NOTI MPYA KUANZA KUTUMIKA FEBRUARI MOSI

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam GAVANA wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT)  Emanuel Tutuba amesema kuwa Noti Mpya za Tanzania zenye Saini ya Waziri wa Fedha,Dk.Mwigulu Nchemba  na yeye mwenyewe, za toleo la mwaka 2010, zitaingia kwenye mzunguko kuanzia Februari Mosi mwaka huu. Gavana Tutuba amesema hayo wakati akimkabidhi  Dkt. Nchemba, Noti kifani za shilingi…

Read More

WAANDISHI WA HABARI JIJINI DAR ES SALAAM WAPATA ELIMU YA MAGONJWA YALIYOKUWA HAYAPEWI VIPAUMBELE

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam TIMU ya Wataalamu kutoka Mpango wa Taifa wa Kudhibiti Magonjwa Yaliyokuwa Hayapewi Kipaumbele (NTDCP) imetoa mafunzo kwa waandishi wa habari mkoani Dar es Salaam ili kujenga uelewa kwa waandishi hao na jamii kwa ujumla Mafunzo hayo ni hatua muhimu ya utoaji elimu kwa umma kuhusu magonjwa Matano yaliyokuwa hayapewi kipaumbele…

Read More