TCB YAZINDUA KAMPENI YA SIKUKUU YENYE REJESHO LA ASILIMIA 10 KWA WATEJA
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam BENKI ya Biashara Tanzania (TCB) imezindua Kampeni Kabambe ya Msimu wa Sikukuu kwa ajili ya kuwazawadia wateja wake wanaofanya malipo kwa kutumia kadi ya Popote Visa, ambapo watapata rejesho la 10% kwa kila muamala unaokidhi vigezo vilivyowekwa na benki. Akizungumza jijini Dar es Salaam katika uzinduzi huo, Alex Dwashi, Mkurugenzi…

