OTHMAN:NITAREJESSHA HADHI YA ZANZIBAR DUNIANI

Na Mwandishi Wetu,ChakeChake MGOMBEA urais wa Zanzibar kupitia chama cha ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman, amesema atahakikisha Zanzibar inarejesha hadhi na heshima yake katika jumuiya ya kimataifa mara baada ya kuchaguliwa kuwa Rais wa Zanzibar. Akihutubia maelfu ya wananchi katika mkutano wa kufunga kampeni uliofanyika Viwanja vya Tibirizi, Chake Chake Pemba, Othman alisema Zanzibar ilikuwa…

Read More

BILIONI 21.9 ZA TACTIS KUJENGA KM 8.4 ZA BARABARA MANISPAA YA MPANDA

Na Mwandishi Wetu,Mpanda HALMASHAURI ya Manispaa ya Mpanda na Mkandarasi M/s Chonqing International Construction Corporation (CICO), wametiliana saini mkataba wa ujenzi wa barabara za kiwango cha lami zenye urefu wa Kilomita 8.4. Makubaliano hayo ya mradi huo wa Uendelezaji Miundombinu ya Miji Tanzania (TACTIC), yanajumuisha ujenzi wa barabara 10 kwa kiwango cha lami, ujenzi wa…

Read More

TAJU YASISITIZA AMANI SIKU YA UCHAGUZI

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam TAASISI ya Tanzania Jumuishi  (TAJU) imewataka viongozi na wasimamizi wa uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29 kusimamia zoezi hilo kwa weledi  ili kila mshiriki aridhike  na mchakato huo na matokeo kwa ujumla kuepuka vurugu. Akizungumza jijini Dar es Salaam  lOktoba 25, 2025 katika kikao cha waru wenye ulemavu ukilichoratobiwa na TAJU,Katibu…

Read More