TANZANIA ,ANGOLA ZATAKIWA KUONGEZA BIASHARA,TISEZA YANADI FURSA YANADI FURSA ZA UWEKEZAJI

Na Mwandishi Wetu Tanzania, Angola zatakiwa kuongeza biashara, TISEZA yanadi fursa za uwekezaji Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam Tanzania na Angola zimetakiwa kuongeza kiwango cha biashara na uwekezaji kati ya nchi hizo mbili kwa kutumia fursa zilizopo katika sekta za viwanda, kilimo, nishati na usafirishaji ili kugeuza uhusiano wa muda mrefu wa kidiplomasia kuwa manufaa…

Read More

TANZANIA NA URUSI ZAIMARISHA USHIRIKIANO WA UTALII KUPITIA MAKUBALIANO MAPYA

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam Tanzania na Urusi zimesaini Hati ya Makubaliano (MoU) ya ushirikiano katika sekta ya utalii, hatua inayolenga kuimarisha uhusiano kati ya nchi hizo mbili na kuongeza fursa za utalii, biashara na uwekezaji. Makubaliano hayo yanaenda sambamba na kuanza kwa safari za moja kwa moja za kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) zinazounganisha…

Read More

MHE.SALOME: WANANCHI WANAOPITIWA NA MIUNDOMBINU YA UMEME WAUNGANISHIWE HUDUMA KWA SH. 27,000

Na Mwandishi Wetu, Mara Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amesema Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Rais, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, imeelekeza kuwa wananchi wote ambao wamepitiwa na miundombinu ya umeme lakini bado hawajaunganishiwa huduma hiyo waunganishiwe kwa gharama ya Shilingi 27,000 tu. Mhe. Salome ametoa kauli hiyo leo…

Read More

WANANCHI WAJIFUNZA JINSI TEKNOLOJIA YA NYUMBA JANJA (SMART HOUSE) INAVYORAHISISHA KUDHIBITI MATUMIZI YA UMEME

📌 Mfumo wa Smart house humwezesha mtumiaji kudhibiti vifaa vya umeme akiwa popote alipo 📌 inatumia wiring za kisasa zinazoweza kuokoa nyumba na majanga ya moto sambamba na kuongeza ufanisi wa matumizi ya nishati Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Wananchi wanaotembelea Banda la TANESCO katika Maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam…

Read More

WIZARA YA NISHATI YAWAHAMASISHA WATOTO KUWA MABALOZI WA NISHATI SAFI YA KUPIKIA

Na Mwandishi Wetu,Dodoma Watoto wameaswa kuwa mabalozi wa matumizi ya nishati safi ya kupikia ili kuunga mkono juhudi za Serikali za kulinda mazingira, kupunguza athari za kiafya zitokanazo na matumizi ya nishati zisizo safi na kufanikisha lengo la Taifa la kuhakikisha asilimia 80 ya Watanzania wanatumia nishati safi ya kupikia ifikapo mwaka 2034. Wito huo…

Read More

TOST: USULUHISHI WA MALALAMIKO YA KODI WACHOCHEA ULIPAJI WA KODI KWA HIARI

Na Asha Mwakyonde, DAR ES SALAAM OFISI ya Usuluhishi wa Malalamiko na Taarifa za Kodi (TOST) imesema inaendelea kuweka mazingira rafiki kwa wafanyabiashara na wawekezaji kwa kushughulikia kwa haraka malalamiko yanayohusu kodi, hatua inayochochea ulipaji wa kodi kwa hiari na kuimarisha ukuaji wa uchumi wa taifa. Akizungumza Julai 2, 2026, katika Maonesho ya 50 ya…

Read More

DIB YALIPA BILIONI TISA KWA WALIOKUWA WATEJA WA BENKI ZILIZOFUNGWA

Na Aziza Masoud,Dar es Salaam BODI ya Bima ya Amana (DIB), imesema mpaka sasa jumla Sh Bilioni tisa kati ya Bilioni 11 zimeshalipwa kwa wateja waliokuwa wamehifadhi fedha katika benki saba  zilizotangazwa mufilisi na Benki Kuu ya Tanzania (BoT)   kuwasisitiza wateja kufika katika benki walizotangaziwa kuchukua fedha zao. Akizungumza katika Maonesho ya 50 ya Biashara…

Read More