DK.MAPONGA:WAAFRIKA TUUNGANE TUPAMBANE NA MIFUMO YA NCHI ZA MAGHARIBI

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam NCHI za Afrika zimetakiwa kuungana ili kuwa na nguvu moja yakupambana na mifumo iliyowekwa na nchi za Magharibi kwa ajili yakujinufaisha kiuchumi na kusababisha migogoro  baina ya viongozi na wananchi wa  nchi hizo kwa kiasi kikubwa. Kauli hiyo imetolewa na Mwanajumui wa Afrika na Mwanafalsafa kutoka Zimbabwe, Dk. Joshua Maponga,…

Read More