taifatz

PINDA:VIJANA JIUNGENI NA VYUO VYA UJUZI

Na Aziza Masoud,Dar es Salaam WAZIRI Mkuu Mstaafu Mizengo Pinda amewataka Vijana kutumia fursa ya mageuzi ya elimu Nchini kwa kujiunga vyuo stahiki vya Mafunzo ya Ufundi Stadi (Veta) vinavyotoa elimu ya ujuzi na ufundi ili kuwasaidia kujiinua kiuchumi. Akizungumza jana alipohudhuria mjadala wa wadau wa Veta Ikiwa ni siku ya tatu ya maadhimisho ya…

Read More

OPARESHENI YA KUWADHIBITI FISI SIMIYU YAONESHA MAFANIKIO MAKUBWA

Na Mwandishi wetu, Simiyu. Oparesheni maalumu ya kuwadhibiti wanyamapori wakali na waharibifu aina ya fisi waliokuwa wanaleta taharuki na madhara Kwa jamii inayoendelea Mkoani Simiyu imeonesha mafanikio makubwa baada ya fisi 16 kuvunwa ikiwa ni hatua muhimu iliyochukuliwa na Serikali kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii ya kuhakikisha usalama na utulivu Kwa wananchi vinarejea. Hayo…

Read More