MAJIKO BANIFU 1000 KUUZWA KWA BEI YA RUZUKU KATIKA MAONESHO YA MADINI GEITA

Na Mwandishi Wetu,Geita IMEELEWA kuwa majiko banifu yanayotolewa kwa bei ya ruzuku na Wakala wa Nishati Vijijini (REA), ni majiko yanayotumia kiasi kidogo cha mkaa kulinganisha na majiko mengine ya mkaa. Hayo yamebainishwa na Wataalam kutoka REA wanaoendelea kutoa elimu kwa wananchi katika Maonesho ya Nane ya Kitaifa ya Teknolojia ya Madini yanayofanyika katika viwanja…

Read More