MAYAMBA KUWAWEZESHA VIJANA KIUCHUMI.

Na Mwandishi Wetu,Misenyi Mkuu wa Wilaya Misenyi Hamis Mayamba Maiga amewezesha Vijana kibiashara katika Wilaya hiyo kwa kuwapatia Mahema ili kuboresha Mazingira ya kibiashara nakuweza kukuza Uchumi wao. Mradi huo unatekelezwa na TCCIA Wilaya Misenyi kwa ushirikiano na AGRA, ukiwa na lengo la kukuza biashara za mpakani na kuongeza usalama wa shughuli za kiuchumi. ‎‎Uzinduzi…

Read More