DCEA YAWAWEZESHA WANANCHI KUTAMBUA DAWA ZA KULEVYA KWENYE MAONESHO SABASABA
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam WANANCHI wanaotembelea Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) mwaka huu watapata fursa ya kujionea kwa mara ya kwanza sampuli za aina mbalimbali za dawa za kulevya pamoja na kemikali zinazotumika kuzitengeneza dawa hizo. Sampuli hizo zinaoneshwa katika mabanda ya Mamlaka ya Kudhibiti na…

