SERIKALI YAANZA KULINADI ONYESHO LA SITE SABASABA
Na Aziza Masoud,Dar es Salaam BODI ya Utalii Tanzania (TTB) imesema maandalizi ya Maonesho ya Kimataifa ya Utalii ya Swahili International Tourism Expo (SITE) yanayotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu yameshaanza na kwamba mpaka sasa zaidi ya wanunuzi 50 wa huduma za utalii kutoka nchi mbalimbali wameshajisajili. Akizungumza katika maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya…

