
RAIS DK.SAMIA MGENI RASMI BARAZA LA EID
Na Aziza Masoud,Dar es Salaam RAIS Dk.Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Baraza la Eid linalotarajiwa kufanyika jijini Dar es Salaam kati ya Machi 31 au Februari Mosi kulingana na kuandamana kwa mwezi. Akizungumza leo Machi 28 mwaka 2025,kwa niaba ya Baraza Kuu la Waislam (Bakwata) na Sheikh Mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakar…