MHE.SALOME AIBANA KAMPUNI YA DONGFANG KWA KASI ISIYORIDHISHA MRADI WA UMEME MALAGARASI

Na Mwandishi Wetu,Kigoma Naibu Waziri wa Nishati, Mhe.Salome Makamba leo amekagua utekelezaji wa mradi wa kuzalisha umeme wa Malagarasi (MW 49.5) unaotekelezwa katika Wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma ambapo ameeleza kutoridhishwa kwake na kasi ya utekelezaji. Akiwa katika Kijiji cha Mazungwe wilayani Uvinza Mhe Salome amekagua sehemu mbalimbali za mradi ikiwemo ujenzi wa tuta na…

Read More

WAZIRI GWAJIMA AIPONGEZA TANESCO KUANDAA KONGAMANO LA WANAWAKE LA NISHATI SAFI YA KUPIKIA

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Dorothy Gwajima amelipongeza Shirika la umeme Tanzania TANESCO kwa kuandaa kongamano la wanawake wa Shirika hilo la kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia ya umeme. Mhe. Gwajima ametoa pongezi hizo jana Machi 04, 2026 wakati wa ufunguzi wa…

Read More

UWT KONDOA KUTOA MSAADA KWA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM KUELEKEA SIKU YA MWANAMKE DUNIANI

Na Asha Mwakyonde, DODOMA KATIKA kuelekea maadhimisho ya Siku ya Wanawake kitaifa Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Tanzania (UWT), wa Chama cha Mapinduzi (CCM),Wilaya ya Kondoa Hadija Kilala, amesema jumuiya hiyo imejipanga kuadhimisha siku hiyo kwa vitendo kwa kutoa misaada kwa watoto wenye mahitaji maalum, ikiwa ni sehemu ya kuunga mkono juhudi za Serikali…

Read More