Hubert Kiwale

TANZANIA NA URUSI ZASAINI MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO KATIKA SEKTA YA UCHUKUZI

Na Mwandishi Wetu Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Shirikisho la Urusi, tarehe 03 Aprili 2026, zimesaini hati ya makubaliano ya ushirikiano katika sekta ya uchukuzi, ikiwa ni hatua muhimu ya kuimarisha maendeleo ya miundombinu na kubadilishana uzoefu wa kitaalamu kati ya nchi hizo mbili. Makubaliano hayo yalisainiwa pembezoni mwa Mkutano…

Read More

Kihenzile akoshwa uwekezaji bandari ya Durban

Durban, Afrika Kusini.Naibu Waziri Wa Uchukuz Mheshimiwa David Kihenzile, amesema ziara ya mafunzo katika Bandari ya jiji la Durban imempa uzoefu mpana kuhusu namna uwekezaji wa kimkakati unavyoweza kuongeza ufanisi wa bandari. Akizungumza baada ya kutembelea bandari hiyo yenye takribani gati 58 zinazohudumia mizigo, magari na abiria Naibu Waziri Kihenzile amesema uwekezaji mkubwa katika miundombinu…

Read More

SGR MWANZA–ISAKA YAFIKIA ASILIMIA 68 – SERIKALI YAAGIZA KASI NA UBORA KUZINGATIWA

Na Mwandishi Wetu Waziri wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa leo tarehe 24 Februari, 2026 amekagua utekelezaji wa Mradi wa Reli ya Kisasa (SGR) Lot 5 kipande cha Mwanza–Isaka (km 341) unaogharimu Sh trilioni 3.06, na kuagiza kasi iongezwe huku viwango na ubora wa kimataifa vilivyosanifiwa kwa mtandao mzima wa SGR vikizingatiwa kikamilifu. Amesema Serikali ya…

Read More

Adaiwa kumuua mumewe afaidi penzi la ‘Bodaboda’

Na Mwandishi Wetu, Songwe WANANCHI wa Kijjiji cha Isongole, Wilaya ya Ileje mkoani Songwe bado wapo kwenye taharuki wasijue nini kimetokea baada ya mwanakijiji mwenzao kukutwa ameuwawa katika mazingira ya kutatanisha huku mkewe akiwa anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za mauaji. Kwa mujibu wa taarifa, hadi jana Jeshi la Polisi Mkoa wa  Songwe limekuwa…

Read More