
SOMA GAZETI ZIMA LA TAIFA TANZANIA IJUMAA AGOSTI 29/2025
Marufuku Hospitali kuzuia Maiti <> Ni ahadi ya Dk. Samia ndnai ya siku 100 za mwanzo akipewa ridhaa kuongoza nchi
Marufuku Hospitali kuzuia Maiti <> Ni ahadi ya Dk. Samia ndnai ya siku 100 za mwanzo akipewa ridhaa kuongoza nchi
Faida yaongezeka kwa kasi ni asilimia 31% ya ukuaji kwa mwaka mmoja Na Hubert Kiwale, DAR ES SALAAM BENKI ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) imetangaza gawio la kihistoria la Shilingi bilioni 5.58 kwa Serikali ya Tanzania, ongezeko kubwa kutoka Shilingi milioni 850 mwaka uliopita. Hayo yamesemwa leo Aprili 17, 2025 jijini Dar es Salaam…
Na Mwandishi Wetu, Songwe WANANCHI wa Kijjiji cha Isongole, Wilaya ya Ileje mkoani Songwe bado wapo kwenye taharuki wasijue nini kimetokea baada ya mwanakijiji mwenzao kukutwa ameuwawa katika mazingira ya kutatanisha huku mkewe akiwa anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za mauaji. Kwa mujibu wa taarifa, hadi jana Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe limekuwa…
Na Ashrack Miraji (Same) Kilimanjaro Mwenyekiti wa chama cha Mapinduzi CCM mkoa wa Kilimanjaro, Patrick Boisafii amesema amefurahishwa na kitendo cha Joseph Mushi kuamua kumuunga mkono Rais wa Tanzania kwa kujenga zahahati Kibosho itakayokuwa msaada kwa wananchi hao. Hayo ameyasema Jana Machi 25,2024 Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Kilimanjaro,Patrick Boisafi Wakati akikata utepe…
Na Ashrack Miraji Same kilimanjaro DIWANI wa Kata ya Same Mjini Mritha Emezitaka Shule ambazo zipo kwenye kata yake kuhakikisha zinapika chakula Bora Kwa wanafunzi wanaosoma shule hizo Mritha Ameyasema hayo akiwa katika ziara za kukagua miradi mbalimbali ndani ya Kata yake ambapo alitembelea Shule ya Msingi N.A iliyopo wilaya ya Same Mkoani kilimanjaro kukagua…
Na Ashrack Miraji, Same kilimanjaro Hatimae mawasiliano ya barabara baina ya wakazi wa Kisiwani-Maore, Ndugu,Kihurio na Bendera wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro yamerejea baada ya wakala wa Barabara nchini kufanikisha matengenezo ya Daraja Kihurio lililokuwa limeharibiwa vibaya na mvua zinazoendelea kunyesha wilayani humo. Mkuu wa wiaya ya Same Kasilda Mgeni akiwa na kamati ya ulinzi…
Na Ashrack Miraji Same kilimanjaro Mbuge wa Jimbo la Same Mashariki Mhe. Anne Kilango amechangia kiasi shilingi Milioni 20 kwa ajili ya ujenzi wa shule ya Msingi Mtundu iliyopo kata ya Mahole wilaya ya Same Mkoani Kilimanjaro. Amesema mchango huo ni kuendelea kumuunga mkono Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzanian Dkt. Samia Suluhu Hassan…
Na Mwandishi Wetu Serikali kupitia Wizara ya Ujenzi inaandaa Mpango Mkuu (Master Plan) wa Miundombinu ya nchi kulingana na mahitaji ya kiuchumi na kijamii itakayowezesha kurahisisha usafiri na usafrishaji kulingana na ongezeko la watu nchini. Mpango huo utaangazia mtandao wa barabara wa nchi nzima kupitia Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) na Wakala wa Barabara za…