taifatz

RAIS SAMIA AONGEZA AJIRA MPYA 300 TRA

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan ameridhia kuongeza ajira mpya 300 za Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na kufanya jumla ya ajira zote kufikia 1,896 kutoka 1,596 zilizotangazwa awali. Nyongeza hiyo imetokana na ombi la TRA la kuongeza nafasi za ajira 300 ambazo zilikasimiwa kwenye…

Read More

WAZIRI DKT. GWAJIMA AANISHA VIPAUMBELE VITANO WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII 2025/26

Na Mwandishi Wetu, Dodoma  Waziri wa Maendeleo ya Jamii. Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima ameainisha vipaumbele vya Wizara vikubwa vitano katika utekelezaji wa Bajeti kwa mwaka wa fedha 2025/2026. Dkt. Gwajima ameainisha hayo wakati akiwasilisha Bajeti ya  Wizara hiyo kwa Mwaka husika wa Fedha jana Mei 27, 2025 Bungeni jijini Dodoma….

Read More

TCB YAPATA FAIDA YA SH BILIONI 44

Na Aziza Masoud,Dar es Salaam BENKI ya Biashara Tanzania (TCB) imetengeneza faida ya Sh Bilioni 44 kabla ya kodi katika mwaka wa fedha uliopita huku ikisisitiza kuwa kiasi hicho ni kikubwa zaidi kuwahi kutokea. Akizungumza na Waandishi wa habari leo Machi 26, 2025  wakati wa mkutano wa 33 wa wanahisa wa benki hiyo Mkurugenzi Mtendaji…

Read More

WANANCHI LINDI WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA ZA MADINI

Na Mwandishi Wetu,Lindi WANANCHI wa Mkoa wa Lindi wametakiwa kuacha uvivu na badala yake wachangamkie fursa zilizopo kwenye sekta ya  madini hususani katika mgodi wa kati  wa Elianje uliopo kitongoji cha Namungo, Wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi. Rai hiyo imetolewa na Mwenyekiti  wa  Kijiji  cha  Chingumbwa, kilichopo Kata ya Namungo, Abdallah Rashid akielezea fursa zilizopo…

Read More