TPDC YAPANUA MATUMIZI YA GESI ASILIA MAJUMBANI

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam SHIRIKA la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC)  amesema  imejipanga kuongeza idadi ya nyumba  zitakazounganishwa  na huduma ya gesi asilia  kwa ajili ya kupikia majumbani ambapo wanatarajia kuunganisha nyumba zaidi ya 1000. Akizungumza katika Maonesho ya Biashara ya 50 yanayofanyika  katika Viwanja vya Maonesho ya Biashara ya Dar es Salaam (DTIF)…

Read More

TANESCO YAJA NA NYUMBA JANJA KWA LENGO LA KUPUNGUZA HATARI YANAPOTOKEA MAJANGA

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam  SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) wamezindua Nyumba Janja yenye mfumo wa kisasa wa unaosaidia kuongeza usalama wa nyumba kwa kupunguza hatari za majanga kama moto na ajali nyingine  zinazosababishwa na hitilafu za umeme pindi zinapojitokeza. Nyumba hiyo janja  ambayo ni kivutio kikubwa katika Maonesho Maonesho ya 50 ya Biashara ya…

Read More

TTCL :KIPINDI CHA KUJIENDESHA KWA HASARA KIMEKWISHA

Na Aziza Masoud,Dar es Salaam MKURUGENZI Mkuu wa Shirika  la Maawasiliano Tanzania (TTCL)  Moremi Marwa amesema  wamefanya mabadiliko makubwa yakimfumo  ili waweze kutengeneza faida  zaidi kupitia huduma wanazozitoa hivyo  kwa sasa kipindi cha kutengeneza hasara kimekwisha na sasa wanajiendesha kisasa zaidi. Marwa ametoa kauli hiyo leo Juni 4, 2026 alipotembelea banda la TTCL katika viwanja…

Read More

TANZANIA ,ANGOLA ZATAKIWA KUONGEZA BIASHARA,TISEZA YANADI FURSA YANADI FURSA ZA UWEKEZAJI

Na Mwandishi Wetu Tanzania, Angola zatakiwa kuongeza biashara, TISEZA yanadi fursa za uwekezaji Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam Tanzania na Angola zimetakiwa kuongeza kiwango cha biashara na uwekezaji kati ya nchi hizo mbili kwa kutumia fursa zilizopo katika sekta za viwanda, kilimo, nishati na usafirishaji ili kugeuza uhusiano wa muda mrefu wa kidiplomasia kuwa manufaa…

Read More

TANZANIA NA URUSI ZAIMARISHA USHIRIKIANO WA UTALII KUPITIA MAKUBALIANO MAPYA

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam Tanzania na Urusi zimesaini Hati ya Makubaliano (MoU) ya ushirikiano katika sekta ya utalii, hatua inayolenga kuimarisha uhusiano kati ya nchi hizo mbili na kuongeza fursa za utalii, biashara na uwekezaji. Makubaliano hayo yanaenda sambamba na kuanza kwa safari za moja kwa moja za kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) zinazounganisha…

Read More

MHE.SALOME: WANANCHI WANAOPITIWA NA MIUNDOMBINU YA UMEME WAUNGANISHIWE HUDUMA KWA SH. 27,000

Na Mwandishi Wetu, Mara Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amesema Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Rais, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, imeelekeza kuwa wananchi wote ambao wamepitiwa na miundombinu ya umeme lakini bado hawajaunganishiwa huduma hiyo waunganishiwe kwa gharama ya Shilingi 27,000 tu. Mhe. Salome ametoa kauli hiyo leo…

Read More