
CCM KUZINDUA ILANI YAKE YA 2025/2030 KATIKA MKUTANO MKUU
Na Asha Mwakyonde,DODOMA CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), linatarajia kuzindua Ilani ya uchaguzi ya mwaka 2025 kuelekea 2030 ya chama hicho katika Mkutano Mkuu Maalum na wa kihistoriaTaifa ambao utafanyika Mei 29 na 30, mwaka huu jijini Dodoma. Hayo yamesemwa leo jijini hapa na Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla …