEC

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam MGOMBEA urais kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Luhaga Mpina, amechukua fomu ya kugombea nafasi ya hiyo leo, Septemba 13, 2025, katika ofisi za Tume Huru ya Uchaguzi (INEC), huku akitoa msimamo wa kipekee wa kukataa gari la kampeni aina ya Landcruiser linalotolewa na tume hiyo kwa wagombea. Mpina amekuwa mgombea…

Read More