TANESCO YAFANYA UKAGUZI WA MITA KITAALAMU KUBAINI UKWELI MALALAMIKO YA UMEME KUISHA HARAKA YAGUNDUA MITA ZIPO SAWA

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limefanya ukaguzi wa kitaalamu wa mita za umeme kwa baadhi ya wateja waliowasilisha malalamiko hayo kwa njia za mitandao katika maeneo ya Tabata Kimanga na Kimara Suka jijini Dar es Salaam. Malalamiko hayo yaliibuliwa na baadhi ya wananchi mitandaoni na kwenye vyombo vya habari kuhusu…

Read More

MRADI WA BILIONI 15.3 WA KUSAMBAZA UMEME VITONGOJI 175 WAPOKELEWA KWA SHANGWE MTWARA

Na Mwandishi Wetu Mtwara WANANCHI wa vitongoji vya Msokole na Funguni Kijiji cha Mnazi Kata ya Nalingu Mkoani Mtwara wameishukuru Serikali kwa kuwapelekea mradi wa Umeme unaotekelezwa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) ambao wamesema unakwenda kubadili maisha yao. Wametoa shukrani hizo kwa nyakati tofauti Januari 28, 2026 wakati wa kumtambulisha Mkandarasi atakayetekeleza mradi wa…

Read More