VIPENGELE 41 KUING’ARISHA TANZANIA TUZO ZA UTALII NA USAFIRISHAJI DUNIANI
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam TANZANIA imeingiza vipengele 41 katika Tuzo za Utalii na Usafirishaji Duniani (World Travel Awards), hatua hiyo inaimarisha nafasi yake na kukua zaidi katika sekta ya ya utalii na kuwa kinara barani Afrika Akizungumza leo Aprili 11,2026 jijini Dar es Salaam, Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa Bodi ya Utalii Tanzania…

