BALOZI OMAR: MAPINDUZI YA VIWANDA NI MUHIMU KATIKA KUKUZA UCHUMI WA NCHI ZA AFRIKA

Na Benny Mwaipaja, Banjul, Gambia. Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), amesema kuwa nchi za Afrika zinahitaji kuchukua hatua madhubiti za kisera na kikodi ili kuiwezesha sekta ya viwanda kuchangia ukuaji wa uchumi, kukuza ajira, kuimarisha uzalishaji na kupanua mauzo ya nje. Mhe. Balozi Omar amesema hayo aliposhiriki mjadala kuhusu nafasi ya…

Read More

JINSI TTCL INAVYOCHANGIA UCHUMI WA KIDIGITALI KUPITIA INTANETI YA BEI RAHISI

Na Mwandishi Wetu Dar es Salaam SHIRIKA  ya Mawasiliano Tanzania (TTCL) imesema kupitia shughuli zake mbalimbali zikiwemo  intaneti  liimeendelea kutoa mchango mkubwa katika kukuza uchumi wa kidijitali nchini. Akizungumza katika Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba), Meneja wa Mahusiano wa TTCL,Ester Mbanguka  alisema shirika ambalo ni namna moja katika…

Read More

WAMILIKI WA VYOMBO VYA MOTO WAHIMIZWA KUKATA BIMA 

Na Aziza Masous,Dar es Salaam KAMPUNI  ya NIC Insurance imewahimiza wamiliki wa vyombo vya moto nchini kuhakikisha wanakata bima ili kujikinga na athari ambazo zitawasababishia hasara zinazoweza kujitokeza pindi yanapotokea majanga au ajali. Akizungumza katika Maonesho ya 50 ya Biashara Dar es Salaam  Sabasaba,Afisa Bima wa NIC Insurance, Iman  Mollel  bima katika vyombo vya moto…

Read More

WANANCHI WAFURIKA SABASABA KUSHUHUDIA MAONESHO YA BIASHARA

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam WANANCHI wamejitokeza kwa wingi katika Viwanja vya Sabasaba jijini Dar es Salaam leo Julao 7, 2026 kushiriki na kutembelea Maonesho ya Kimataifa ya Biashara yanayoendelea kuvutia washiriki kutoka ndani na nje ya nchi.Tangu asubuhi, viwanja hivyo vilishuhudia msongamano mkubwa wa wageni waliokuwa wakitembelea mabanda mbalimbali ya taasisi za umma, kampuni…

Read More

Waziri wa Fedha aongoza ujumbe wa Tanzania ufunguzi Mkutano wa African Caucus Gambia 

Na Benny Mwaipaja, Banjul, Gambia Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), ameongoza ujumbe wa Tanzania katika ufunguzi wa Mkutano wa African Caucus wa Mwaka 2026, jijini Banjul nchini Gambia, uliofungiliwa na Rais wa nchi hiyo Mhe. Adama Barrow, ambapo msisitizo mkubwa umewekwa katika Bara la Afrika kuongeza uwezo wake wa kujitegemea kwa…

Read More

WANANCHI WAHAMASISHWA KUTUMIA UMEME KATIKA VYOMBO VYA USAFIRI ILI KUPUNGUZA GHARAMA ZA USAFIRI

📌 TANESCO yaeleza matumizi ya umeme katika magari, bajaji na pikipiki 📌 Pikipiki ya umeme hutumia uniti 3 pekee kusafiri hadi kilometa 130 Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Wananchi wamehimizwa kutumia umeme katika vyombo vya usafiri ili kupunguza gharama za uendeshaji na kuchangia matumizi ya nishati safi na yenye ufanisi. Akizungumza Julai 5, 2026…

Read More

Balozi Omar kuiwakilisha Tanzania mkutano wa African Caucas

Na Benny Mwaipaja, Banjul, Gambia Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), amewasili Banjul nchini Gambia kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa African Caucus wa 2026, utakaofanyika kuanzia jumatatu tarehe 6 Julai, 2026,unatarajiwa kuwa tukio muhimu litakalowakutanisha viongozi wa Afrika, watunga sera, wataalamu wa fedha, washirika wa maendeleo, na wawakilishi wa taasisi za…

Read More

TTB YAMKABIDHI KHALID AL BARWANI UBALOZI WA HIARI WA UTALII KUITANGAZA TANZANIA DUNIANI

Na Mwamdishi Wetu,Dar es Salaam Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) imemkabidhi rasmi mwanautalii na mtangazaji wa vivutio vya utalii kutoka Oman, Khalid Hamed Al Barwani, Ubalozi wa Hiari wa Utalii wa Tanzania, ikiwa ni hatua ya kimkakati ya kuimarisha juhudi za kuitangaza Tanzania katika masoko ya kimataifa na kuongeza idadi ya watalii wanaotembelea nchini. Ubalozi…

Read More