SERIKALI KUDHIBITI WANAOKWEPA KODI KWAKUBADILISHA MAJINA YA KAMPUNI

Na Mwandishi Wetu,Dodoma Waziri wa Fedha,  Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba  amesema Serikali imechukua hatua madhubuti kudhibiti mianya ya ukwepaji kodi unaosababishwa na mabadiliko ya majina ya kampuni za kigeni kwa kuhakikisha Namba ya Utambulisho wa Kodi (TIN) inabaki ile ile hata kama kampuni itabadilisha jina. Hayo ameyasema bungeni jijini  Dodoma leo Februari 4 mwaka 2025…

Read More

WAGONJWA 12 KUFANYIWA UPASUAJI WA MGONGO KWA KUTUMIA MATUNDU MADOGO KATIKA KAMBI MAALUM YA MATIBABU MOI

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam WAGONJWA 12 wanatarajiwa kufanyiwa a wa mgongo kwa kutumia teknolojia mpya ya upasuaji kwa matundu madogo (Spine Endoscope) katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) wakati wa kambi maalum ya mafunzo ya matibabu hayo yanayoendelea MOI. Hayo yamebainishwa leo Jumatatu Februari 3, 2025 na Mratibu mwenza wa…

Read More

MSIGWA AAGIZA NYARAKA ZA UANZISHWAJI WA BODI YA ITHIBATI YA WANAHABARI ZIKAMILISHWE HARAKA

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali Bw. Gerson Msigwa, amemuagiza Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari Wakili Patrick Kipangula, kuhakikisha nyaraka zote muhimu zinazohitajika kwa ajili ya uanzishwaji rasmi wa Bodi hiyo zinakamilishwa mapema ili…

Read More

WASIRA: WALIOPORA ARDHI ZA VIJIJI WARUDISHE KWA WANANCHI.

Na Mwandishi Wetu,Dodoma MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Chama Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wassira, ameiagiza Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, kuhakikisha ardhi ya vijiji iliyoporwa kinyume cha sheria, inarudishwa kwa wananchi. Wasira alitoa maagizo hayo leo jijini Dodoma, wakati akizungumza na viongozi pamoja na wanaCCM waliojitokeza kumpokea katika Ofisi za Makao Makuu…

Read More

NOTI MPYA KUANZA KUTUMIKA FEBRUARI MOSI

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam GAVANA wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT)  Emanuel Tutuba amesema kuwa Noti Mpya za Tanzania zenye Saini ya Waziri wa Fedha,Dk.Mwigulu Nchemba  na yeye mwenyewe, za toleo la mwaka 2010, zitaingia kwenye mzunguko kuanzia Februari Mosi mwaka huu. Gavana Tutuba amesema hayo wakati akimkabidhi  Dkt. Nchemba, Noti kifani za shilingi…

Read More