VIONGOZI WA DINI KANDA YA KUSINI WATAKA ULINZI AMANI,KUJITOKEZA KUPIGA KURA

Na Mwandishi Wetu, Lindi VIONGOZI wa dini mbalimbali kutoka mikoa ya Kanda ya Kusini wamewataka vijana nchini kuendelea kulinda amani ya Taifa, kuacha kutegemea taarifa za mitandaoni na badala yake kujitokeza kwa wingi kupiga kura kumchagua kiongozi wanayemtaka katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 29, 2025. Wito huo umetolewa leo Oktoba 24, 2025, katika Kongamano la…

Read More