taifatz

MILLEN  MAGESE AMKABIDHI SH MILIONI TATU MWANAMITINDO BORA WA SAMIA FASHION FESTIVAL ZANZIBAR 

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam MWANAMITINDO wa Kimataifa Millen Happiness Magese amekabidhi kitita cha Sh.milioni tatu kwa Mwanamitindo Elizabeth Masuka aliyeibuka mshindi wa Samia Fashion Festival Zanzibar mwaka 2024. Millen Happiness Magese aliyekuwa Jaji Mkuu wa Samia Fashion Festival Zanzibar alikabidhi hundi ya fedha yenye thamani ya Sh.milioni tatu katika Hoteli ya Urban by City…

Read More

TCAA INAVYOENDELEA KUPAMBANA NA UHABA WA MARUBANI WAZAWA

Na Aziza Masoud,Dar es Salaam TAKRIBANI vijana 23 wamepata udhamini wa kusomea masomo ya urubani kupitia Mfuko wa Mafunzo wa  Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania  (TCAA Training Fund)  huku wanne kati yao  na  wameshaajiriwa  na mashirika mbalimbali ya ndege yaliyopo nchini.  Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga nchini (TCAA),Salim Msangi ametoa takwimu hizo jana wakati  akitoa taarifa kwa vyombo…

Read More

 MAENEO YALIOATHIRIWA NA MVUA BARABARA YA DAR-LINDI-MTWARA YOTE NI SHWARI

Barabara ya Dar es salam-Lindi-Mtwara sasa imerejea katika hali ya kupitika baada ya kukamilika urejeshaji wa mawasiliano katika maeneo yote yaliyokuwa yamekatika. Mvua kubwa zilizoambata na Kimbunga Hidaya ziliharibu miundombinu ya barabara hiyo katika eneo la Mikereng’ende, Songas, Somanga na Matandu-Nangurukuru ambayo yalikatika kutokana na mvua zilizonyesha na kuambatana na Kimbunga Hidaya. Juzi tarehe 9…

Read More

TANAPA yang”ara tuzo za umahiri – Mawasiliano

Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) kupitia Idara ya Mawasiliano imeshinda tuzo ya Umahiri katika Mawasiliano ya umma iliyobeba dhima ya “The Best use of Influencers Category for the year 2023” , hafla iliyofanyika usiku wa tarehe 05.04.2024 katika Ukumbi wa St. Peter’s jijini Dar es Salaam, tuzo ambazo zimetolewa na taasisi ya Public…

Read More

MZUMBE KUWAANDA VIJANA KUJIAJIRI

Serikali imesema itaendelea kuhakikisha inawezesha mazingira bora na rafiki kwa vijana wabunifu kwa kutoa mikopo, ajira na kuwapa fursa mbalimbali kwa kutumia taaluma vyema katika kung’amua fursa katika jamii. Hayo yamezungumzwa katika Siku ya Mzumbe na Kambi ya Ujasiriamali, na Mkuu wa Wilaya ya Mvomero Mhe. Judith Nguli, kwa hadhira iliyohudhuria tukio hilo Chuo Kikuu…

Read More

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi amesema anawaheshimu na kuwakubali wanaCCM wa Pemba kwa misimamo yao thabiti katika kuilinda na kuitetea CCM, bila kuyumba. Dkt. Nchimbi pia amewapongeza kwa jinsi ambavyo wameendelea kuwa imara kuifanya Pemba kuwa mojawapo ya ngome za Chama Cha Mapinduzi nchini, akiwasisitiza wanaCCM kuendelea kuwa…

Read More