KATIBU MKUU MRAMBA AKUTANA NA KAMPUNI YA NYUKLIA YA CHINA

Na Mwandishi Wetu,Austria KATIBU Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mha. Felchesmi Mramba ameongoza ujumbe wa Serikali ya Tanzania katika kikao na Shirika la Taifa la Nyuklia la China (China National Nuclear Corporation – CNNC), kujadili fursa za ushirikiano katika kuanzisha na kuendeleza mradi wa kuzalisha umeme kwa kutumia teknolojia ya nyuklia. Katika kikao kilichofanyika jijini…

Read More

MJUMBE WA BODI COSOTA AHOFIA UTAYARI WA KAZI WA MKURUGENZI ALIYETEULIWA

NA MWANDISHI WETU,DAR ES SALAAM MATARAJIO ya Serikali katika kuinua sekta ya Sanaa, Ubunifu kupitia Haki Miliki Tanzania (COSOTA) huenda yakaingia majaribuni baada ya Mkurugenzi wake Mteule Loy Mhando kutokuwa tayari kwenda kufanyakazi katika eneo hilo. Mjumbe huyo wa Bodi alieleza wasiwasi wake  kwa sharti la kutotajwa jina na kueleza kuwa hivi karibuni Waziri wa Habari,…

Read More