MHE.SALOME: WANANCHI WANAOPITIWA NA MIUNDOMBINU YA UMEME WAUNGANISHIWE HUDUMA KWA SH. 27,000

Na Mwandishi Wetu, Mara Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amesema Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Rais, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, imeelekeza kuwa wananchi wote ambao wamepitiwa na miundombinu ya umeme lakini bado hawajaunganishiwa huduma hiyo waunganishiwe kwa gharama ya Shilingi 27,000 tu. Mhe. Salome ametoa kauli hiyo leo…

Read More

WANANCHI WAJIFUNZA JINSI TEKNOLOJIA YA NYUMBA JANJA (SMART HOUSE) INAVYORAHISISHA KUDHIBITI MATUMIZI YA UMEME

📌 Mfumo wa Smart house humwezesha mtumiaji kudhibiti vifaa vya umeme akiwa popote alipo 📌 inatumia wiring za kisasa zinazoweza kuokoa nyumba na majanga ya moto sambamba na kuongeza ufanisi wa matumizi ya nishati Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Wananchi wanaotembelea Banda la TANESCO katika Maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam…

Read More

WIZARA YA NISHATI YAWAHAMASISHA WATOTO KUWA MABALOZI WA NISHATI SAFI YA KUPIKIA

Na Mwandishi Wetu,Dodoma Watoto wameaswa kuwa mabalozi wa matumizi ya nishati safi ya kupikia ili kuunga mkono juhudi za Serikali za kulinda mazingira, kupunguza athari za kiafya zitokanazo na matumizi ya nishati zisizo safi na kufanikisha lengo la Taifa la kuhakikisha asilimia 80 ya Watanzania wanatumia nishati safi ya kupikia ifikapo mwaka 2034. Wito huo…

Read More

TOST: USULUHISHI WA MALALAMIKO YA KODI WACHOCHEA ULIPAJI WA KODI KWA HIARI

Na Asha Mwakyonde, DAR ES SALAAM OFISI ya Usuluhishi wa Malalamiko na Taarifa za Kodi (TOST) imesema inaendelea kuweka mazingira rafiki kwa wafanyabiashara na wawekezaji kwa kushughulikia kwa haraka malalamiko yanayohusu kodi, hatua inayochochea ulipaji wa kodi kwa hiari na kuimarisha ukuaji wa uchumi wa taifa. Akizungumza Julai 2, 2026, katika Maonesho ya 50 ya…

Read More

DIB YALIPA BILIONI TISA KWA WALIOKUWA WATEJA WA BENKI ZILIZOFUNGWA

Na Aziza Masoud,Dar es Salaam BODI ya Bima ya Amana (DIB), imesema mpaka sasa jumla Sh Bilioni tisa kati ya Bilioni 11 zimeshalipwa kwa wateja waliokuwa wamehifadhi fedha katika benki saba  zilizotangazwa mufilisi na Benki Kuu ya Tanzania (BoT)   kuwasisitiza wateja kufika katika benki walizotangaziwa kuchukua fedha zao. Akizungumza katika Maonesho ya 50 ya Biashara…

Read More

WAZIRI WA FEDHA AIPONGEZA IAA KWA KUWAJENGEA UWEZO WA UJASIRIAMALI WAFUNGWA

Na Asha Mwakyonde, DAR ES SALAAM WAZIRI wa Fedha, Balozi Khamis Mussa Omar, ameipongeza Taasisi ya Uhasibu Arusha (IAA) kwa kuanzisha programu za mafunzo ya ujasiriamali na stadi za biashara zinazolenga makundi maalumu, ikiwemo kuwajengea uwezo wafungwa wanaokaribia kumaliza vifungo vyao ili waweze kujitegemea wanaporejea katika jamii. Pongezi hizo alizitoa Julai 2, 2026, alipotembelea banda…

Read More

TTCL YAENDELEA KUWEKEZA KATIKA VITENDEA KAZI, YAKABIDHI MAGARI SITA

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limeendelea kutekeleza mkakati wake wa kuboresha mazingira ya kazi kwa kukabidhi magari sita (6) mapya yenye thamani ya Shilingi milioni 903 kwa Meneja wa Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano, Meneja wa Network Operations and Maintenance pamoja na Meneja wa Network Planning, hatua inayolenga kuongeza ufanisi…

Read More