SERIKALI KUANZISHA JUKWAA LA KIDIGITALI KUWAFIKIA VIJANA
Na Aziza Masoud, Dar es Salaam WIZARA ya Vijana imejipanga kuhakikisha inawafikia vijana kwa urahisi kwakuanzisha Jukwaa la Kidigitali la Huduma Jumuishi (Youth Digital One Stop Platform) ili kuwezesha upatikanaji wa taarifa za ajira,mafunzo,fursa za mikopo,masoko na huduma nyingine. Akizungumza jana Waziri wa Vijana Joel Nanauka alisema katika falsafa ya wizara ya utoaji wa huduma,…

