MHANDISI SWEDI: NANENANE NI FURSA YA KUIMARISHA SEKTA YA MADINI
Na Mwandishi Wetu,Dodoma KAIMU Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini, Mhandisi Aziza Swedi, amesema Maonesho ya Nanenane ni jukwaa muhimu la kuwaelimisha wananchi kuhusu Sekta ya Madini, kusikiliza maoni yao na kupata mrejesho unaosaidia kuboresha huduma na kuongeza thamani ya sekta hiyo. Mhandisi Swedi amesema hayo baada ya kutembelea mabanda ya Taasisi za Wizara ya…

