
KAULI YA RAIS SAMIA YAWALIZA WATOTO WA JENERALI KIWELU
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam WAKATI Rais Samia Suluhu Hassan akiitaka Mahakama kutenda haki kwa usawa na wakati, watoto wa aliyekuwa Jenerali Tumainieli Kiwelu wanaomba shauri lao la kuondolewa kwa wasimamizi wa mirathi ya baba yao lililofunguliwa May,2024 limalizike. Rais Samia akiwa kwenye maadhimisho ya wiki ya Sheria nchini alisema Mahakama ni muhimili muhimu wa…