KATIBU MTENDAJI TUME YA MADINI AHIMIZA UBUNIFU WELEDI KWA WATUMISHI

Na Mwandishi Wetu,Dodoma KATIBU Mtendaji wa Tume ya Madini, Mhandisi Ramadhani Lwamo, na Mkurugenzi wa Rasilimaliwatu na Utawala, Nsajigwa Kabigi, wametembelea banda la Tume ya Madini katika Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayohitimishwa leo katika viwanja vya Chinangali, jijini Dodoma. Katika ziara hiyo, viongozi hao wamejionea namna Tume ya Madini inavyoshiriki kikamilifu katika…

Read More

MWASANDENDE ASIFU JUHUDI ZA TUME YA MADINI

Na Mwandishi Wetu,Dodoma Afisa Elimu, Kazi na Jinsia kutoka Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya Tanzania (TUGHE), Nsubisi Mwasandende, ameipongeza Tume ya Madini kwa juhudi kubwa inazozifanya katika kusimamia rasilimali za madini nchini na kuongeza mchango wake katika Pato la Taifa. Akizungumza katika maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayoendelea jijini Dodoma, Mwasandende…

Read More

MWAMBAGE:FURSA ZA MADINI ZIPO KIDIGITALI

Na Mwandishi Wetu,Dodoma SEKTA ya madini nchini Tanzania inaendelea kushamiri kwa kasi, ikifungua milango ya ajira, uwekezaji na maendeleo kwa wananchi na Taifa kwa ujumla. Serikali kupitia Tume ya Madini imeendelea kuweka mazingira wezeshi kwa kuhakikisha usimamizi madhubuti, uwazi, na ushirikishwaji wa wadau wote katika mnyororo mzima wa shughuli za madini. Haya yamekuwa ni matokeo…

Read More

MAONESHO YA UTALII NA UWEKEZAJI ZANZIBAR FURSA KWA WANANCHI KUJUA VIVUTIO VYA UTALII

Na Mwandishi Wetu, ZanzibarMAMLAKA ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro (NCAA) imeshiriki kwa mafanikio katika Maonesho ya Pili ya Utalii na Uwekezaji Zanzibar 2025, yanayofanyika katika viwanja vya Dimani, Fumba Zanzibar, na kufunguliwa rasmi na Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mhe. Mudrik Ramadhan Soraga. Kupitia ushiriki wake, NCAA…

Read More

MAWAKILI WA SERIKALI KUKUTANA DAR KESHO

Na Aziza Masoud Dar es Salaam MAWaKILI wa Serikali  nchini wanatarajia kukutana kesho jijini Dar es Salaam kupitia kongamano lenye lengo la kuwaunganisha na kutoa elimu kwa jamii katika masuala mbalimbali yakijamii. Katika kongamano hilo  mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dk.Jakaya Kikwete unatarajiwa kuhudhuliwa na mawakili kutoka Tanzania Bara na…

Read More

ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 107 ZAKAMILISHA USAMBAZAJI UMEME VIJIJINI SIMIYU

Na Mwandishi Wetu,Simiyu NAIBU Waziri Nishati, Judith Kapinga amesema Serikali kupitia Wizara ya Nishati imetumia takribani shilingi  bilioni 107.36 kupeleka umeme kwenye Vijiji vyote  474 vya Mkoa wa Simiyu.  Kapinga ameyasema hayo jana Juni 18, 2025 wakati akitoa tathmini ya hali ya upatikanaji wa umeme Mkoa wa Simiyu na maendeleo ya usambazaji wa nishati safi…

Read More