
MSAJILI HAZINA: NI WAKATI WA TANZANIA KUNADI FURSA ZA UWEKEZAJI KIMATAIFA
Abidjan,Ivory Coast Katika jukwaa kubwa la viongozi wa taasisi za kibiashara barani Afrika, maarufu kama Africa CEO Forum, Tanzania imeendelea kujidhihirisha kama taifa linalochomoza kwa kasi kiuchumi na kuvutia uwekezaji wa kimataifa. Mkutano huo wa siku mbili ulioanza juzi na kuhudhuriwa na zaidi ya wawekezaji 2,000, uligeuka kuwa jukwaa muhimu kwa Tanzania kuonyesha mafanikio yake,…