BUGURUNI VIZIWI YAIBUKA KIDEDEA MASHINDANO YA ELIMU YA USALAMA BARABARANI

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam  SHULE ya Msingi ya Buguruni Viziwi imeibuka mshindi wa kwanza kitaifa katika mashindano ya ubunifu wa elimu ya usalama barabarani kwa mwaka 2025 (VIA Creative 2025), yanayoendeshwa na Kampuni ya Total Energies kwa kushirikiana na TotalEnergies Foundation pamoja na NafasiArt Space. Washindi wa mashindano hayo ambayo yenye lengo la kuhamasisha…

Read More

TRA YAWAHAKIKISHIA WAFANYABIASHARA USALAMA WA BIASHARA ZAO

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Yusuph Juma Mwenda leo tarehe 13.11.2025 amefanya ziara katika soko la Kimataifa ya Kariakoo jijini Dar es Salaam na kuwahakikishia wafanyabiashara usalama wa biashara zao. Akiwa sokoni hapo Kamishna Mkuu amekutana na viongozi wa wafanyabiashara na wamachinga pamoja na wafanyabiashara wenyewe…

Read More