
WANANCHI WAHOJI UKARIMU WA MBUNGE KUELEKEA KURA ZA MAONI
Na Mwandishi Wetu,Morogoro BAADHI ya Wananchi wa Jimbo la Uchaguzi la Morogoro Mjini, wamehoji kitendo kinachofanywa na Mbunge wa Jimbo hilo cha kuanza kutoa misaada mbalimbali Jimboni humo zikiwa zimesalia siku chache kabla ya Bunge kuvunjwa rasmi. Wakizungumza kwa nyakati tofauti kwa sharti la kutotajwa majina yao kwa hofu ya kujulikana, wananchi hao wamedai kushangazwa…