TPDC YAPANUA MATUMIZI YA GESI ASILIA MAJUMBANI
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam SHIRIKA la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) amesema imejipanga kuongeza idadi ya nyumba zitakazounganishwa na huduma ya gesi asilia kwa ajili ya kupikia majumbani ambapo wanatarajia kuunganisha nyumba zaidi ya 1000. Akizungumza katika Maonesho ya Biashara ya 50 yanayofanyika katika Viwanja vya Maonesho ya Biashara ya Dar es Salaam (DTIF)…

