RAIS DK.SAMIA MGENI RASMI BARAZA LA EID

Na Aziza Masoud,Dar es Salaam RAIS Dk.Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Baraza la Eid linalotarajiwa kufanyika jijini Dar es Salaam kati ya Machi 31 au Februari Mosi kulingana na kuandamana kwa mwezi. Akizungumza leo Machi 28 mwaka 2025,kwa niaba ya Baraza Kuu la Waislam (Bakwata) na Sheikh Mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakar…

Read More

MIZIGO YAONGEZEKA BANDARI YA DAR ES SALAAM

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam KATIBU Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Profesa Godius Kahyrara amesema kuwa kwasasa katika Bandari ya Dar es Salaam kunaongezeko kubwa la Meli na Mizigo hivyo Serikali kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari (TPA) Kwa kushirikiana na Shirika la Reli (TRC) kuhakikisha wanaboresha Bandari Kavu ya Kwala. Kahyarara ameyasema hayo jana…

Read More